Maana yake huwa ni nini?

Maana yake huwa ni nini?

Pale ambapo umbea na ufukunyuku inapokuwa sehemu ya maisha yako bila kujali nani anateremsha huo umbea basi mwanaume hawezi kuendekeza upuuzi wa namna hiyo. There is a lot more at the stake.

It's until then when you start to know your jurisdiction and limits is when you start to use your brain
Mwisho wa siku kosa ni kosa tu haijalishi source yake ni wapi /nani /nini
 
yaani ushike simu yangu alafu uniulize maswali!!!! jiulize na ujijibu mwenyewe, kwani simu yako?
 
Umesema kweli....na Hiyo inatokea Mara nyingi tuu....kwangu siwezi kukununia ila hii ya kukutafutia kesi nkugeuzie kibao IPO....

Yani kukubali na kuomba msamaha hili jambo nafsi imeshashindwaa kabisaa...siwezi

Ila kumoyo nitakuwa najutia inkase nimekosea....na ku work out for it ili isijirudie....
Hahaaaaa akyanani
 
Khee.... Huo ubabe sasa....kwanini usijibu???? .....

Mkuu hii kwa upande wako vipi??
sasa maswali unaniuliza mimi na simu umeshika wewe? au msg ulizosoma haujazielewa? km haujaelewa subiri chats zitakazoendelea labda zitakuwa na majibu unayoyataka, ila mimi sitaki maswali yaliyosababishwa na kiranga chako mwenyewe, mi mwenyewe nina maswali yangu kibao juu ya maisha sijayajibu.
 
Hahaaa mkuu hili neno 'samahani dear' linakukwama naona, hapa nacheka tu akyanani!!

cc Heaven Sent ,atoto
Mkuu....kuna haya madogo madogo labda ya Bahati mbaya unaweza sema samahan

Ila kuna Yale makubwa unafanya kosa ilhali unajua unakosea...ukiombea 40 isikufikie...

Hayo sasa apate redhandend evidence...

Samahan inatokea wapi??? Labda....
And why...
Anyway inataka moyo
 
sasa maswali unaniuliza mimi na simu umeshika wewe? au msg ulizosoma haujazielewa? km haujaelewa subiri chats zitakazoendelea labda zitakuwa na majibu unayoyataka, ila mimi sitaki maswali yaliyosababishwa na kiranga chako mwenyewe, mi mwenyewe nina maswali yangu kibao juu ya maisha sijayajibu.

Dah....
 
Mkuu mie nimpole au niseme najitahidi kua mke mwema lakini usinichokonoe,kwa ufupi nikipenda napenda kweli na nikisema nimeshakushiba ndio basi na sijuti manake daima naamini kila kitu kina mwisho na usilazimishe kupenda usipopendwa,daima nnapokaa na mume hua nakua na plan B kuhusu wanangu,wanaume wengi huanza vituko wakishaona
umeshakua na watoto sasa atakusugua roho anajua roho yako itauma kumuachia mwenzio nyumba au akulele watoto wako
Kwamimi nilivyo nakuachia nyumba wanangu tuu ndio nachukua anaekuja aanze,na ukiwa kama baba wa watoto usitegemee
ntakutafuta eti nataka Ada ya watoto au chochote wala simwambi njoo uone watoto,kila akiwa haki kwangu mie furaha..

Nilichofanya Kazini kwangu watoto wanalipiwa school fees sasa anayolipa mr hua naikusanya since analipa mara 2 kwa mwaka
nachanganya na zangu nimezijengea...
Daah hii kweli plan B
 
Back
Top Bottom