Junior11
Member
- Mar 23, 2017
- 10
- 28
Leo hii bongo muvi wanalalamika wamekosa soko na muvi za njee ndo zinaharibu soko lakini wamesahau kitu kimoja kinaitwa uwekezaji leo hii bongo fleva mtu anawekeza zaidi ya M 30 au 40 kwa video ya dk 4 mpaka 3 kaweka dhamira lakini awa ndugu zetu bongo muvi vituko mtupu, haiwezekani muvi ya saa zima uwekeze M 10 utgemee upate kitu kizuri, muangalie mmejikwa wapi mnyanyuke mtngenezee kazi nzuri mchawi hayupo kariako