Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

Mheshimiwa Magale Shibuda ni mmoja kati ya makada wa CCM wanaoielewa katiba ya chama chake pamoja na katiba ya nchi; na ndio maana mara zote akizungunza ananukuu vitabu husika. Huyu bwana ni jasiri na anaamini anachozungumza; kwasababu ya msimamo wake usioteteleka, ndio maana mafisadi na wapambe wao mkoani Shinyanga wakiongozwa na mwenyekiti wa CCm mkoa wanafanya kila hila kumuangusha Shibuda kisiasa kitu ambacho naamini watashindwa!!
 
I don't know. May be mafisadi will make the time to tell soon.

Kunguru ataondolewa mabawa.

Ujanja wa mbuni kuficha kichwa ndani ya mchanga wakati makalio yako nje!! Aibu yao aibu yetu?? Aibu yao wenyewe ...

Even mtoto wa kindergarden ukimuuliza who are the prime fisadis in this country atakutajia with confidence .... its Chakaar (a.k.a muarabu wa tabora) and Richard Monduli!!

Wapambe wa mafisadis pls go and tell them (RA & EL) ... its no more!!
 
Naombea hayo hayo.
Hali tuliyo nayo inatisha. Imekuwa kwamba ni lazima EL arudi kuwa Waziri na kwa spid hii ni lazima aingie ikulu.

Maombi yangu kila siku ni kumpata 'Mwanawasa' wetu toka ndani ya CCM.


Kitu chochote ukikilazimisha katika maisha mwisho wake hauna kheri!! Kumlazimisha Ngamia aingie kwenye tundu la sindano mwisho wake nini? Lowassa anatakiwa ajifunze hili somo!!
 
Kwa maoni yangu kuna uwezekano mkubwa sana wa kuwa na uchaguzi kabla ya muda unaotegemewa kwa uchaguzi wa kawaida.

Kwa jinsi mambo yanavyokwenda kisiasa nchini, inaonyesha kuwa kuna watu ndani ya CCM ambao wako tayari kwa lolote (ikiwa pia kupoteza watu mashuhuri ndani ya chama). Wanaona bila kuwa wakali na hata kuwang'oa, mkate wao utakuwa hatarini, na hawako tayari kupoteza nguvu yao kisiasa hata kidogo.

Kama ambavyo wengi wamehisi uwezekano wa wabunge wa CCM ku-team up na kumng'oa Spika, pia naona kuna uwezekano mkubwa wa Wabunge hao hao na au hata wengine wengi zaidi kusimama na kuamua lolote na liwe, wakapiga kura ya kutokuwa na imani na "guess who".

Wakuu, tuombee vita hivi visitufikishe tukashindwa kuishi kwa amani na usalama.
 
Mwanawane,
Mr Punch
"Hivi huyo KUSILA ni mbunge wa jimbo gani vile? Nawaonea huruma sana wapiga kura wa jimbo hilo. Hapo hamna mbunge. Kweli mtu unaweza kuuza utu wako kirahisi namna hiyo! Siamini!"

Ni Mbunge wa BAHI ni nje kidogo ya Dodoma ukiwa waelekea singinda piatia manyoni
Na nikule sasa macho yote ya Dunia yanapatizama kwani ndipo kuna Madini ya URANIUM sasa hapo napo hatuju kusila alivyo sema ni kuwa nae anataka kugombea tena kwa Jimbo hilo??


Nadhani Kusila anatakiwa akumbuke aliko toka na hao wazee(Ndejembi, Lusinde, Malecela) me nadhani kwake ni kama baba zake na walio mlea kisiasa na ndipo alipo fika,


Pili mtu kabla ya kuongea kitu na ktk mkutano wa NEC wapaswa kabisa jua wewe kwanza uko position gani na uliko toka na unakwenda wapi personaly sio unaamka na kulopoka tuuuuu basi ati nawe wakusikie, me nafikili wana mtanado walikuwa wamejiandaaa vya kutosha ila JK alitaka kuwasikia na kuwaelewa je ni nani na niyupo wako kundi lipi na ndipo wakajikanyaga na matarajio yao hayakufika tamati wananchi sasa wanawaona sio watu tena, kweli Uchaguzi wa 2010 naanza kuona mgumu kwa wana CCM wengi

 
- Wakuu tuende mbele na nyuma, hebu tuangalie kwa mapana na marefu kilichotokea kwenye hii NEC na implications zake kwa taifa, na hasa wananchi walalahoi, kwenu wapiganaji na sisi wananchi tunaowaunga mkono kwa 100% hebu tuangalie tena tathmini ya hii NEC, ukweli ni kwamba hawa mafisadi this time wametupiga vibaya sana,

- Wamemtisha Spika wa bunge la Jamhuri, anayeshika nafasi ya tatu katika mstari wa katiba yetu kwenye kushika madaraka ya urais, iwapo Rais na Makamu hawatakuwepo, hawa mafisadi wameweza kumtisha na kumbana koo, huku rais wa jamhuri amekaa pale akicheka as if it is funny, wakuu this is serious!

- Ninasema JF hatujashindwa hivi vita, tutaendelea kumkoma nyani mpaka kieleweke, lakini huko kwenye taifa tumepigwa jamani huu ni ukweli usiopingika, kama wameweza kumbana koo Spika wa Jamhuri, nani atakayewashinda tena under Spika? Nasema nani? Halafu ukweli ni kwamba hatujawahi kuwashinda hawa mafisadi kwa 100%, siku zote they play us arround, tulipowakaba koo kwenye Mwenyekiti wa UV-CCM, still wakatuzunguka na kumpitisha Makamu Mwenyekiti, Tulipotaka kuwanasa kwenye NEC ya Richimonduli na Kiwira, bado wakatuzunguka na maneno ya Lowassa kuonewa, na Mkapa aachwe apumzike!

- Wakati umefika sasa wa kumgeuzia kibao Rais Kikwete, yes I said it Mheshimiwa Rais somebody is not telling the truth hapa na hii vita, either wewe, wapiganaji, au sisi wananchi, lakini haiwezekani tukawa tunazunguka hapo hapo kila siku as if hatuna akili ya kutosha, wote tunajua kwamba Lowassa na genge lake ni wezi ndio maana mpaka wakakimbia uongozi wa juu bila kufukuzwa, sasa inakuwaje tena hao hao ndio wanakuwa na nguvu ya kutaka kuwaondoa kina Spika ambao hatuna proof yoyote kama ni wezi kama kina Lowassa, ambao proof zipo?

- Mheshimiwa Rais get real, acha hii two faces game unalimaliza taifa hili leo na la kesho, I mean this is not real kwamba eti Lowassa na kina Rostam, sasa wanajaribu kumuondoa Spika na wapiganaji na wewe upo pale mbele unacheka kama vile ni mazuri sana ni dalili za mufilisi wa maadili ya uongozi, hili sasa ni taifa la Sodoma na Gomora, yaani sasa wezi wanaweza kuwaonea wasio wezi linakua taifa gani hili sasa? Yaani watuwazima na akili zenu mmekubali kufikia mahali pa kumruhusu huyu Rostam kutuchezea akili taifa zima? Yaani Rais mzima umesimama ndani ya NEC, unasema hujali hela za kukisaidia chama zinatoka wapi au kwa nanil, au wanaotupa wamezipataje that is a joke! yes a big joke!

- Ingekua ni katika nchi zilizoendelea hapa palitakiwa Spika kufikishwa kwenye sheria, kisa CCM wanadai anakiuka sheria za bunge, ingechukuliwa maneno yote ya kina Kusila kama ushahidi, halafu wote huko NEC mngeitwa kwenye sheria kutoa ushahidi, na ku-face cross examination ya advocates, ndio jasho lingewatioka wote hao wapuuzi wa huko NEC!

Wallahi sasa ninafikiria kurudisha kadi yenu CCM, maana haiwezi ku-get worse than this kikao!

Respect.

Field Marshall Es!
 
Lunyungu,

Wewe ni msanii kweli kweli, inabidi ujiunge na The Comedy. Unatunga mambo kuja kuwafurahisha JF?
Na JF ilivyo na wajinga wengi, eti wanapiga makofi.

Huyo jamaa yako hakusema chochote kwenye NEC na alipotaka kusimama alizimwa na akanyong'onyea.

Kwa taarifa yako aliaga hapa Kyela kwamba yeye ni mtu muhimu mno kwenye vikao vya NEC na kwamba afadhali wakosekana akina Prof. Mwandosya na Prof. Mwakyusa kuliko kukosekana yeye.

Pia aliahidi kurudi Kyela Jumatano kuendelea na ziara yake ya kuzima moto wa Mwakalinga. Lakini baada ya kujeruhiwa Dodoma kaingia mitini.

Wapambe wanasema jemadari kajeruhiwa, yuko msituni kutafuta mbinu nyingine.

Kyela hapa ndio mazungumzo pekee; kwamba hawa jamaa kumbe hawajali maslahi yetu maana kama wangelikuwa wanajali maslahi ya wananchi si wangelisema chukueni kadi zenu?

- Mkuu acha hizo hizi dataz tulikuwa tunazipokea wote na Mkuu Lunyungu, na infact nimepewa na mpiganaji mwenziwe aliyongea naye mwenyewe na kuzithibitisha kwa wajumbe wengine, kampeni zenu za Kyela zisituharibie habari muhimu za taifa letu hapa JF tunajaribu kuwaheshimu sana sasa mnaanza kwenda mbali sana na hizo kampeni za Kyela.

- Kama kuna lawama na hii habari ninabeba mimi FMES kwa 100%, kama ni ya uongo basi ina maana wapiganaji ni waongo, sitaki kuamini that! Sitaki kuamini kwamba tunaongozwa na wapiganaji waongo! Naona wengine sasa mnaanza hata kubadili ID, sasa ndio mnaharibu kabisa, kampnei za Kyela zibaki kwenye thread zake, msituharibie kila thread wakuu, tafadahlini sana, msije mkatulazimisha kuingia upande wa pili wa glass!

Respect.

DK. Mwakyembe is my hero ndani ya huu mkutano wa juzi!

Field Marshall Es!
 
kwani nyie mlifikiri kikwete atamtetea spika sitta wajamen..open yr eyes u tanzanians..chama kizima kile cha ccm ni mafisadi tu...kwanzia mwkt hadi mjumbe wa nyumba kumikumi
 
FMES,
Nakupa pongezi nyingi sana sana kwa kuweza kutuhabarisha yote yaliyojiri katika NEC. Pamoja na kuwa watu wengi ni wapenzi wa mirengo tofauti, lakini ni wachache wanaoweza kusimamia ukweli, ila kwa hili nakupongeza. Laiti, Watanzania wengi tungeweza kumweleza mfalme kuwa anapembe pale tunapoushuhudia huo upembe.

Kuna ukweli ambao hatuwezi kuukataa daima kuwa, pamoja na mapungufu mengi ya sitta, lakini amakuwa spika tofauti kuliko yeyote aliyewahi kupata nafasi hiyo, na huenda asitokee mwingine miaka ya usoni. Pamoja na udhaifu ambao mtu kama Mwakyembe anao, lakini kazi aliyoifanya na kuthubutu ni hazina ambayo nayo ni vigumu kupatikana katika mazingira ya siasa hasa za chama tawala. Umenikuna sana FMES, na hongera sana.

Niseme tu, kuwa umekuwa ukiaga lakini kutokana na umuhimu wa hili jukwaa imekuwa vigumu kuishia kimoja, nadhani ikiwa kimoja tutakumis daima.
 
Mzee ES,

I couldn't agree with you more; to make a long story short, you are right on the money .
 
We engineer wewe,

umesahau kale ka msemo ka kiswahili.... "UKISUSA WENZIO TWALA"??

Lakini pia kujali maslahi ya wananchi sio lazima kuwatupia kadi zao, kwani wao tu ndo wenye chama? Suala hapa ni kwamba kwa imani hiyohiyo waliyonayo na chama chao cha kifisadi pamoja na wapambe wao, inabidi waendelee kukabiliana nao humo humo ndani ya ku-CCM.

Huo ushauri wa kuwataka warudishe kadi za CCM, inabidi uanze na Mwakalinga, mshauri arudishe kadi ya kifisadi ajiunge na chama kilicho makini na kinachojali maslahi ya wananchi. Sio mnajifanya kuwashauri wenzenu warudishe kadi ili mpate unafuu na ushindi kiulaini. Jipangeni kisawasawa, mjengoni hamuingii kirahisi ati.

Hah hah hah ... oh my freaking GOD. Hii JF ibarikiwe milele zoooooote amina na amina na amina na amina.

Yaani ukisikia JF smack down ndiyo hii.
 
- Mkuu acha hizo hizi dataz tulikuwa tunazipokea wote na Mkuu Lunyungu, na infact nimepewa na mpiganaji mwenziwe aliyongea naye mwenyewe na kuzithibitisha kwa wajumbe wengine, kampeni zenu za Kyela zisituharibie habari muhimu za taifa letu hapa JF tunajaribu kuwaheshimu sana sasa mnaanza kwenda mbali sana na hizo kampeni za Kyela.

- Kama kuna lawama na hii habari ninabeba mimi FMES kwa 100%, kama ni ya uongo basi ina maana wapiganaji ni waongo, sitaki kuamini that! Sitaki kuamini kwamba tunaongozwa na wapiganaji waongo! Naona wengine sasa mnaanza hata kubadili ID, sasa ndio mnaharibu kabisa, kampnei za Kyela zibaki kwenye thread zake, msituharibie kila thread wakuu, tafadahlini sana, msije mkatulazimisha kuingia upande wa pili wa glass!

Respect.

DK. Mwakyembe is my hero ndani ya huu mkutano wa juzi!

Field Marshall Es!

Thanks FMES
 
Lunyungu,

Wewe ni msanii kweli kweli, inabidi ujiunge na The Comedy. Unatunga mambo kuja kuwafurahisha JF?
Na JF ilivyo na wajinga wengi, eti wanapiga makofi.

Huyo jamaa yako hakusema chochote kwenye NEC na alipotaka kusimama alizimwa na akanyong'onyea.

Kwa taarifa yako aliaga hapa Kyela kwamba yeye ni mtu muhimu mno kwenye vikao vya NEC na kwamba afadhali wakosekana akina Prof. Mwandosya na Prof. Mwakyusa kuliko kukosekana yeye.

Pia aliahidi kurudi Kyela Jumatano kuendelea na ziara yake ya kuzima moto wa Mwakalinga. Lakini baada ya kujeruhiwa Dodoma kaingia mitini.

Wapambe wanasema jemadari kajeruhiwa, yuko msituni kutafuta mbinu nyingine.

Kyela hapa ndio mazungumzo pekee; kwamba hawa jamaa kumbe hawajali maslahi yetu maana kama wangelikuwa wanajali maslahi ya wananchi si wangelisema chukueni kadi zenu?

Engineer alisema"JF ilivyo na wajinga wengi na eti wanapiga makofi",napinga sana kauli hii ya hovyo hovyo ya mdau Engineer,ni kauli inayokera na namuomba ama aombe radhi au akumbane na adhabu kali toka kwa mods!

Lkna bado nashangaa,Sijui ilikuwaje "ENGINEER"akatoka kwenye mada ya Kusila na NEC akaingia kwenye mambo ya Mwakyembe?Na kwa nini haelezi ukweli kuhusu wananchi wa Kyela na Mbunge wao Mwakyembe?Ni kanga ngapi alitandikiwa chini Mwakyembe na wapiga kura wake alipokuwa anawasili Ntaba?Ni nini kiliwakuta wahandisi pale Lufilyo ilipofika habari kama kuna njama za kumdhoofisha Mwakyembe kisiasa?Engineer Huyaoni haya yote kwa sababu kambi ya Mwakalinga inakujazia mafuta kwenye pikipiki yako au?

Mwakyembe sio muathirika hata kidogo wa kikao cha CCM-Nec na wala hakujadiliwa Dodoma individually,sasa ni wapi Kyela wanamsimanga Mwakyembe kama hajali maslahi ya wapiga kura wake?habari hizi hazina ukweli wowote na zitupiliwe mbali!

Bytheway,Engineer naomba namba ya kaka yako Oden niwasiliane nae maana nipo mkoani kwake kwa leo!
 
- Wakuu tuende mbele na nyuma, hebu tuangalie kwa mapana na marefu kilichotokea kwenye hii NEC na implications zake kwa taifa, na hasa wananchi walalahoi, kwenu wapiganaji na sisi wananchi tunaowaunga mkono kwa 100% hebu tuangalie tena tathmini ya hii NEC, ukweli ni kwamba hawa mafisadi this time wametupiga vibaya sana,

- Wamemtisha Spika wa bunge la Jamhuri, anayeshika nafasi ya tatu katika mstari wa katiba yetu kwenye kushika madaraka ya urais, iwapo Rais na Makamu hawatakuwepo, hawa mafisadi wameweza kumtisha na kumbana koo, huku rais wa jamhuri amekaa pale akicheka as if it is funny, wakuu this is serious!

- Ninasema JF hatujashindwa hivi vita, tutaendelea kumkoma nyani mpaka kieleweke, lakini huko kwenye taifa tumepigwa jamani huu ni ukweli usiopingika, kama wameweza kumbana koo Spika wa Jamhuri, nani atakayewashinda tena under Spika? Nasema nani? Halafu ukweli ni kwamba hatujawahi kuwashinda hawa mafisadi kwa 100%, siku zote they play us arround, tulipowakaba koo kwenye Mwenyekiti wa UV-CCM, still wakatuzunguka na kumpitisha Makamu Mwenyekiti, Tulipotaka kuwanasa kwenye NEC ya Richimonduli na Kiwira, bado wakatuzunguka na maneno ya Lowassa kuonewa, na Mkapa aachwe apumzike!

- Wakati umefika sasa wa kumgeuzia kibao Rais Kikwete, yes I said it Mheshimiwa Rais somebody is not telling the truth hapa na hii vita, either wewe, wapiganaji, au sisi wananchi, lakini haiwezekani tukawa tunazunguka hapo hapo kila siku as if hatuna akili ya kutosha, wote tunajua kwamba Lowassa na genge lake ni wezi ndio maana mpaka wakakimbia uongozi wa juu bila kufukuzwa, sasa inakuwaje tena hao hao ndio wanakuwa na nguvu ya kutaka kuwaondoa kina Spika ambao hatuna proof yoyote kama ni wezi kama kina Lowassa, ambao proof zipo?

- Mheshimiwa Rais get real, acha hii two faces game unalimaliza taifa hili leo na la kesho, I mean this is not real kwamba eti Lowassa na kina Rostam, sasa wanajaribu kumuondoa Spika na wapiganaji na wewe upo pale mbele unacheka kama vile ni mazuri sana ni dalili za mufilisi wa maadili ya uongozi, hili sasa ni taifa la Sodoma na Gomora, yaani sasa wezi wanaweza kuwaonea wasio wezi linakua taifa gani hili sasa? Yaani watuwazima na akili zenu mmekubali kufikia mahali pa kumruhusu huyu Rostam kutuchezea akili taifa zima? Yaani Rais mzima umesimama ndani ya NEC, unasema hujali hela za kukisaidia chama zinatoka wapi au kwa nanil, au wanaotupa wamezipataje that is a joke! yes a big joke!

- Ingekua ni katika nchi zilizoendelea hapa palitakiwa Spika kufikishwa kwenye sheria, kisa CCM wanadai anakiuka sheria za bunge, ingechukuliwa maneno yote ya kina Kusila kama ushahidi, halafu wote huko NEC mngeitwa kwenye sheria kutoa ushahidi, na ku-face cross examination ya advocates, ndio jasho lingewatioka wote hao wapuuzi wa huko NEC!

Wallahi sasa ninafikiria kurudisha kadi yenu CCM, maana haiwezi ku-get worse than this kikao!

Respect.

Field Marshall Es!

asante kamanda, maneno yako ni mazito, hisia na hoja ni nzito, Mungu atusaidie. This is the best post ever in this week, ubarikiwe FMES. Kama nilivyosema kwenye post yangu moja huko nyuma, guys think twice, ni bora kujenga chama mbadala sasa, CCM imetekwa, imekwisha na ni hatari kwa ustawi wa nchi.
 
Kwa mtazamo wa haraka haraka mafisadi wamejipanga vizuri na ianonekana wanauwakilishi wa kutosha ndani ya NEC.Kwa msingi huu inawezekana wapiganaji wengi tunaowaona sasa wasipatiwe nafasi za kugombea tena katika uchaguzi ujao kwa kupitia CCM.

Ushauri wangu kwao wawe na plan B endapo wataona wanawekewa mizengwe ndani ya CCM
.

- Mkuu maneno ni mazito sana haya, maana ndio ukweli haswa!

Respect.

FMEs!
 
- More Dataz, mwingine aliyezungumza ndani ya NEC ni Kapteni Komba, another joker sasa sikiliza this one, ".....kaka yangu Sitta pole sana, naomba nikuambie wewe na wajumbe wengine wote humu ndani kwamba Lowassa na kundi lake ni marafiki zangu sana na siwezi kuachana nao hata kidogo....."

"...wewe kaka yangu Sitta nimekuambia mara nyingi sana kwamba haya mambo yako na hicho kikundi chako unaenda sana nje ya mstari, lakini hukutaka kunikisia, sasa ona yaliyokukuta ni bora tu urudishe kadi yetu kaka...."

- And more dataz ni kwamba Karume, aliahirisha kuhudhuria dakika za mwisho, yeye na watu wake wa karibu kama kumi, infact aliwapigia simu hata baadhi ya wajumbe wengine waliokuwa Dodoma tayari kurudi Visiwani maramoja, huku akiwaagiza kwa ukali kwamba wasihudhurie kikao hicho cha NEC. The dataz ni kwamba alimfahamisha Mwenyekiti wa CCM kwamba ana homa nzito sana, lakini cha ajabu kesho yake akaenda kukutana na Balozi mmoja wa nje somewhere in Dar.

- Na dataz zaidi ni kwamba sasa tuna a confirmed report kwa 100% kwamba wajumbe 40 in total ndio walioongea kwenye kikao hicho, na Dk. Mwakyembe ni mmojawapo kama tulivyosema mwanzoni, kama mambo yakienda akama yalivyo sasa, then kesho nitakuwa na more dataz za majina yote 40 na waliyoyasema huko NEC.

- Na more dataz ni kwamba hii game ya NEC, Dodoma imetengenezwa na Lowassa, akishirkiana na baadhi ya watu wa idara ambao wamekua wakisikika wakidai kwamba sasa baada ya kikao cha juzi chama kimekua ni imara tena. According to the more dataz ni kwamba the deal ni kumrudisha Lowassa kwenye Cabinet Mwaka 2010, kama waziri wa Nje, au Ulinzi ili Mwaka 2015 achukue kiti cha Urais bila tatizo, kwa hii kasi nina wasi wasi kwamba lisemwalo lipo! na Haya maneno yalitamkwa na Karamagi somewhere, akijaribu kumshawishi mzito mmoja wa CCM kujiunga nao mafisadi.

Wakuu hatujamaliza tutaendelea na hizi dataz kama kawa, as soon as possible! na Mungu Aibariki Tanzania na JF Idumu Millele, where we dare!

Respect.

Field Marshall Es!
 
Mkuu Es, sababu naheshimu data zako, ina maana watu wa idara wanatuchezea shere.

Maana according to wao, Muungwana anasubiri issue yake ya urais iwe concrete 2010, ndio awapige chini kundi zima la EL, RA

Sasa kama hiyo issue tena ya EL kurudi, basi hawa watu wanatuchezea, ingawaje nawaamini sana wanaposema kuwa Jk atawapiga chini kundi lote.

Time will tell, tusubiri hiyo 2010, mungu akitujalia uzima.
 
Mkandara said:
Jokakuu,

Interest za rais comes first.. kuwasafisha kina Spika hana haja maadam wanabakia ktk nafasi zao. Sitta akiendelea kuvaa joho lake joto la jiwe watalipata huko bungeni na nina hakika wengi wa watu hawa hawatarudi..Ndio imetoka hiyo!

Mkuu wangu ktk Utawala maneno matupu hayajengi wala hayafanyi kazi isipokuwa position uloshika ktk mashambulizi..Rais angetakiwa kumtetea Sitta tu kama ingefikia hatua ya kumwondoa Sitta uanachama kama vile JK alivyosimama ilipofikia hatua ya kumsimamisha Mkapa mahakamani.

Mwakyembe ni ushabiki wake tu unajua tena Machale hawakosi kuichangia mada. Lakini hakuna haja ya JK kumsafisha Mkapa wala mjomba wake kwani what is at stake ni utawala wake yeye, Mwakyembe na Sitta ni mabehewa tu..Behewa bila kichwa halina faida.


Mkandara,

..machale yalishanicheza kwamba JK hana nia ya kushughulikia mafisadi.

..nakupa mafisadi aliowateua tangu aingie madarakani halafu niambie kama yuko serious:

Edward Lowassa -- Waziri Mkuu; Andrew Chenge -- Waziri Afrika Mashariki; Mustafa Mkullo -- Wizara ya Fedha ; Basil Mramba -- Waziri Miundo Mbinu; Daniel Yona -- Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii; Dr.Idiris Rashidi -- DG Tanesco; Andrew Chenge -- Tume ya Maadili CCM.

..kuna mambo mawili hapa: ama, JK mwenyewe ni fisadi, au amepokea fadhila nyingi sana toka kwa mafisadi kiasi kwamba anawaonea aibu.

..lakini wanaonitibua zaidi ni watu kama Reginald Mengi na unafiki wake wa kudai JK ni Jemedari wa kupigana na mafisadi Tanzania.
 
Mkuu Es, sababu naheshimu data zako, ina maana watu wa idara wanatuchezea shere.

Maana according to wao, Muungwana anasubiri issue yake ya urais iwe concrete 2010, ndio awapige chini kundi zima la EL, RA

Sasa kama hiyo issue tena ya EL kurudi, basi hawa watu wanatuchezea, ingawaje nawaamini sana wanaposema kuwa Jk atawapiga chini kundi lote.

Time will tell, tusubiri hiyo 2010, mungu akitujalia uzima.

- Mkulu Moelex23, heshima mbele sana mkuu, lakini jaribu kusoma alama za nyakati maana according to the dataz ni mstaafu wa huko idara ndiye mwenye usukani bado na ndiye mwenye nguvu nzito huko, kwa hiyo tizama ni interest ya nani kumrudisha Lowassa,

- Kwamba eti Muungwana atawapiga chini hawa mafisadi, ninasema no way infact wenye akili nyingi sana na siasa za bongo wanadai hiki kikao cha juzi kilikuwa ni kikao cha kuizika rasmi CCM, wanasema sasa Guninita aliyekuwa CCM, akakimbia na kwenda Chadema na kukaa huko miaka miwili, akiwa kule akawatukana sana CCM kwamba ndio wamemuua Kolimba na Mwaikambo, leo amerudi tena CCM na sasa anadai true CCMs kama Sitta warudishe kadi, huku Mwenyekiti wa CCM akiwa amekaa mbele na kucheka sana na kumuashiria kuendelea na hizi unspeakable rants, halafu eti huyu Mwenyekiti kuna siku atakuja kumpiga chini Guninita na wanaomtuma, it does not make any sense at all ingawa ninaheshimu sana mawazo yako!

Respect.

Field Marshall Es!
 
FMES,

..afadhali Guninita kuliko matusi aliyokuwa akirusha Tambwe Hiza.

..Hiza alidai kuna jahazi limepigwa mabomu na helikopta ya polisi na mamia ya Wapemba wameuawa.
 
Back
Top Bottom