ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
- Thread starter
- #61
Mkuu, hilo linajadilika. Lakini, kwavile viti hivi bado vipo, ni muhimu wakinamama wenyewe wawe waamuzi juu ya nafasi zao.Siungi mkono hoja yako.
Dhana ya viti maalumu kwa zama zile ilikuwa na tija hasa kulingana na changamoto kubwa sana za kijamii na kitamaduni lakini kwa sasa hapana hata kidogo.
Ningekuwa kwenye mamlaka ningefuta vyeo vyote hivyo vya viti maalumu maana havina tija kwa taifa asilimia kubwa wanaoenda bungeni kupitia vyeo hivyo hasa kwa chama changu cha Mapinduzi ni zaidi ya huo umaalumu .
Zama za kubebana bebana zishapitwa .
Kidumu chama tawala.