zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,938
Wananchi Watakula Lami?
"Hafi mtu na njaa" - Kikwete.
Na kweli, kwa mara ya kwanza katika Tanzania kwa uongozi wa Kikwete tuna maghala ya kuhifadhi chakula cha miezi sita.
Wananchi Watakula Lami?
Mbona hujamjibu Mzee Makamba? Kwa ziara hii ni kweli Unaifanya CCM mali yako, iweje ufanye ziara peke yako ama ndio issue ya posho...Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
Mkuu zombi vipi huendelei na ile thread yako ya zito na CDM imekushinda jibishie mwenyewe
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
Hahahahahahahahahahahaha,nape nape!mkutano umejaa watoto kibao misifa kibao,hebu tuambie mmetumia gharama kiasi gani maana najua badgeti zeni hazina mashiko.jitahid kalini siku mbili tatu utauza sura maana ya kesho ni magumu ila wanchama wa wlichama lako wanapesa duh,mnaandamana kwenye magari hamtaki kukanyaga mavumbi mtachafuka men!!!.vuvuvuzeraaaaaaaaaaa.Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
jina la nini tena,aku mie sitaki utafusadi kila kitu wewe,lol.ila najua nafasi hii uliitaka siku nyingi sana,hata enzi za uhai wa chamaila ndo ivyotena maskini,wamebaliza mifupa wakaukabidhi,jitaidi ivivo tu,poleeeeeeee.Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.Aaah afadhali we umesema ukweli! M4C ni kwa ajili ya kukusanya chenji ya walalahoi. Inasikitisha kuwa hamuwaonei huruma watu wanahangaika kujitafutia kipato nyie mwaja kukusanya vijisenti vyao! Wizi mkubwa.
UOTE=Daudi mchambuzi;4001293]
"Hafi mtu na njaa" - Kikwete.
Na kweli, kwa mara ya kwanza katika Tanzania kwa uongozi wa Kikwete tuna maghala ya kuhifadhi chakula cha miezi sita.
Hii kali. NimeipendaNAWASHANGAA SANA WANA JF WANAOONGEA NA KUJJIBISHANA NA NAPE;KWA SABABU ZIFUATAZO
-NAPE HANA HADHI YA JF,KAMA JF WANGEAMUA KUWEKA VIWANGO VYA KUJIUNGA HAPA NAAMINI NAPE ASINGESAJILIWA KWA SABABU HANA VIWANGO,NITAFAFANUA
.MTU MWONGO,MFITINI,MNAFKI,KATIKA UMRI WA KIJANA KAMA HUYU LAZIMA AKIFIKIA UMRI WA KIKWETE ATAKUWA TAAHIRA
.MTU ASIYEWAPENDA WATANZANIA,ASIYEWATAKIA MEMA NA ANAYETUMIA MWANYA WA VUVUZELA ALILOPEWA KUWADANGANYA HASTAHILI KUWA MMOJA WETU SIO TUU HAPA JF HATA KATIKA ARTHI YETU HASTAHILI
.MTU MWENYE NJAA KALI TAMAA YA MADARAKA NA TABIA ZA KULAMBA MIGUU ILI APEWE NAFASI(Boot Leaker)HATUSTAHILI.
.UWEZO WAKE WA KUFIKIRI NI MDOGO SANA MAANA KAMA MTU HUWEZI ONA UPEPO UNAKOELEKEA MPAKA SASA NAAMINI HUNA MAARIFA MTAMBUKA
.MWANAUME ANAYEVAA KIKUKU MKONONI NA SHINGONI LAZIMA ANAVAA KIUNONI PIA NA MTU HUYU ATAKUWA NA TABIA ZA KIKAMERUN
NAPE NI BOOTLEAKER,CHIZI,VUVUZELA ,MNAFKI,NA SIFA NYINGINE KEM KEM ZISIZO ZA KIUME.MNAMPA CHAATI MNAPOMJIBU MWACHENI ABWABWAJE MWISHO WA SIKU ATALILIA KUHAMIA CDM KWA MACHOZI NA JASHO
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!