NIMPENDENANI, nimekuelewa hadi umenikumbusha machungu. Wakati nasoma hii comment yako, tena kwa muda mrefu sana, ni kama nilikuwa namsikia yule mwanamke niliyegombana naye... nina miaka mitatu sasa sina uhusiano wowote wa kueleweka ni kama aina fulani ya karma.
Kuna ile debate kuwa binadamu anabadilika au habadiliki, I hope utakuwa umeshaisikia, mimi natarajia kuwa better kwenye hiyo next relationship. Kwa kifupi nimejifunza the hard way kuheshimu wanawake
Pole binadamu hubadilishwa na mwendo wa mmoja kati yeo mfano,sikua ninamawazo kama kuna siku my Hubby ataniumiza moyo kwa alivyokua ananipendaa yani ananipenda mpaka najua na watu wangu wa karibu wanajua
alikuja kunibadilikia baada mtoto wa mdogo wake kuiba few milions za baba yake na nikasingiziwa mimi,
kilichoniuma nikuona mume wangu amabe anatakiwa asimame na mimi ndio alikua na ndugu zake na mkwe
ambae ni mama yake mzazi ndio alie simama na mimi akasema jamani huyu mtoto hawezi kuiba hiyo pesa
niko tayari kutoa maisha yangu kuyaweka rahani ikiwa kuna ukweli huyu mtoto wawatu kachukua hii pesa
NILIUMIA SANAAA mpaka sasa jeraha moyoni lipo,kilichoniumiza sio kuambiwa nimeiba ila mume wangu
nnae dhani namjua ananipenda kumbe nilikua naishi na ADUI na sijijui maskini,ukweli ulipojulikana eti ndio
am sorry mke wangu yani anachukulia so simple,na sababau nimerudi kwake ni moja tuu,nampenda sana mkwe wangu
sana yeye ndio kaniomba nirudi lakini nimerudi na akili mpya na ndio jina la NIMPENDENANI likatoka hapo,kuanzia hapo
simwambia nini nafanya its just me na ndugu zangu yeye anaongeza mapenzi lakini mimi ameniathiri Sanaa,na anajaribu kufanya juu chini kunirejesha kama mwanzo lakini haiwezekani tena,sasa najipanga na maisha sababau anything is possible
sijiachii kama mwanzo eti mume wangu yupo i have nothing to loose,apana sasa nimejipanga
Emotionally,Mentally.... anyway nimengi inshallah mwenyezi mungu anipe subra na uhai niweze kuhimili mtihani wowote
utakao kuja mbele yangu...