Maajabu ya bongo movie..

Maajabu ya bongo movie..

Nyingine eti jini kuvuka barabara anaangalia kushoto kulia kushoto na kuhakikisha hamna magari anavuka

Kuna moja nilicheka miaka ya nyuma sana eti steringi alimfytulia mkuu wa maadui risasi na kioo kilikuwa kimewatenga mkuu wa maadui baada ya kufytulia risasi upande mwengine wa kioo akaanguka na kufa na damu kibao kuchuruzika lakin kioo hakikuvunjika kilikuwa vile vile.

kwiiikwiii!!!!!
 
Kuna posta ya movie moja nimesoma somewhere movie inaitwa kabla ya kifo kwa blacket wakaandika before to die nikajiuliza labda mmi ndio sijui hio lugha ya wakoloni
 
Yaani mimi movie za bongo siangalii kabisa,hata unishikie bunduki utaniua,yaani naona kitendo tu cha kuangalia na mimi ni bogus, naangalia nini matakataka matupu
 
Kuna posta ya movie moja nimesoma somewhere movie inaitwa kabla ya kifo kwa blacket wakaandika before to die nikajiuliza labda mmi ndio sijui hio lugha ya wakoloni

Haaaa haaaaa haaaaa apo napo utata sanaaaa
 
Yaani mimi movie za bongo siangalii kabisa,hata unishikie bunduki utaniua,yaani naona kitendo tu cha kuangalia na mimi ni bogus, naangalia nini matakataka matupu

Movie ikianza tu unajua mwisho ni nn
 
Hata mm niliiona jana ni part 2,1 ilikuwa wiki ilopita.POILISA WANAMTAFUTA MTU KANA KWAMBA WANAJUA ALIPO na baada ya kumkamataa hata hawachukui tahaadhari na BASTOLA ya mhalifu inashikwa bila kujali ALAMA ZA VIDOLE.Na baada ya kumkamata wanaampeleka kwa mama yake mh!!

Umeiona eeeh et pale ndo nimeshindwa hata kuelewa asa mama ndo aliwatuma wamsake au alikuwa anasakwa na chombo cha sheria kutokana na kosa la mauaji alilo fanya
 
iv ile muvi ya majuto na wenzie inaitwa inye plus nayo sion kama ina maadili kabisa..wala haichekeshi cha zaid ipo kama ponograph..
 
iv ile muvi ya majuto na wenzie inaitwa inye plus nayo sion kama ina maadili kabisa..wala haichekeshi cha zaid ipo kama ponograph..

Afu huwa sielew hata majina ya matusi hivyo wanayaweka kwenye hizo movie ni ya nn
 
...nimekuwa karibu na wazungu, malezi yao kwa watoto wadogo ni tofauti sana na wabongo. moja ya mambo aliyokuwa anasisitiza kwa katoto kake ka miaka mitatu ni kufikiria kwa kina kabla ya kufanya kitu. kakipoteza toy kanaambiwa think, kakimaliza kuchezea toy kanaambiwa think namna ya kutunza vitu vyako vizuri. kisha kanasomewa vitendawili na mafumbo ili kafikiri. nikajua wenzetu wanashughulisha ubongo sana na ndio matokeo ya kutumia akili sana ktk kila jambo. wabongo hatuna huu utamaduni na hatuamini ktk professionalism....
 
hahahaha nilicheka pale yule mama anatoa vipande vya kuku jikoni at moja kwa moja kaviweka kwenye hotpot hata hajaweka somewhere kwenye chombo cha kuchuja kwanza yale mafuta lol

Ndiyo shida wasanii wetu hawaigizi ukweli maisha ya Tz yalivyo wao wanaigiza uzungu hafu uzungu wenyewe hawauez,ile scene angeambiwa aigize anakaanga vitumbua au chapati ange-perfome vizuri but kwa sababu sio maisha aliyoyazoea ndo madhara yake hayo..shida sana bongo movie.
 
I never watch bongo movie.

Director: vicent kigosi
Producer: vicent kigosi
Editor: vicent kigosi
Script: vicent kigosi
Contnuity: vicent kigosi
Music: vicent kigosi

How comes story utunge mwenyewe uongoze mwenyewe uedit mwenyewe kila kitu mwenyewe! HAIWEZEKANI!!
Ndo maana kuna madudu mule.

Mimi huwa nawaza kitu kimoja, kwa wasanii ambao sasa wako vizuri kifedha, kwanini wasi-outsource hata utunzi wa story from Nigeria?

Wenzetu mbele, their main priority katika movie production ni uhalisia no matter how much will it cost. Imagine movie inakuliza.
Ya kibongo unaangalia huku unafyonza.

WHO REMEMBERS 'THE PRICE' aka pastor ken
 
Wakati mwingine unaweza kukuta muigizaji ana uwezo mkubwa tu wa kuigiza, lakini story yenyewe sasa ya kijiiiiinga, kazi tu kupoteza muda kwenye vitu visivyo vya msingi.

Siku moja nilikuwa ugenini, nikalazimika kutazama bongo movie maana ndo waliyokuwa wameweka...
Nilishangaa sana kuona muigizaji mbongo kaigiza viwango vya juu, dada alijitahidi kwenye mambo ya uhalisia...
Nadhani ni somebody FORD kama sikosei, maana siwafahamu sana hawa vituko.
 
Wakati mwingine unaweza kukuta muigizaji ana uwezo mkubwa tu wa kuigiza, lakini story yenyewe sasa ya kijiiiiinga, kazi tu kupoteza muda kwenye vitu visivyo vya msingi.

Siku moja nilikuwa ugenini, nikalazimika kutazama bongo movie maana ndo waliyokuwa wameweka...
Nilishangaa sana kuona muigizaji mbongo kaigiza viwango vya juu, dada alijitahidi kwenye mambo ya uhalisia...
Nadhani ni somebody FORD kama sikosei, maana siwafahamu sana hawa vituko.

Afu hawana jipya kila siku ni yale yale
 
I never watch bongo movie.

Director: vicent kigosi
Producer: vicent kigosi
Editor: vicent kigosi
Script: vicent kigosi
Contnuity: vicent kigosi
Music: vicent kigosi

How comes story utunge mwenyewe uongoze mwenyewe uedit mwenyewe kila kitu mwenyewe! HAIWEZEKANI!!
Ndo maana kuna madudu mule.

Mimi huwa nawaza kitu kimoja, kwa wasanii ambao sasa wako vizuri kifedha, kwanini wasi-outsource hata utunzi wa story from Nigeria?

Wenzetu mbele, their main priority katika movie production ni uhalisia no matter how much will it cost. Imagine movie inakuliza.
Ya kibongo unaangalia huku unafyonza.

WHO REMEMBERS 'THE PRICE' aka pastor ken

Haaaa haaaaa haaaaaa haaaa uliza ss kwa mwez mmoja ni movie ngapi apo anatoa ndo mana hazina ubora
 
...nimekuwa karibu na wazungu, malezi yao kwa watoto wadogo ni tofauti sana na wabongo. moja ya mambo aliyokuwa anasisitiza kwa katoto kake ka miaka mitatu ni kufikiria kwa kina kabla ya kufanya kitu. kakipoteza toy kanaambiwa think, kakimaliza kuchezea toy kanaambiwa think namna ya kutunza vitu vyako vizuri. kisha kanasomewa vitendawili na mafumbo ili kafikiri. nikajua wenzetu wanashughulisha ubongo sana na ndio matokeo ya kutumia akili sana ktk kila jambo. wabongo hatuna huu utamaduni na hatuamini ktk professionalism....

Hata kujisomea tuu ni wavivu mfano vitabu fanya utafuti utajua ni watanzania wangapi wenye uliyo tabia ya kujisomea????
 
I never watch bongo movie.

Director: vicent kigosi
Producer: vicent kigosi
Editor: vicent kigosi
Script: vicent kigosi
Contnuity: vicent kigosi
Music: vicent kigosi

How comes story utunge mwenyewe uongoze mwenyewe uedit mwenyewe kila kitu mwenyewe! HAIWEZEKANI!!
Ndo maana kuna madudu mule.

Mimi huwa nawaza kitu kimoja, kwa wasanii ambao sasa wako vizuri kifedha, kwanini wasi-outsource hata utunzi wa story from Nigeria?

Wenzetu mbele, their main priority katika movie production ni uhalisia no matter how much will it cost. Imagine movie inakuliza.
Ya kibongo unaangalia huku unafyonza.

WHO REMEMBERS 'THE PRICE' aka pastor ken
the price mimi happa
 
Kuna movie nilikua nikiangalia hapa EATV inaitwa CHOZI LA BABA duuuh yaaan kuna kipande kimenishangaza sana yan mtu ameshindwa ata kupiga ishara ya msalaba kweli duuuh kwa style hii kweli uigizaji gani huu...

Kwa atakayeipata angalia kipande kile mama mtu na mwanae wa kike walipo kwenda kaburini kuangalia kabur la baba yao kilicho tokea ni kwamba wote wawili izo ishara tu za msalaba zimekuwa tatizo...

Movie za bingo soko la kimataifa bado sana

mm huwa naona aibu kuangalia, kuna cku nliona matangazo ya movi ya. kibongo inaitw taksi driver nkajua itakuwa bonge la muvi, nkaenda kuazima, mweee! najuuta hata cjarudia tena mm ni teja wa hollywood.
 
Back
Top Bottom