Kwa lugha rahisi sana huyu mmiliki wa nyoka ndg Komba (26) mkazi wa Songea alikuwa na MAHABA. Yawezekana alikuwa anamtegemea sana ktk maisha yake.
Hivyo huyu nyoka alikuwa sehemu ya akili na mwili wa ndg Komba.
Hivyo kitaalamu kilicho muua Komba ni tele-empathy (telempathy), kwa kiswahili ni midadi. Midadi huja pale ambapo mtu amebeda hisia kali juu ya kitu/mtu. Komba alikuwa anamhurumia nyoka wake kiasi kwamba alikuwa anayabeba maumivu ya kipigo cha nyoka.
Nyoka wake alipokufa, Komba akawa amepatwa na maumivu ya kihisia kwa kiasi kikubwa na kupelekea kinga yake kushuka mno.
Pia ktk mwili wake palitokea reactions ambazo ni negative kwa afya na uhai wake ndiyo maana akaanza kutokwa mapovu na hatimaye kifo chake. Kuna Uhusiano Mkubwa Sana Kati Ya Hisia Na Uhai.