Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

- More Dataz, mwingine aliyezungumza ndani ya NEC ni Kapteni Komba, another joker sasa sikiliza this one, ".....kaka yangu Sitta pole sana, naomba nikuambie wewe na wajumbe wengine wote humu ndani kwamba Lowassa na kundi lake ni marafiki zangu sana na siwezi kuachana nao hata kidogo....."

"...wewe kaka yangu Sitta nimekuambia mara nyingi sana kwamba haya mambo yako na hicho kikundi chako unaenda sana nje ya mstari, lakini hukutaka kunikisia, sasa ona yaliyokukuta ni bora tu urudishe kadi yetu kaka...."

- And more dataz ni kwamba Karume, aliahirisha kuhudhuria dakika za mwisho, yeye na watu wake wa karibu kama kumi, infact aliwapigia simu hata baadhi ya wajumbe wengine waliokuwa Dodoma tayari kurudi Visiwani maramoja, huku akiwaagiza kwa ukali kwamba wasihudhurie kikao hicho cha NEC. The dataz ni kwamba alimfahamisha Mwenyekiti wa CCM kwamba ana homa nzito sana, lakini cha ajabu kesho yake akaenda kukutana na Balozi mmoja wa nje somewhere in Dar.

- Na dataz zaidi ni kwamba sasa tuna a confirmed report kwa 100% kwamba wajumbe 40 in total ndio walioongea kwenye kikao hicho, na Dk. Mwakyembe ni mmojawapo kama tulivyosema mwanzoni, kama mambo yakienda akama yalivyo sasa, then kesho nitakuwa na more dataz za majina yote 40 na waliyoyasema huko NEC.

- Na more dataz ni kwamba hii game ya NEC, Dodoma imetengenezwa na Lowassa, akishirkiana na baadhi ya watu wa idara ambao wamekua wakisikika wakidai kwamba sasa baada ya kikao cha juzi chama kimekua ni imara tena. According to the more dataz ni kwamba the deal ni kumrudisha Lowassa kwenye Cabinet Mwaka 2010, kama waziri wa Nje, au Ulinzi ili Mwaka 2015 achukue kiti cha Urais bila tatizo, kwa hii kasi nina wasi wasi kwamba lisemwalo lipo! na Haya maneno yalitamkwa na Karamagi somewhere, akijaribu kumshawishi mzito mmoja wa CCM kujiunga nao mafisadi.

Wakuu hatujamaliza tutaendelea na hizi dataz kama kawa, as soon as possible! na Mungu Aibariki Tanzania na JF Idumu Millele, where we dare!

Respect.

Field Marshall Es!

kaka tunashukuru sana!kwakweli nashawishika kusema wazi kwamba UMETANDAA,na umefika kusikofikika.nimeprint so many dataz na kuwapa wapiga kura wengi tu.hapa sasa natokea mahala tulikuwa na member mmoja humu humu tulikuwa katika ligi ya kuwashawishi wapiga kura juu ya hichi kikao na yatokanayo!

mkuu,
hivi huyu komba................!sijaona point yoyote ati
 
FMES unaweza badili rangi hapo wengine tuna color blindness

Many thanks in Advance

Masa in Texas
 
Jamani wana JF hivi hawa jamaaa mafisadi wanataka nini kwenye nchi yetu ?yani mtu anatetea haki ya watanzania wao wanaona hafai duh !! Nyerere Baba yetu ona upuuuzi huu !! lakini yote yanamwisho.


It looks so surreal, but it’s true. The Speaker of the Parliament of the United Republic of Tanzania, Samuel Sitta (Sam-Six) has just survived a major political lynching by his own party. His crime? He is doing his job perfectly!

Almost too perfectly, his enemies think. They have been baying for his blood at the CCM politburo meet in Dodoma and think he should be kicked out of the ruling party for speaking against graft!

According to insiders in the party politburo a senior member (who is a known for his communist sympathies and years for a one-party system of the 60s, spoke for about 45 minutes in which he slammed the Speaker for being too eager to run parliament based on the Westminster system, while failing to protect the thieving ways of some of the members of the ruling party.

In what appeared to be a carefully orchestrated move more than 40 of the key CCM committee launched direct attacks on Sitta and other ‘rebel’ MPs for speaking out against high-level corruption in government.

The politburo members accused the Speaker of ‘embarrassing’ the government by allowing the MPs during the recent parliamentary budget to openly criticize senior public rulers, both past and present. They implied that the rulers past and present deeds should be equated to deity – to be worshipped.

MPs who are the real stars of the anti-graft campaign are Anne Kilango Malecela (Same East) Lucas Selelii (Nzega), Christopher ole-Sendeka (Simanjiro) Dr. Harrison Mwakyembe (Kyela), Aloyse Kimaro (Vunjo) and the Speaker himself, Sam Six and millions of informed Tanzanians.

Sources say that the Speaker has effectively been put ‘on probation’, and will be monitored by three wise men in the politburo. They are former president, Mzee Ali Hassan Mwinyi, ex-National Assembly Speaker, Pius Msekwa and Abdulman Kinana, a former Speaker of the East African Legislative Assembly (EALA).

Their job will be to breathe down the necks of the Speaker and other ‘rebel’ MPs. If their future behaviors are deemed unsatisfactory the committee will call an emergency meeting to dismiss them from the party. This is not the politburo of Communist North Korea we are talking about. It is the politburo of a party in the democratic and multi-party system of the United Republic of Tanzania!

Analysts feel that in shielding crooks within the party and government the party has given the nod to wanton plunder and the big time corruption to go on.

Karatu MPs, Dr Wilbrod Slaa of the opposition CHADEMA party has said that he was not surprised that the Speaker and other anti-corruption crusaders within the CCM were now being intimidated and threatened with expulsion from the ruling party.

“All this proves that the forces of corruption have a huge influence within both the CCM and the government itself.” He said.

Godfrey Zambi (Mbozi East- CCM) has defended that Speaker in his parliamentary leadership so far, saying it would be a shame to discourage him from continuing to conduct parliamentary proceedings without fear or favour.

It seems the supporters of the alleged crooks in the CCM are desperately trying to turn the Speaker into a CCM whipping boy to support any of their whimsical dreams. Will the Speaker turn the other cheek and comply to those whims?

Poetic justice favours the brave few, but clean crusaders. They are facing heavy flak from the supporters of grand corruption. But right is always right and always wins in the end, analysts say.

Kyela MP, Dr Harrison Mwakyembe said at the meet, that the party friction arises from two opposing groups; one supporting grand-corruption and the other opposing it. “This fight will only end when corruption is swept away. Other than that there will be no negotiations or reconciliation.”

Some of the pro-corruption politburo members were said to boo all those anti-corruption crusading MPs. “Such uncouth behavior can only be from members who have nothing to say. It is easy to boo.” Said an analyst.

Some say that there have been many short-sighed and amateurish responses from the pro-corruption delegates. Gagging the anti-corruption MPs does not mean that the pro-corruption MPs will be listened to.

Reacting to the CCM clampdown on CCM-Safi members, lawyer/activists and political commentator, Tindu Lissu has said last week’s attempt by the ruling party to control parliamentary proceedings were basically illegal.

According to Lissu, CCM would be breaching the law if it were to take action against its MPs for comments made during debates with Parliament with all legislators have a certain entitlements under the Parliamentary Immunities, Powers and Privileges Act Number 3 of 1988.

Fortunately, few other members see the issue of the corruption drive more clearly than the rabble rousers. One politburo member, Abdulrahman Kinana summed it up: “The accusations of grand corruption against the top CCM leaders are the ones which are destroying the party.”

“What the pro-corruption members of the CCM should know is that it is no use talking when no one is listening.” Said an analysts.


Source: http://adamlusekelo.blogspot.com/2009/08/ccm-mafisadi-versus-ccm-safi-it-looks.html
 
Last edited:
We are witnessing the beggining of the End for CCM, its likes: KANU, UNIP,UPC, and others have already diminished, it is CCM`s turn.
 
- Hawa mafisadi pamoja na nguvu yao yote na wao pia wamechanganyikiwa sasa wanatuma tuma hovyo hivi vitisho bila ya kujua wanayemtumia ni nani hasa maana tuko wengi na hakuna anayeogopa,

- Tutawalima na kalamu na keyboards tu mpaka kieleweke, kama mlifikiri ni mtu mmoja tu anayewalima basi mmekula wa chuya tuko wengi sana na A luta continua tutawachapa fimbo mpaka mwisho, kama hamuamini subirini tutawaanika wote hapa tena kwa majina yenu na maneno yenu! kama vile kwenye gazeti la leo lile kiboko yenu!

Respect.


Field Marshall Es!

Pole Mkuu, sasa ndio tunaingia kwenye uwanja mpya wa mapambano - hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza akakaa chini na kuandika barua ya kijinga kama hiyo. Hayati Nicolae Ceausescu, aliyeitikisa mpaka dunia ya kwanza, alisalimu amri mbele ya UMMA wa wana Romania - itakuwa hawa manyang'au yanayokula bila kunawa ? Kwa sasa hizi rasha rasha tu za JF tayari zinawaweka matumbo moto, je zikianza mvua za masika ? Mafisadi wametangaza vita dhidi ya Watanzania, hivi ni vita ambavyo wanajua fika hawawezi kushinda. Kama kuna wakati tumehitaji kumkoma nyani - huo wakati umewadia na wananchi tusilegeze kibano, tumewashika pabaya. A luta continua.
 
Mkuu FMES,

Hongera sana kwa kukujua kuwa wewe na baadhi ya wanaJF, na hili jukwaa la JF ni tishio. Sikupi pole naama ndo matokeo ya haya mapambano na hope unategemea hili. Huu ndo ushujaa ulioonyesha kwenye bandiko. Nguvu ya uma haisahauliki na itasimama daima.

Tupo pamoja daima.
 
We are witnessing the beggining of the End for CCM, its likes: KANU, UNIP,UPC, and others have already diminished, it is CCM`s turn.

CCM is smarter, nay, shrewder, than KANU, UNIP & UPC. Moreover, it has the benefit of hindsight. It is still playing the populist card where it matters the most - see this:

Saturday Aug 22, 2009
08_09_hgvjqg.jpg
President Jakaya Kikwete addresses residents after making a brief stop in Mtama Village, Lindi Region, when travelling by road from Lindi Municipality to Masasi Township in Mtwara Region yesterday (Photo by Freddy Maro).

JK: Stop selling land to foreigners

By The guardian reporter 21st August 2009


JK%281%29.jpg

President Jakaya Kikwete

President Jakaya Kikwete has called upon the general public to put a stop to the habit of selling land to foreigners.

The President made the call when inaugurating the new Mbwemkuru-Mingoyo tarmac road in Lindi Region on Wednesday.

“Avoid selling land portions to foreigners anyhow,” he warned.

Kikwete said regardless of the fact that the new 95-kilometre road opens doors for economic development opportunities, the opportunities should not be used for selling land to foreigners.

“There are areas in this country where local people have sold their land and later found themselves becoming agents of the same people they sold land to, assisting them (new owners of land) to sell the same land to other people,” he said.

Kikwete was addressing a public rally at Mkwajuni in Lindi District where the launching ceremony was held.

The president said the completion of the tarmac road has brought to an end the long history on complaints by Lindi and Mtwara residents that they have been forgotten.

“Now the story that Tanzanians living south of Rufiji River were still living in Tanganyika, and those in the North of the River were living in Tanzania is now history,” said Kikwete.

------------------------------------------------
Ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji!
 
naitamani siku ile ambayo ccm itagawanyika vipande viwili tuchague kimoja kati ya vipande hivyo viwili.
 
CCM is smarter, nay, shrewder, than KANU, UNIP & UPC. Moreover, it has the benefit of hindsight. It is still playing the populist card where it matters the most - see this:
ccm is not smarter than kanu at all....

the difference between ccm and kanu is the voters. kenyan voters are smarter than their neighbours
if you take ccm to kenya, it will vanish in less than three years
 
ccm is not smarter than kanu at all....

the difference between ccm and kanu is the voters. kenyan voters are smarter than their neighbours
if you take ccm to kenya, it will vanish in less than three years

I wonder if Zanzibar and Busanda voters will agree with you. Look at how this shrewd party dealt with Jumbe, Mrema, Komandoo, Kolimba and so forth. Never ever understimate a party that is hegemonic and has a populist as a chair.
 
Pole sana Kamanda FMES kwa vitisho hivyo.
Inabidi tukaze budi hawa mafisadi wapo wachache sana tuwakatae jamani.
 
I wonder if Zanzibar and Busanda voters will agree with you. Look at how this shrewd party dealt with Jumbe, Mrema, Komandoo, Kolimba and so forth. Never ever understimate a party that is hegemonic and has a populist as a chair.
populist chair!!!!he who can't debate in public...
hey this is not a beauty contest, its politics....

nowdays tanzanians are more obsessed with beauty contest than anything else. based on this, he is popular than his peers....
 
Nimeshasikia upumbavu mwingi lakini huu wa Kusila ni komesha! Kweli ana akili timamu? Hebu wanaomfahamu zaidi watupe data zake.
 
populist chair!!!!he who can't debate in public...
hey this is not a beauty contest, its politics....

nowdays tanzanians are more obsessed with beauty contest than anything else. based on this, he is popular than his peers....

How do you define populism and a populist? Does being a be a good public debater makes one a populist? Or is it simply a matter of saying what the masses what to hear and make them feel you? What does all those photos from Lindi tell you about the difference between a public and the public?
 
Mkuu FMES;

That means meseji delivered. You rock man!.

Aliyeandika huo ujumbe hana hata dalili za kuonyesha anakufahamu kabisaaaaaaa. Nadhani unanielewa mkuu tumekuwepo muda mwingi kwenye hili game la kuandika na kuweka sawa mambo ya taifa letu humu toka enzi za Nyezi - Bcs.
Maana hakuna hata hint moja inayokugusa.

Naomba uniruhusu nikutumie PM ya kumjibu!

- Mkuu FP heshima mbele na ninaheshimu sana kwamba unaweza kutenganisha ishus, kujua ipi ni muhimu kwa masilahi ya taifa na ipi siyo, kwa hilo ninakupa Salute. Hivi vitisho vinatumwa na watu waliochanganyikiwa ambao walidhani wameshashinda huko NEC, sasa hawaelewi kwa nini bado wanashambuliwa toka juzi kila kona za media, pamoja na kwamba kuna media zingine karibu zote walizinunua na kuandika wanachotaka, so far ni Raia Mwema, Mwanahalisi, na JF ambao tumekataa kata kata huu upuuuzi.

- Mkuu niwekee ujumbe kwa sasa nipo ninajaribu ku-navigate dataz zaidi za huu mkutano, ninajaribu kupata majina 40 ya wajumbe wote waliozungumza na exactly walichokisema, sio kazi rahisi lakini ninajaribu kila njia na soon nitaweka hapa, subira tu yavuta heri maana mazingara ni magumu sana, lakini we will be fine.

Otherwise, nipenyezee hakuna noma, nipo.

Respect
.

Field Marshall Es!
 
FMES,

Pole sana, wasikutishe hao jamaa. Hawana lolote zaidi ya kuganga njaa zao tu.

Hata huku vijijini tunatishiwa kila siku kwasababu tu kuna watu wanahisi tunaandika JF, lakini hatubabaiki.

Japo nina wasiwasi na ukweli wa mambo mengi uliyoyaandika kwenye thread hii lakini pia ninapinga vitisho dhidi ya wanachama wa JF.
 
- Na more dataz ni kwamba hii game ya NEC, Dodoma imetengenezwa na Lowassa, akishirkiana na baadhi ya watu wa idara ambao wamekua wakisikika wakidai kwamba sasa baada ya kikao cha juzi chama kimekua ni imara tena. According to the more dataz ni kwamba the deal ni kumrudisha Lowassa kwenye Cabinet Mwaka 2010, kama waziri wa Nje, au Ulinzi ili Mwaka 2015 achukue kiti cha Urais bila tatizo, kwa hii kasi nina wasi wasi kwamba lisemwalo lipo! na Haya maneno yalitamkwa na Karamagi somewhere, akijaribu kumshawishi mzito mmoja wa CCM kujiunga nao mafisadi.

Wakuu hatujamaliza tutaendelea na hizi dataz kama kawa, as soon as possible! na Mungu Aibariki Tanzania na JF Idumu Millele, where we dare!

Respect.

Field Marshall Es!

Mkuu, nashukuru sana kwa taarifa yako. Niliwahi kusema siku za nyuma kwamba, endapo JK atashinda tena 2010, atahakikisha kuwa EL anarudi kwenye serikali yake. Kama ulivyosema sehemu fulani katika michango yako, ni kweli kuwa haya ni maandalizi muhimu sana ya kumsafisha na hatimaye kumrudisha EL katika serikali. Watafanya kila wawezalo kufikia azma yao hiyo.

Wanaodhani kuwa JK anaweza kuwatema mafisadi wanatakiwa kukumbuka kuwa muda wa JK kufanya hivyo unakwisha. Kama anatakiwa kuwatema alitakiwa awe ameshaanza sasa. Dalili zote zinaashiria kuwa, hana nia ya kuwatema bali anataka kuwadhihirishia kuwa yuko pamoja nao, atawalinda na wao wamsaidie kushinda tena uchaguzi ifikapo 2010.
 
- Hawa mafisadi pamoja na nguvu yao yote na wao pia wamechanganyikiwa sasa wanatuma tuma hovyo hivi vitisho bila ya kujua wanayemtumia ni nani hasa maana tuko wengi na hakuna anayeogopa,

- Tutawalima na kalamu na keyboards tu mpaka kieleweke, kama mlifikiri ni mtu mmoja tu anayewalima basi mmekula wa chuya tuko wengi sana na A luta continua tutawachapa fimbo mpaka mwisho, kama hamuamini subirini tutawaanika wote hapa tena kwa majina yenu na maneno yenu! kama vile kwenye gazeti la leo lile kiboko yenu!

Respect.

Field Marshall Es!


Mkuu FMES,

Bhita ni bhita murra, unabhikiri kasi ya chesi ni lelemama!!!

Nikupe tu pongezi mkuu wa kazi, hao fisadiz hawakuwezi, wanajaribu kuupunguza mwendo wako, manake toka kikao cha NEC kiishe umefanya mashambulizi ya hatari mno, tena bila kuchoka.

Walifikiri kwamba baada ya kufanikiwa kukiteka kiako cha nec dodoma watakuwa wamemaliza kazi, kumbe haikuwa hivyo matokeo yake imekula kwao.

Mwanajeshi kufia vitani ni ushujaa, sasa uogope nini na kazi ya jeshi unaimudu!!!???

Kanyaga twende mkuu wa kazi, hawakuwezi hao wanatapatapa tu.
 
Last edited:
Respect wakuu wote,

- Bado ninahangaika sana kuyapata majina yote 40 na waliyosema, technically ni ngumu kidogo kwa sababu ya the cost, unajua tunajitolea tu na hatupigi kelele lakini this things yaani dataz's business it sure costs a lot of money kuzipata, anyways ninawaomba subira tu maana ni lazima pia kuheshimu ugali wa wale tunaoshirikiana in this game, once kukiwa clear tutaweka hapa kila kitu it may take a little time, lakini the promise ipo pale pale, kama tulivyoanza.

- Nia na madhumuni yangu ni kuweka wazi kilichotokea na then wananchi ndio wataamua what to do na hizi information tunazowapatia huku JF, pia inasaidia kuwajua vizuri hawa viongozi wetu, na hasa wale ma-clown kama Kusila na Chiligati, otherwise tupo pamoja sana.

- Halafu guess what are the sad news? Hawa two clowns yaani Kusila na Chiligati ni my home boys, tunatoka tribe moja, can somebody please gimme another tribe! I mean what a shame!

Respect & Later!

Field Marshall Es!
 
Yaani nchi imeachwa, inaliwa na mafisadi mpaka wana jeuri ya kutoa maneno pumba namna hii!, oohhh poor Tanzania
 
Back
Top Bottom