Kwa hyo uking'atwa na nyoka, nyoka akifa nawe unakufa!! Hapana. Kwa nini asingelegea kabla ya nyoka kuanza kupigwa?huyo aling'atwa sumu ikiwa inamuingia taratibu.
Mwili wake ukifanyiwa autopsy au post-mortem mtuletee majibu hapa.
Hakuna mchawi arogae pesa hata siku moja. Nyoka amn'gate halafu aendelee kumkumbatia mfukoni? Hapana.Hakuna kitu kama uchawi labda huyo nyoka alishamgonga ndo maana akafa kwa sumu ya taratibu, pia ninavyowajua waendesha bodaboda lazima na yeye alikula mawe na marungu mawili matatu hivi, kama huyo jamaa mchawi si angeroga pesa ikahamia nyumbani kwake
Hakuna mchawi arogae pesa hata siku moja. Nyoka amn'gate halafu aendelee kumkumbatia mfukoni? Hapana.
Uchunguzi wa dactari unasema jamaa kafariki baada ya kugongwa na nyoka mwenye sumu kaliUchunguzi wa daktari unaonyesha kifo cha marehemu kimetokana na nini? Ni vigumu sana kwangu kuamini ngonjera kama hizi!
Ha ha ha sina uhakika
Uchunguzi wa dactari unasema jamaa kafariki baada ya kugongwa na nyoka mwenye sumu kali
Lakn sio kwa sababu kama hii ,na ni nadra sana kusikia kusikia mtu kafa kwa ajir ya machngu ya ndg au jamaa ake kuaga dunia ,kwa upande wangu sijiwah sikia wala kuonaWapo wanaokufa baada ya wapendwa wao kufariki. Wengi tu
Ilitokea kwa babu na bibi yangu! Wakipendana sanaLakn sio kwa sababu kama hii ,na ni nadra sana kusikia kusikia mtu kafa kwa ajir ya machngu ya ndg au jamaa ake kuaga dunia ,kwa upande wangu sijiwah sikia wala kuona
Ooh pole sana PalsaIlitokea kwa babu na bibi yangu! Wakipendana sana