CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,935
- 22,919
Unakuta dada unamtongoza then anakwambia sawa hamna shida subiri nikufikirie ntakupa jibu lako,Mwanaume unasubiri bila tatizo ukisubiri jibu
Mkikutana tena unamuuliza vipi mama? Anakujibu bado subiri ntakujibu tu kwani una haraka gani? Basi kidume unavuta subira tu
Mwisho wa siku anakwambia ngojea tufahamiane vizuri kisha ntakupa tu jibu si unajua mtu huwezi kukurupuka?
"ngojea tufahamiane kwanza" haka kamsemo huwa mnaanishaga nini? yani utamfahamuje mwanaume tabia zake in and out bila wewe kuwa mpenzi wake?
Yani we mdada sio mpz wangu halafu unataka unifahamu in and out hivi inakuja kweli hiyo akilini mwenu? au huo ufahamu mna maanishaga upi?
Mimi ki ukweli mdada ukitaka unifahamu nnje ndani,nikubalie kwanza ndio ntakupa ruhusa ya kunifahamu..
sio ki dada JIBU hakajakupa halafu kanataka uanze kukapigia simu usiku,ukajali ukahudumie hv ndio ufahamu huo mnao uongeleaga?
Maana mimi kama sio mpz wangu siwezi jishughulisha na wewe,ntabaki pending (please wait) hadi utakapo niambia YES ur request ACCEPTED
ila swali langu kwenu ni Ule muda mnaotuambiaga "ngoja tufahamiane kwanza" ni muda gani?
Ule muda mnaotuambiaga "ngojea nikufkirie" huwa mnaendaga kufkiria nini huko mnapoenda?
#twendeni #taratibu
Mkikutana tena unamuuliza vipi mama? Anakujibu bado subiri ntakujibu tu kwani una haraka gani? Basi kidume unavuta subira tu
Mwisho wa siku anakwambia ngojea tufahamiane vizuri kisha ntakupa tu jibu si unajua mtu huwezi kukurupuka?
"ngojea tufahamiane kwanza" haka kamsemo huwa mnaanishaga nini? yani utamfahamuje mwanaume tabia zake in and out bila wewe kuwa mpenzi wake?
Yani we mdada sio mpz wangu halafu unataka unifahamu in and out hivi inakuja kweli hiyo akilini mwenu? au huo ufahamu mna maanishaga upi?
Mimi ki ukweli mdada ukitaka unifahamu nnje ndani,nikubalie kwanza ndio ntakupa ruhusa ya kunifahamu..
sio ki dada JIBU hakajakupa halafu kanataka uanze kukapigia simu usiku,ukajali ukahudumie hv ndio ufahamu huo mnao uongeleaga?
Maana mimi kama sio mpz wangu siwezi jishughulisha na wewe,ntabaki pending (please wait) hadi utakapo niambia YES ur request ACCEPTED
ila swali langu kwenu ni Ule muda mnaotuambiaga "ngoja tufahamiane kwanza" ni muda gani?
Ule muda mnaotuambiaga "ngojea nikufkirie" huwa mnaendaga kufkiria nini huko mnapoenda?
#twendeni #taratibu