amos eglan
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 310
- 464
Tanzania tupo vizuri Sana kwenye teknologia yaani MTU unaweza kuconnect mawasiano yko na kiumbe kingine yaani we ze best
Mhh, yawezekana akatoa ufafanuzi wa hayo mahusiano ya maswahiba waliokumbwa na mauti
Bado hatujajua pengine jamaa alikuwa ni msanii...kama wale ambao hucheza na majokaSongea, Kigoma, Sumbawanga.....hili ni jambo la kawaida sana kwao. Wengi wanaofanya hivi yaani kufuga nyaraka za serikali ni wale wanaotafuta utajiri kupitia nguvu za giza.
Ndahani,jina lako kama ni la kweli lina mafungamano na kanda ya kati.Ina maana umeshasahau zile taxi zenu za asili hata unataka kutafuta kabila?Huyo jamaa ni Mtanzania.Huyo Komba ni mmanda au mpangwa?
hata hiyo jmapunda naona ndo walewaleeeeNdahani,jina lako kama ni la kweli lina mafungamano na kanda ya kati.Ina maana umeshasahau zile taxi zenu za asili hata unataka kutafuta kabila?Huyo jamaa ni Mtanzania.
Taxi za asili ndio pikipiki? Kule Manda bwana ni balaa wewe Mapunda....wanaogelea ziwaniNdahani,jina lako kama ni la kweli lina mafungamano na kanda ya kati.Ina maana umeshasahau zile taxi zenu za asili hata unataka kutafuta kabila?Huyo jamaa ni Mtanzania.




Imani ya mtu hiyo lazima tuheshimu kama imani zingine.Wananchi waliua nyoka ambaye kuuawa kwakw hakuna shida yeyote huyo aliye kufa mwenyewe ana anamapungufu yake kiafyasababu hiyo ni kwa mujibu wa sheria
Mh...! mambo mengine sijui yanawezaje kufanyiwa utafiti wa kisayansi ili kufahamu uhusiano uliopo kati ya kupigwa kwa nyoka na kuuwawa kwa mmiliki wa nyoka.
Kuna iman zingine ni za kula nyama za watu na kutoa sadaka za mauti nadhan nao tuwaache??? Iman yeyote inayo hatarisha usalama wa jamii nyingine hiyo iman si salama , kama ndivyo tunge waacha wengi sana wafanye watakavyo kwa kigezo cha kuto ingilia imani za watu ndio ndio maana hata magaidi wengine ni sehemu ya ibada kwao kuua je waachwe ili tuheshimu ibada zao?Du aya mambo kumbe yapo kweli. songea mnatisha
Ufafanuzi tafadhari! Halafu nataka kujifunza uchawi wa kupata utajiri tuNipo
Kila kitu kina kanuni zake kanuni za uchawi haziko hivyo unavyowaza. Kwa mfano ni sawa na kutaka kusema kuwa kama kuna foleni kubwa kuwe na mechanism ya kufanya magari ipae kwa muda au ipungue upana kuweza kupenya katikati ya magari mengineMkuu unaamini kuna watu wanaweza kuwapatia watu wengine utajiri nje ya kanuni za biashara kama vile mtaji,masoko na management? Kama watu kama hao wapo kwa nini Magufuli asiwachukue wamsaidie katika jitihada zake za kuwapatia watanzania wasio na kipato ajira? Hebu tuache mambo ya kucheza madange kiasi hicho.Hao watu "wagawa utajiri" mbona hawajakodishwa na Donald Trump ili akasaidiwe kuwaongezea Wa-America mapesa?
Kila kitu kina kanuni zake kanuni za uchawi haziko hivyo unavyowaza. Kwa mfano ni sawa na kutaka kusema kuwa kama kuna foleni kubwa kuwe na mechanism ya kufanya magari ipae kwa muda au ipungue upana kuweza kupenya katikati ya magari mengineMkuu unaamini kuna watu wanaweza kuwapatia watu wengine utajiri nje ya kanuni za biashara kama vile mtaji,masoko na management? Kama watu kama hao wapo kwa nini Magufuli asiwachukue wamsaidie katika jitihada zake za kuwapatia watanzania wasio na kipato ajira? Hebu tuache mambo ya kucheza madange kiasi hicho.Hao watu "wagawa utajiri" mbona hawajakodishwa na Donald Trump ili akasaidiwe kuwaongezea Wa-America mapesa?
Kilichomuua huyo jamaa ni shock(mshituko).Ni ile hofu kwamba Madhali Nyoka wake amepigwa hadi kufa ina maana hata yeye angekufa. Hii ni imani aliyojazwa na Mganga wake au na mababu zake au ndugu zake.Hakuna kitu kinaua watu tena bila kuchelewesha kama hofu.Fear is a big depriver of our Lives.Kwa hiyo huyo Komba ameuawa na hofu tu.
Kwa macho na masikio yango niliona na kusikia tukio hilo likiendelea.Nyoka huyo alipigwa na mwenye nyoka alisihii sana asipigwe na baada ya nyoka huyo kufa jamaa alizitokwa na povu mdomo na kufa.lakini cha ajabu zaidi ilipofika mida ya saa kumi na moja jioni kaka wa marehemu alikuja kumtafuta njoka yule na kuuliza kama amekatwa kichwa,alipoambiwa hajakatea kichwa aliomba aonyeshwe huyo nyoka na ndio alipoonyeshwa then akasema kwao wamekataa kuweka msiba kwa sababu wanaamini ndugu yao hajafa na ndipo ndugu yule alipotoa kiroba kidogo dogo na kumchukua nyoka yule then akapanda pikipiki nakuondoka nae...Chaajabu zaidi ilipofika asubuhi inasemekana maiti ya kijana yule iliyolazwa monchwali ya Haspitali ya rufaa ya mkoa wa Ruvuma iliyopo songea(Homso)ilipotea na kutoweka monchwali hapo na hakuna anaejua wapi ilipo maiti hiyo.
C& P