Maamuzi ya Wakinamama yasiingiliwe

Siungi mkono hoja yako.

Dhana ya viti maalumu kwa zama zile ilikuwa na tija hasa kulingana na changamoto kubwa sana za kijamii na kitamaduni lakini kwa sasa hapana hata kidogo.

Ningekuwa kwenye mamlaka ningefuta vyeo vyote hivyo vya viti maalumu maana havina tija kwa taifa asilimia kubwa wanaoenda bungeni kupitia vyeo hivyo hasa kwa chama changu cha Mapinduzi ni zaidi ya huo umaalumu .

Zama za kubebana bebana zishapitwa .

Kidumu chama tawala.
Mkuu, hilo linajadilika. Lakini, kwavile viti hivi bado vipo, ni muhimu wakinamama wenyewe wawe waamuzi juu ya nafasi zao.
 
Naunga mkono hoja
P

1. Utaratibu umefuatwa?

2. Tunahaja au sababu kuwa na katiba za vyama?...... au wanawake tu peke yao.

3. Kunasababu yoyote kuwa na halimashauri/kamati za vyama/vikao vya vyama kujadili na kuafikiana? Au wanawake wana vyama vyao vya siasa kivyao nje ya wanaume

4. Kwanini form zinahitaji baraka za vikao vya chama (wanaume na wanawake)? Kwa kila atakae teuliwa ilikuthibitishwa kwake kuwe na maana kisheria?
 
Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.

Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.

Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.

Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.

Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.

Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
Even though kuna kanuni za kufuatwa,ccmwachague viti maalumu vy chadema?

Akili akili akili
 
Acha unafiki wewe kiazi...wamejichagua wao wenyewe kama wenyewe,hakuna mwanamke Bawacha kampigia kura hata mmoja kua Wabunge viti maalumu

Jitu zima linapokua nafiki hivi hata all your writtings zinakua useless.....

Bure kabisa
Mkuu, punguza hasira. Relax. Waache Wakinamama wafanye maamuzi yao. Malalamiko yote so far yanayoka kwa wanaume, hii si sahihi. Ni jambo la wanawake...
 
Wakina mama wa Bawacha wamekutana lini wakapiga kura kuchagua wanawake 19 wakawe wabunge?

Unachoudhi unasema uongo of which makes you look like a monkey tu
Sawa mkuu. Tuendelee kuwa pamoja. Wabunge wote walioapishwa ni Wabunge halali kwa mujibu wa Katiba.

Tujenge nchi. Tusiwaingilie Wakinamama kwenye mambo yao.
 
Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.

Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.

Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.

Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.

Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.

Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
Mpuuzi wewe UDPD, ACT, TLP, NCCR na CUF hakuna akina mama mnataka tu wa CHADEMA?
 
Wabunge halali?

Unaona unafiki unazidi sasa?

NEC inakiri haijapokea chochote toke CDM kupeleka kwa spika,yeye spika anaapisha watu NEC haiwatambui?

Ni halali kwa mujibu wa sheria za CCM nadhani?

Okay,unaipenda sana CDM leo na hao wabunge 19 wakati wewe ni mwana CCM juzi ulikua unaitukana CDM na akina Halima Mdee,leo ghalfa ni your darling?

How do we believe our own enemy?

Fvck off!

Jengeni nchi wenyewe na dhuluma zenu!
Wabaki nao huko huko, fukuzeni kazi yenu iishie hapo tu
 
Wabunge halali?

Unaona unafiki unazidi sasa?

NEC inakiri haijapokea chochote toke CDM kupeleka kwa spika,yeye spika anaapisha watu NEC haiwatambui?

Ni halali kwa mujibu wa sheria za CCM nadhani?

Okay,unaipenda sana CDM leo na hao wabunge 19 wakati wewe ni mwana CCM juzi ulikua unaitukana CDM na akina Halima Mdee,leo ghalfa ni your darling?

How do we believe our own enemy?

Fvck off!

Jengeni nchi wenyewe na dhuluma zenu!
Relax, hasira haijengi.
Bunge ni la wananchi wote.
 
Cha kushangaza povu jingi linatoka kwa wanaume Kama sio wivu na mfumo dume kitu gani?
Wanaume acheni ubinafsi wenu heshimuni wanawake
Acha ushamba wewe umeambiwa sisi tunashida na wanawake kuwa katika uongozi, baba yako ndie alitoa barua rasmi kuwapa kibali cha kupata teuzi....?!

Hebu kuwa serious muda mwingine
 
Kumfukuza mwanachama sio suala dogo.
Wakiwafukuza nao wana haki ya kupinga kufukuzwa. Hata wakifikishana Mahakamani, wabunge hawa watashinda kwa sababu chama hakina hoja yenye uzito. Chama kinalalamikia uchaguzi lakini hakina uthibitisho wa malalamiko yao.
Watafukuzwa na watabaki kuwa vitimaalum kupitia ccm.
 
Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.

Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.

Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.

Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.

Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.

Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
1.7t mtazisikia tu radio Kwizera FM.
 
Mchungaji Erasto anasema haiwezekani wanaume wawateulie wanawake viongozi wa kuwawakilisha, huo ni mfumo dume uliopitiliza.

Mchungaji anasema pamekuwepo malalamiko yaliyofika hadi kwa Spika kwamba wabunge wa viti maalumu huombwa rushwa " maalumu " kabla ya uteuzi na hili ni jambo baya kabisa.

Sasa kama Halima Mdee amewaokoa wenzake kutoka mdomoni mwa mwamba na kuwafikisha bungeni wakiwa " hawajaguswa" hilo mi jambo la kumpongeza amesisitiza mchungaji.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom