1.Jambazi anavua viatu anapovamia nyumbani kwa mtu.
2.Mtu anapigwa risasi mguuni anatoka damu mdomoni
3.Mtu anatoka kulala huku amepaka lipstick na make-up
4.Mlinzi wa geti lazima awe zezeta.
5.Itachukua dadaki 20 mtu kuwasha gari na kuondoka nyumbani(wataonyesha matairi,seat zote,side mirror etc)
6.Jambazi lazima avae koti jeusi refu na miwani nyeusi na.
7.Ikitokea wapenzi wakagombana watavunja glass tu sijawahi kuona mtu anavunja TV.
8.Mtu anashuka kwenye gari amevaa shati la njano akifika ndani utamuona kavaa jeusi (sijui kabadilisha saa ngapi)
9.Ray anakumbuka miaka kumi iliyopita halafu anaonekana mweupe badala ya mweusi.
10.Mtu anapigwa risasi part one,anakufa part two.