Maalim Seif awaponza viongozi wa Jeshi la Polisi Pemba, yaamriwa wavuliwe vyeo

Kifungu gani cha sheria au katiba kinachomzuia kufanya mikutano? Anatekeleza haki yake ya kikatiba mlipaswa kumpa ulinzi sio kuwatoa watu kafara kwa kuitii na kuitekeleza katiba ya nchi
 
Yule Kigogo 2014 aliyepinga maridhiano. Kwa hatua hii tungetegemea atakinukisha ili kupinga huu uonevu. Naona yuko kimya. Au yeye anaridhiana kwa siri, hataki wanaoridhiana hadharani?
 
Naibu Waziri wa mambo ya ndani Hamad Masauni amemwagiza IGP Sirro kuwavua vyeo RPC wa Kusini pemba Hassan Nasir Ally na RPC wa Kaskazini Pemba Shekhan Mohamed kwa kosa la kumwacha Jabali Maalim Seif kuhutubia wananchi wa Pemba , huku siasa za majukwaani zikiwa zimekatazwa
ha ha ha, maajabu 7 ya dunia sasa yapo TZ...njooni mshuhudie
 
Mpwa umeiona hii??
Screenshot_20191212-201423.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
USHAURI KWA VYAMA VYA UPINZANI: Leo 12/12/2019 mwenyekiti wa CCM taiga amewaambia CCM kwamba wafanye mikutano ppopote Tanzania kwa sababu walishinda kwa kishindo selikari za mitaa.

Inaelekea kuna maagizo ya kikataza vyama vyote vya upinzani kutofanya mikutano popote Tanzania.
Inawezekana wakuu wa vitongoji, na mitaa, tarafa, kata, wilaya na mikoa wakawa wameagizwa kusimamia hilo.
Navishauri vyama vya upinzani kukaa na kuliona hili mapema na kulifanyia kazi, kwa mujibu wa sheria maana ni CCM tu itakuwa na access kwa wapiga kura tu. Waeleze wenye mamlaka ya kukemea, kushauri, kutoa haki, kutafsiri sheria, nk. Kuliko kuja kukabiliana na mabomu na virungu kwa kisingizio cha .....

Pia niombe CCM ACHA KUTUMIA VIBAYA NA ISIVYO HAKI MAMLAKA YA RAIS KUKANDAMIZA VYAMA, KUFANYA HAYO NI DHAMBI, NI UKATILI NI UCHAFU MKUBWA WALE WAKRISTO HAMTAKUWA NA KIBARI KUJONGEA MEZA YA BWANA KAMA MTATEKELEZA NIA OVU ZA NAMNA HIYO PIA WAISLAM PIA MTAKUWA MNAJIDANGANYA IBADA ZENU NI BURE MKAE MKIJUA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
magomeni mapipa,

Upinzani ujifunze Zanzibar,hakuna maridhiano yalio tekelezwa, cud ilishinda na haikuwa ushindi, maridhiano ya kweli ni kusimamia katiba na usawa tu, kunahitajika katiba mpya ambayo itatoa kila muhimili uhuru, vyombo vya Dola kuwa huru kwani sasa hivi wanatishwa na mawaziri katika nafasi zao, tume huru ya uchaguzi, taasisi ya kusajili vyama vya siasa , bunge na mahakama.

Yakisimamiwa haya kwa mfumo mpya wa katiba basi ndio maridhiano ya kitaifa yametimia, kwa sasa maridhiano hayawezi kutekelezeka, kila mtu yupo juu ya sheria
 
Nijuavyo mimi kazi ya jeshi la polisi siyo kufuatilia mienendo ya wanasiasa bali kulinda raia na mali zao. Hizo nyingine ni kazi za ziada lakini kazi kuu ni kuwalinda raia, viongozi na jamii nzima pamoja na rasilimali zao ndani ya nchi.

Naibu waziri kuagiza afisa wa polisi ama ashushwe cheo au ahamishwe kwa sababu ameshindwa kumzuia mwanasiasa fulani kukutana na wananchi sidhani kama ni kwa mujibu wa katiba ya JMT.

Tukio hili limeniifanya nitafakari kwa upya ombi la Mbowe juu ya kuwepo maridhiano labda kuna tatizo mahali.

Maendeleo hayana vyama!
 
Naibu Waziri wa mambo ya ndani Hamad Masauni amemwagiza IGP Sirro kuwavua vyeo RPC wa Kusini pemba Hassan Nasir Ally na RPC wa Kaskazini Pemba Shekhan Mohamed kwa kosa la kumwacha Jabali Maalim Seif kuhutubia wananchi wa Pemba , huku siasa za majukwaani zikiwa zimekatazwa

Bashiru kafanya mikutano mingi tu hatukusikia chochote.
Nchi hii hakuja hoja ya maridhiano, ni jino kwa jino tu.
 
Matusi ya nini mkuu? Jenga hoja!
Hoja gani aliyoieleza hapo. Unafikiri wapemba ni wapuuzi kama nyinyi.

Na jeshi lenu hatuwaogopi ikiwa mnabunduki sio tishio kwetu.

Kuna days fulani policcm na tumeccm walijitoa ufahamu wakuandikisha ccm watupu wakiacha upinzani kilichotokea waulize BBC wataelezea shule yote ilijazwa mizinga ya nyuki na upupu kwenye vyuma. Zoezi lilisimama na uandikishaji ulighairishwa.

Hatuwaogopi na jeshi lenu. Uoga wenu ufanyeni lumumba kina mkiinika makomwwe kwa magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom