Maandamano Iran katika picha!!

Maandamano Iran katika picha!!

Unamjua jina lake,hizo ni uniform za irgc?.. siyo kila askari Iran ni irgc,rais kazuwia irgc kuingia mzigoni,ila hali inavyoelekea wataingia mzigoni na wakiingia ni maiti kutapakaa
Endelea kujifariji tu IRGC wako kazini na wanazengo wanakula nao Saha I moja!!! Wananchi wamechoshwa na Serikali ya kiislamu ndiyo maana wanaendesha “CHOMACHOMA FESTIVAL” wameishusha bendera ya Serikali ya kiislamu wanataka kupandisha bendera yao yenye picha ya SIMBA!!
 

Attachments

  • IMG_4769.jpeg
    IMG_4769.jpeg
    114.4 KB · Views: 8
  • IMG_4768.jpeg
    IMG_4768.jpeg
    84.9 KB · Views: 6
  • -4649873561775351258.mp4
    362.3 KB
kama walimtumia kudondosha utawala ulokuwepo sasa wamemchoka wanaleta mtu mwngne, kiongoz mkuu?
Ayatollah Ruhollah Khomeini alikua popular sana, huyo Shah wanayetaka kumrudisha ni kama utake kumrudisha sultan kule zanzibar.

Iran kuna vyama zaidi ya 200, If anything ni nchi ya kidemokrasia ila mabadiliko nayoyaona ni kuondoa kiti cha Ayatollah kibaki ceremonial ila watamchagua kama walivyozoea rais wao na wabunge wao kidemokrasia kabisa.

Ni ujinga kudhani Iran ya sasa itakubali kumpokea Mtoto wa Shah aliyewatesa!! Watachagua viongozi kwa kura sio mambo ya Ayatollah wala Shah pahlavi kurudi.
 
Wananchi wamechoshwa na Serikali ya kiislamu
Kwamba wanataka serikali ya kikristo? Ndio unavyojidanganya? Iran ilianza kuwa nchi ya kiislamu baada ya kura ya maoni 1979 na 90% ya wananchi walitaka iwe taifa la kiislam. So wasingetaka wangepiga kura ya maoni tena.

Hao wanaandamana sababu ya mfumuko wa bei sio dini. Ni kama Syria tu katoka Assad kaingia Al Qaeda!! Ndi kitakachotokea iran
 
Hakuna litalotokea,huwezi kuangusha iyo dola ya Irani kwa maandamano!
Watapigwa kama wale nyumbu kule Tanzagiza.!!
 
alaaa kumbe tumekubaliana USA ndo walimuweka alipokuwa adui ya utawala wa iran?
Hapana hukunielewa? What I mean is USA akipindua serikali haimaanishi anaweka kibaraka ila anaweza tumia fursa ya mgogoro kupindua serikali.

Mfano Afghanistan walipovamiwa na USSR miaka ya 80, alitumia fursa hiyo ya vita kuwapa silaha Taleban ili wapambane na USSR, ila haimaanishi Taleban walikua ni vibaraka wa USA na hata leo hii wamemtoa USA na wanatawala wao!!

Ruhollah khomeini hakusaidiwa kumpindua Pahlavi. Nachojua huyo Shah Mohammed Reza Pahlavi aliwekwa na wamarekani kupitia mapinduzi yaliyosaidiwa na wamarekani miaka ya 1950s. Hata Mapinduzi ya 1979 yaliongozwa na hoja kuwa Pahlavi ni kibaraka wa USA.

Khomeini hakuwahi kuwa kibaraka wa USA kwenye jambo lolote in fact alibariki hata utekaji wa wamarekani zaidi ya 50 waliokua ubalozini kule Tehran mwaka 1979.

Tuache conspiracy theories
 
Kwamba wanataka serikali ya kikristo? Ndio unavyojidanganya? Iran ilianza kuwa nchi ya kiislamu baada ya kura ya maoni 1979 na 90% ya wananchi walitaka iwe taifa la kiislam. So wasingetaka wangepiga kura ya maoni tena.

Hao wanaandamana sababu ya mfumuko wa bei sio dini. Ni kama Syria tu katoka Assad kaingia Al Qaeda!! Ndi kitakachotokea iran
Nani kakuambia wanataka Ukristo? Mimi nimesema wananchi wamechoshwa na serikalo ya kiislamu hata kama hawataki Ukristo!!

Kuna sehemu nyingi sana Misikiti imechomwa moto kwa akili yako wewe unadhani wanaukumbatia utawala wa kiislamu wa Ayatollah? Subiri siku zinakuja na wewe utaufyata mkia kama alivyoufyata Adiosamigo na Mme wake Ritz .

Mabumunda hao walikuwa wanawaramba sana Makalio Magaidi wa Hamas,Hezbollah na Houth lakini baada ya Majeshi hodari ya Israel kuwagaragaza sasa hivi wanajifanya Wame kosa pesa ya kununulia Bundle hawaonekani mtandaoni kwa aibu na fedheha!! Na wewe jiandae kukimbia kwa aibu!!

Maandamano ya watu wa Irani yameanza rasmi! Jengo lote la manispaa ya serikali za mitaa katika jiji la Karaj la Iran limeteketea kwa moto.
 

Attachments

  • 1936741083695829559.mp4
    3.8 MB
Rais wa Marekani Donald Trump: anasema
"Kwa hivyo, Iran iko katika shida kubwa. Inaonekana kwangu kwamba watu tayari washateka miji mbalimbali ambayo hakuna mtu aliyefikiria ingewezekana wiki chache zilizopita. Tunaangalia hali hii kwa makini sana. Na ilibidi tutaingilia kuwasaidia!!!

Nilitoa kauli hii kwa nguvu sana kwamba ikiwa wataanza kuwaua watu kama walivyofanya hapo awali. Tutahusika, tutakuwa tunawapiga vikali sana pale panapouma. Na hiyo haimaanishi kuwa watalala chini, lakini inamaanisha kuwapiga vikali sana pale panapouma sana."

View: https://x.com/osint613/status/2009731867550068988?s=61
 
Rais wa Marekani Donald Trump: anasema
"Kwa hivyo, Iran iko katika shida kubwa. Inaonekana kwangu kwamba watu tayari washateka miji mbalimbali ambayo hakuna mtu aliyefikiria ingewezekana wiki chache zilizopita. Tunaangalia hali hii kwa makini sana. Na ilibidi tutaingilia kuwasaidia!!!

Nilitoa kauli hii kwa nguvu sana kwamba ikiwa wataanza kuwaua watu kama walivyofanya hapo awali. Tutahusika, tutakuwa tunawapiga vikali sana pale panapouma. Na hiyo haimaanishi kuwa watalala chini, lakini inamaanisha kuwapiga vikali sana pale panapouma sana."

View: https://x.com/osint613/status/2009731867550068988?s=61

Piga hao ng'ombe
 
Rais wa Marekani Donald Trump: anasema
"Kwa hivyo, Iran iko katika shida kubwa. Inaonekana kwangu kwamba watu tayari washateka miji mbalimbali ambayo hakuna mtu aliyefikiria ingewezekana wiki chache zilizopita. Tunaangalia hali hii kwa makini sana. Na ilibidi tutaingilia kuwasaidia!!!

Nilitoa kauli hii kwa nguvu sana kwamba ikiwa wataanza kuwaua watu kama walivyofanya hapo awali. Tutahusika, tutakuwa tunawapiga vikali sana pale panapouma. Na hiyo haimaanishi kuwa watalala chini, lakini inamaanisha kuwapiga vikali sana pale panapouma sana."

View: https://x.com/osint613/status/2009731867550068988?s=61

Huna unalojua kuhusu siasa!! Kitendo cha USA kuingilia ndio kitaharibu maandamano yatageuka vita kama Syria na hapo USA hawezi kushinda vita ya ardhini Iran.

Yaani wa-Iran hawawezi kubali kuwa moles wa Trump, zaidi itawaunganisha wote wapambane na mmarekani.

Zaidi Ayatollah akikubali kupisha, kura zitapigwa ya mabadiliko ya katiba na watachagua rais wanayemtaka na hatokua Pro Israel wala Pro US. Msijidanganye
 
Nani kakuambia wanataka Ukristo? Mimi nimesema wananchi wamechoshwa na serikalo ya kiislamu hata kama hawataki Ukristo!!

Kuna sehemu nyingi sana Misikiti imechomwa moto kwa akili yako wewe unadhani wanaukumbatia utawala wa kiislamu wa Ayatollah? Subiri siku zinakuja na wewe utaufyata mkia kama alivyoufyata @Adiosamigo na Mme wake @Ritz .
So misikiti ikichomwa moto ndio wanataka ukristo na uyahudi? Njyie hamjifunzi tu palestina au Lebanon huko si mlisema mmemaliza vikundi vya kigaidi ila cha ajabu wananchi bado wanaviunga mkono!! Hata syria ipo chini ya kiongozi wa Al Qaeda!!
Maana yake ni kwamba wananchi hawaikubali Israel au USA na sio kwamba akitoka Ayatollah basi atakuja rais mkristo sijui Pro Western kama mnavyojidanganya humu.
 
Back
Top Bottom