Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #21
Kamanda Sefu ndio kasema sio mimi, mngejadili kama chama ili kutoa majibu ya hoja yake badala ya jazba.Ulitaka Lowassa abebwe ?!. Cdm wanamheshimu Lowassa na ametoka kwa amani.
Sent using Jamii Forums mobile app