Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #41
Jenga hoja kamanda, kwani harusiwi kutoa maoni kuhusu Chadema?Seif anahusiana nini na Cdm ?!
Uliachwa lakini hawajakutoka moyoni !!.
Hivi unafikiri Maghufuli kutoka magogoni na kwenda kumpokea Lowassa kule Lumumba ilikuwa kazi ndogo na rahisi ?!. Hilo lilikuwa deal la system a k a wasiojulikana. Si swala Cdm
Sent using Jamii Forums mobile app