johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema CCM haikuwatendea Haki kwa kutompa Katibu mkuu mh Mnyika nafasi ya kuongea ilhali alikuwepo msibani akikiwakilisha Chama
Lema amesema hakuna asiyejua kwamba hayati Lowassa alikuwa Mgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi ya Chadema
Lema amesema hakuna asiyejua kwamba hayati Lowassa alikuwa Mgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi ya Chadema