Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,549
Bongo muvie hizihizi????;( badooo
Mkuu umeona majanga hayo?? Hiyo picha ya mwisho anamaanisha "hataki hata kuniona nyumbani". Ha ha ha haaaa, imetoholewa moja kwa moja kutoka kwenye Kiswahili.Kitu hicho!![]()
Hatari sana! Inabidi wakubali kwamba kazi nyingine wafanye wataalamu, kwa mfano hizo subtitle wanahitaji mtaalamu wa lugha na hasa aliyebobea katika fani ya translation na sio wao wenyewe na kiingereza chao cha english course!Mkuu umeona majanga hayo?? Hiyo picha ya mwisho anamaanisha "hataki hata kuniona nyumbani". Ha ha ha haaaa, imetoholewa moja kwa moja kutoka kwenye Kiswahili.
Huenda ni mambo ya bluetooth, tekinolojia ime advance sana kaka.Kuna moja nilicheka miaka ya nyuma sana eti steringi alimfytulia mkuu wa maadui risasi na kioo kilikuwa kimewatenga mkuu wa maadui baada ya kufytulia risasi upande mwengine wa kioo akaanguka na kufa na damu kibao kuchuruzika lakin kioo hakikuvunjika kilikuwa vile vile.
Usikute ulidhani ipo kama ile 'taxi driver 'aliyocheza Robert De Nero 1976......kama ndivyo basi kosa ni lako sio la bongo muvi.mm huwa naona aibu kuangalia, kuna cku nliona matangazo ya movi ya. kibongo inaitw taksi driver nkajua itakuwa bonge la muvi, nkaenda kuazima, mweee! najuuta hata cjarudia tena mm ni teja wa hollywood.
Kuna moja nilikuwa nacheki kwenye basi, character anaitwa 'Mwalimu Vumbi' na kwenye subtitles wanamuandika 'Teacher dust'.Kitu hicho!![]()
Wanatafsiri mpaka jina hahahaha kwahiyo Mhogo mchungu angeitwa 'bitter cassava'! Bongo movie Mungu anawaonaKuna moja nilikuwa nacheki kwenye basi, character anaitwa 'Mwalimu Vumbi' na kwenye subtitles wanamuandika 'Teacher dust'.
Nikajiuliza hivi wanapoandaa hizi muvi wanatufikiriaje Watazamaji?
Ah ah Ah ah ah Ndio Level zaoWatetezi wa movie za kibongo ni wadada wa kazi....
Watetezi wa movie za kibongo ni wadada wa kazi....
kwa nini jamaniWanapenda undugu hao balaa. Ila kama we ni mdada ukiwapa mgegedo hata kama hujui utapewa kipandeMm nataka kuingia kwenye bongo move nitawapataje wahusika ili nikaongee nao niifufue
Mi dumeWanapenda undugu hao balaa. Ila kama we ni mdada ukiwapa mgegedo hata kama hujui utapewa kipande