MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

Ha ha ukiisoma hii kitu watu walimstukia wakaona wawalaze wote


NAIONAONEKANA KATESA WENGI KIMYA KIMYA WAKANZA KUKUMBUKA SHIDA ZAO WANAKIJIJI WAKASEMA NAWE UENDE TU
 
Mkuu pia umezidisha utata sasa aliwezaje kumbeba umbali wrote huo akiwa ndani ya mfuko wa koti pasi kumdhuru ? Bwana yule ni nyoka tu
Kisa cha kuanguka hiyo boda boda ni purukushan huyo kati Yao nadhan alichomoka kwenye bag na baba yake alivyohojiwa alisema ni kawaida yake kudakadaka nyoka wakiwa shambani
 
Nimeona video ya mahojiano na dereva boda boda aliyembeba huyo marehemu na mashuhuda possibility ya huyo jàmaa ķuwa alikufa kwa sumu ya nyoka ni kubwa.Maelezo Yao ni tofauti na kinachoandikwa na magazeti.Mashuhuda wanasema huyo jamaa baada ya nyoka kuingia chini ya daraja aliingia na yeye na kuanza kumvuta na nyoka akawa anachoropoka baada ya purukushan,jamaa akaanza kuishiwa nguvu huku anatoa povu na kujikojolea ndipo wananchi wakawahi kumuua nyoka;Magazeti yanatuambia jamaa alikua anaishiwa nguvu kila nyoka anapopigwa
 
Nimeona video ya mahojiano na dereva boda boda aliyembeba huyo marehemu na mashuhuda possibility ya huyo jàmaa ķuwa alikufa kwa sumu ya nyoka ni kubwa.Maelezo Yao ni tofauti na kinachoandikwa na magazeti.Mashuhuda wanasema huyo jamaa baada ya nyoka kuingia chini ya daraja aliingia na yeye na kuanza kumvuta na nyoka akawa anachoropoka baada ya purukushan,jamaa akaanza kuishiwa nguvu huku anatoa povu na kujikojolea ndipo wananchi wakawahi kumuua nyoka;Magazeti yanatuambia jamaa alikua anaishiwa nguvu kila nyoka anapopigwa
mkuu km una iyo clip,,just post humu tuione,,pliiiz
 
Majibu:
Komba alimtegemea nyoka wake kwa mkate wake wa kila siku. yawezekana alimfundisha kuwinda akawa anatumwa porini kuwinda na kuleta kitoweo.

lkn pia huenda bw komba alimpa nyoka wake mafunzo akawa anamtumia kwenye sanaa za maonyesho na kujipatia kipato.

pili nimesema bw komba alikuwa na mahaba makubwa kwa nyoka wake. ndiyo maana akatoa angalizo kwa watesi wa nyoka wake kuwa mkimuua nami nakufa.

mahaba kwa kitu ama mtu huua ndg zanguni, labda niwakumbushe tu kidogo. mwili wa hayati mwl jk nyerere ulipowasili nchini toka uingereza watu 29 walizimia na 3 kupoteza maisha. haya yalikuwa mahaba.

mao tse tung wa china alipofariki watu 9 walifariki kwa mahaba.
 
Sumu ya nyoka hubadili rangi ya ngozi je kulikuwa na kitu kama hicho au walau jeraha?
sumu ya nyoka haiui haraka kiasi hicho, shetani yupo, hujawahi ona MTU anaombewa na baada ya pepo kutoka anakwambia alikua makaburini.. shetani yupo na tunaishi na watu kumbe ni miti.
 
sumu ya nyoka haiui haraka kiasi hicho, shetani yupo, hujawahi ona MTU anaombewa na baada ya pepo kutoka anakwambia alikua makaburini.. shetani yupo na tunaishi na watu kumbe ni miti.
 
sumu ya nyoka haiui haraka kiasi hicho, shetani yupo, hujawahi ona MTU anaombewa na baada ya pepo kutoka anakwambia alikua makaburini.. shetani yupo na tunaishi na watu kumbe ni miti.
Inategemea aina ya nyoka na aling'atwa muda gani;
 
Nimeona video ya mahojiano na dereva boda boda aliyembeba huyo marehemu na mashuhuda possibility ya huyo jàmaa ķuwa alikufa kwa sumu ya nyoka ni kubwa.Maelezo Yao ni tofauti na kinachoandikwa na magazeti.Mashuhuda wanasema huyo jamaa baada ya nyoka kuingia chini ya daraja aliingia na yeye na kuanza kumvuta na nyoka akawa anachoropoka baada ya purukushan,jamaa akaanza kuishiwa nguvu huku anatoa povu na kujikojolea ndipo wananchi wakawahi kumuua nyoka;Magazeti yanatuambia jamaa alikua anaishiwa nguvu kila nyoka anapopigwa
lakini kwenye picha, maerhemu alionekana kang'atwa na nyoka kwenye kisigino
 
Mkuu Copenhagen DN kwenye uzi wangu nimeamua kufupisha maelezo kwa kuandika kuwa kulitokea reactions ambazo ni negative. hapa nimemaanisha metabolic reactions ama kwa ujumla physiological processes nyingi sana zilienda ndivyo sivyo.
 
naona hamjaelewa vizuri kabla hajafa alisema mkimuuwa huyo nyoka na yeye atakufa sasa sumu imetoka wapi hapo
 
Back
Top Bottom