MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Kitekinolojia tumeachwa mbali kwani sisi Bongo tunatumia Camcorder while wenzetu wa magharibi wanatumia mitambo mounted with sophisticated Camera.
Ukilinganisha hapo utaona bongo movie bado iko miaka ya 40 enzi za Yomba yomba