OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,650
- 9,239
Nitaeleza kwa uelewa wangu,
Mtu akikuchota namaanisha akichota mchanga wa unyayo wako (ulipokanyaga) au eneo unalofanyia biashara, tegemea mtaji kushuka wateja kuisha kabisa au mambo yako kuyumba kila utakacho fanya utaangukia pua.
UFANYE NINI UNAPOONA MTU KAKUCHOTA?
Unachota mchanga wa hapo hapo kwenye biashara yako (kiasi kidogo) ila usichote kwa mkono wako tumia kitu kuchota mchanga huo, kisha unaenda kuuzamisha chini kwenye mto usiokauka.
Baada ya hapo unachota mchanga wa chini wa kwenye huo mto kwa kuzamisha mkono chini ya maji unaondoka nao ukifika kwako unauchanganya na chumvi ya unga kisha unaukaanga kama karanga, baada ya hapo unauacha upoe ukipoa unaenda nao kunyunyizia kwenye eneo lako la kazi au biashara kwa nje.
NB: Hii thread nmeandika baada ya kusoma stori ya mbunge flani kumbananisha mtu aliyetaka kuchota mchanga kwenye hoteli yake
Wazee wa maombi mnisamehe hii itawafaa wote tunaoamini ktk upande wa pili wa kiroho ukiona haikuhusu pita kimya kimya.
Mtu akikuchota namaanisha akichota mchanga wa unyayo wako (ulipokanyaga) au eneo unalofanyia biashara, tegemea mtaji kushuka wateja kuisha kabisa au mambo yako kuyumba kila utakacho fanya utaangukia pua.
UFANYE NINI UNAPOONA MTU KAKUCHOTA?
Unachota mchanga wa hapo hapo kwenye biashara yako (kiasi kidogo) ila usichote kwa mkono wako tumia kitu kuchota mchanga huo, kisha unaenda kuuzamisha chini kwenye mto usiokauka.
Baada ya hapo unachota mchanga wa chini wa kwenye huo mto kwa kuzamisha mkono chini ya maji unaondoka nao ukifika kwako unauchanganya na chumvi ya unga kisha unaukaanga kama karanga, baada ya hapo unauacha upoe ukipoa unaenda nao kunyunyizia kwenye eneo lako la kazi au biashara kwa nje.
NB: Hii thread nmeandika baada ya kusoma stori ya mbunge flani kumbananisha mtu aliyetaka kuchota mchanga kwenye hoteli yake
Wazee wa maombi mnisamehe hii itawafaa wote tunaoamini ktk upande wa pili wa kiroho ukiona haikuhusu pita kimya kimya.