MAKWINYAMSAFIRI
Member
- Dec 5, 2014
- 15
- 1
bongo movie ni ngono tupu ndo wanacho kijua
bongo movie ni ngono tupu ndo wanacho kijua
wafuasi wa ccm hao na akili zinafanana hivyo hivyo
Inashangaza hata filam zingine huwezi angalia na wwt. Acha filam hata matangazo ya biashara. Jaribu kusikiliza tangazo la kondom. Mara helement oh nava sasa nava, mara ah baby hata kondom unita helmet?. Hilo likitolewa nauko wwt hasa mabint kuna maadili hapo. Hahusika wapo wapo tuMatatizo ya filamu za bongo ni mengi. Mojwapo ni kuwa, scripts zake haziko detailed, na hata wasanii hawajitumi kuinternalize scripts na mbaya zaidi directors hawazingatii kuhakikisha kuwa scripts zinazingatiwa. Kinachoshangaza kingine filamu ina kuwa imeshikilkiwa na mtu mmoja huyohuyo (director, script writer, actor, editor, producer etc). Na mbaya zaidi mradi mzima wa film hauna contuinuity director!!!
Sio Tu movie , hata pia mziki Bado Sana. Mfano diamond cha mtoto ukimcompare na davido
Bongo Mavi
niliiona hii movie ya mtoto na mama kama mtu na demu wake...
niliiona hii movie ya mtoto na mama kama mtu na demu wake...yaan hawawez kutofautisha hata umri
Inashangaza hata filam zingine huwezi angalia na wwt. Acha filam hata matangazo ya biashara. Jaribu kusikiliza tangazo la kondom. Mara helement oh nava sasa nava, mara ah baby hata kondom unita helmet?. Hilo likitolewa nauko wwt hasa mabint kuna maadili hapo. Hahusika wapo wapo tu
Siku hizi naona hata hizo institution za vetting ya matangazo ziko usingizini kwani kila kitu kina kwenda hali rojo, ni upigaji wa kwenda mbele. Hata pale wafadhili wanapokuwa wametusaidia kugharamia tangazo, wameachiwa uhuru kujitangaza kwa nkwenda mbele, hili ndilo shamba la bibi, wajukuu wanajichotea wanavyoona
Nasikia the young billionaire ya kanumba the legindary (rip) waliekti masaa kumi na moja tu kwa anzia asubuhi had jion
Duuuuh bado sanaa bongo yetu afu tunawaza soko la kimataifa kweli
Yaaani cjui lini tutaweza hata kuweka uhalicia ata kwa umbali tuuu duuh
Akili zetu hazitutoshi Mkuu! Kila kitu sanaa anzia pale Magogoni mpaka huku uraiani full sanaa! Kwa ufupi hatuna tunachokiweza chenye kuleta maendeleo kwa taifa!
Kweli ndugu kila kitu ni kubabaisha tu ce