Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Pamoja na kutunyima kuandamana maadam mkutano utakuwepo ni nafuu, lakini hii ni kuwanyima wananchi wa Arusha haki yao ya kimsingi kuandamana na kwenda kuwapokea viongozi wao waliowapigia kura. Chadema wameshasema wao wanaandama kwa amani sasa wewe Andengenye si uwaachie waandamane? kama maandamano hayo yatakua ni ya kuvunja amani basi fanya kazi yako! sio kututisha kuanzia asubuhi watu tunashindwa kufanya kazi ni ving'ora na maasikari kila kwenye kona ya mji? Shame on you mnaovunja demokrasia ya kuwapa watu uhuru na haki yao ya kimsingi:frusty: