MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

Mkuu rafiki yangu nilisoma nae primary alikwenda teaching college baada ya form four, first appointment alipangiwa huko kusini kwenye mpaka na Mozambique. Tulikutana anafight apate uhamisho kurudi Dar, aliniambia kuna siku aliona nyoka, ameanza kupiga kelele watu wakaambiana aah si nyoka wa Fulani yule, tena huyo Fulani aliitwa aje amchukue nyoka wake, alipokua alimuita na nyoka alimfuata.

Rafiki yangu lile tukio hata kaa alisahau, mwisho wa yote alihama huko.
 
Mkuu rafiki yangu nilisoma nae primary alikwenda teaching college baada ya form four, first appointment alipangiwa huko kusini kwenye mpaka na Mozambique. Tulikutana anafight apate uhamisho kurudi Dar, aliniambia kuna siku aliona nyoka, ameanza kupiga kelele watu wakaambiana aah si nyoka wa Fulani yule, tena huyo Fulani aliitwa aje amchukue nyoka wake, alipokua alimuita na nyoka alimfuata.

Rafiki yangu lile tukio hata kaa alisahau, mwisho wa yote alihama huko.
Mkuu, juzi wakati wa Krismas nilikuwa na rafiki yangu Mmanda wa Lituhi alinisimulia juu ya Mzee mmoja aliekuwa akihamisha mamba wake zaidi ya mia 2 (200) kutoka kijiji kimoja kwenda kijiji kingine.
Madai yake ni kwamba mahali walipokuwa wamekuwa wengi(aliwabakiza kama 40 au zaidi) na malisho yamemekuwa haba. Alikokuwa akiwapeleka ana mwanae kaolewa huko hivyo atakuwa akiwaangalia.
Namna alivyokuwa akiwahamisha ndio iliniacha hoi zaidi: Mzee anatembea nchi na mamba wanasafiri ziwani, wote wakielekea upande mmoja.
 
Mkuu, juzi wakati wa Krismas nilikuwa na rafiki yangu Mmanda wa Lituhi alinisimulia juu ya Mzee mmoja aliekuwa akihamisha mamba wake zaidi ya mia 2 (200) kutoka kijiji kimoja kwenda kijiji kingine.
Madai yake ni kwamba mahali walipokuwa wamekuwa wengi(aliwabakiza kama 40 au zaidi) na malisho yamemekuwa haba. Alikokuwa akiwapeleka ana mwanae kaolewa huko hivyo atakuwa akiwaangalia.
Namna alivyokuwa akiwahamisha ndio iliniacha hoi zaidi: Mzee anatembea nchi na mamba wanasafiri ziwani, wote wakielekea upande mmoja.
Hii science yao mkuu hata wakina Newton hawaoni ndani matatizo ni kuwa iko under cover.
 
Soon utagundua kuna mazito yanaendelea behind ze scene
Okey ili uamini niinbox majina yako matatu nikupe muono mpya 2017 ,japo badae ntajaribu kwa hili jina lako usjali utakuja kukiri hapa.
 
hahahahaha leo bodaboda kanipakia sasa dushe ikasimama ikawa inamgusa kiunoni akifunga breki kidogo akimbie nikamtuliza kumwambia tulia we mtoto wa kiume hii ni dushelele sio nyoka wa KOMBA
 
Alitakiwa amrudie Yesu haraka na kutubu dhambi zake.Bila shaka alikuwa hajui kwamba Yesu ni Njia,Kweli na Uzima.
Yes tena??
Inatakiwa kufanya utafiti binadamu inawezekana vip kuwa na mahusiano na nyoka??

Bado siamini mkuu,anapigwa nyoka anadhulika binadamu hicho kipaji ni poa sana
 
Alitakiwa amrudie Yesu haraka na kutubu dhambi zake.Bila shaka alikuwa hajui kwamba Yesu ni Njia,Kweli na Uzima.
Yes tena??
Inatakiwa kufanya utafiti binadamu inawezekana vip kuwa na mahusiano na nyoka??

Bado siamini mkuu,anapigwa nyoka anadhulika binadamu hicho kipaji ni poa sana


Haha masela wamepuuzia maneno ya marehemu na kumdedisha Nyoka John matokeo yake wamemdedisha na jamaa
Bitoz
Ah ah ah ah wewe dogo huwa unanifurahishaga sana comments zako

Nimeanza kukufwatilia miez kadhaa nyuma kimya kimya naenjoy uwepo wako humu

Kila kher MADENGE kapuku
 
Uchunguzi wa daktari unaonyesha kifo cha marehemu kimetokana na nini? Ni vigumu sana kwangu kuamini ngonjera kama hizi!
 
Mhm inasikitisha ila ndo ukome kujifanyisha nyoka na hio ndio hatma yako
 
Watu wanafiwa na ndugu zao wa muhimu sana lakini hatuhmjawahi sikia kama mtu kapata hisia mpaka zmemsabshia kifo ,hebu tueleze kwa kina rukuelewe ,kulikuwa na uhusiano gan kati ya nyoka na na huyo binadamu komba ?????
Wapo wanaokufa baada ya wapendwa wao kufariki. Wengi tu
 
Kama huyo mtu kazikwa bila kufanyiwa uchunguzi wa kilichomuua (postmortem), basi hilo ni ajabu jingine la nyongeza.
 
Back
Top Bottom