MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

Kwa lugha rahisi sana huyu mmiliki wa nyoka ndg Komba (26) mkazi wa Songea alikuwa na MAHABA. Yawezekana alikuwa anamtegemea sana ktk maisha yake.

Hivyo huyu nyoka alikuwa sehemu ya akili na mwili wa ndg Komba.

Hivyo kitaalamu kilicho muua Komba ni tele-empathy (telempathy), kwa kiswahili ni midadi. Midadi huja pale ambapo mtu amebeda hisia kali juu ya kitu/mtu. Komba alikuwa anamhurumia nyoka wake kiasi kwamba alikuwa anayabeba maumivu ya kipigo cha nyoka.

Nyoka wake alipokufa, Komba akawa amepatwa na maumivu ya kihisia kwa kiasi kikubwa na kupelekea kinga yake kushuka mno.

Pia ktk mwili wake palitokea reactions ambazo ni negative kwa afya na uhai wake ndiyo maana akaanza kutokwa mapovu na hatimaye kifo chake. Kuna Uhusiano Mkubwa Sana Kati Ya Hisia Na Uhai.
Nimekuelewa asilimia mia moja!
 
Sayansi muda mwingine ni sawa na kuweka mkeka kwa muhindi tu
Ukiwa muumini wa uchawi, kuyaamini maelezo ya mtoa mada ni mpaka na wewe ushikwe mdadi wa hivyo... KUNA WATU WASHAWAHI KUPIGWA MATEKE NA VICHWA KISA MPIRA WA MIGUU
 

Attachments

  • IMG_20161230_183012_917.JPG
    IMG_20161230_183012_917.JPG
    30.7 KB · Views: 56
Watu wanafiwa na ndugu zao wa muhimu sana lakini hatuhmjawahi sikia kama mtu kapata hisia mpaka zmemsabshia kifo ,hebu tueleze kwa kina rukuelewe ,kulikuwa na uhusiano gan kati ya nyoka na na huyo binadamu komba ?????
 
Wakuu me nimekaa nikatafakari suala la bwana komba na nyoka wake haijaniingia akilini ety nyoka auawe na mtu afe (hua siamini kama uchawi upo nangojea nirogwe na mm nianze kuamini) huenda huyo nyoka alimng'ata na watu walipoanza kumpiga yule nyoka muda wa sumu kufanya kazi ulikua umefika ila kwann nyoka alimuweka kwenye begi me naweza hisi labda baada ya kung'atwa alitaka ampeleke kwa mganga ili atibiwe maana imani zetu na sisi ni za kipumbavu...................... Nimefikiria hv ili kutolihusishwa lile suala na uchawi ambao me siuamini kabisa
 
Wakuu me nimekaa nikatafakari suala la bwana komba na nyoka wake haijaniingia akilini ety nyoka auawe na mtu afe (hua siamini kama uchawi upo nangojea nirogwe na mm nianze kuamini) huenda huyo nyoka alimng'ata na watu walipoanza kumpiga yule nyoka muda wa sumu kufanya kazi ulikua umefika ila kwann nyoka alimuweka kwenye begi me naweza hisi labda baada ya kung'atwa alitaka ampeleke kwa mganga ili atibiwe maana imani zetu na sisi ni za kipumbavu...................... Nimefikiria hv ili kutolihusishwa lile suala na uchawi ambao me siuamini kabisa
Uwezo wako wa kufikiri umeuvundika wapi?
Umeisha sema huamini uchawi, hapo hapo unasema unahisi labda alikuwa "anaenda kwa mganga wake"
Mtu anayeumwa na Nyoka, huwa anaenda kwa waganga??
 
Uwezo wako wa kufikiri umeuvundika wapi?
Umeisha sema huamini uchawi, hapo hapo unasema unahisi labda alikuwa "anaenda kwa mganga wake"
Mtu anayeumwa na Nyoka, huwa anaenda kwa waganga??

Umenisaidia kuuliza
 
Naamini uchawi upo,ila naamini sijawai kulogwa,sijawahi kuhusisha matatizo yangu na kilogwa
 
Hizi tabia za kuwa mnaanzisha maada ambazo hata hazieleweki sijui mnazitoa wapi?

Halafu nahisi wewe huwa unakula maembe hovyo hovyo kuwa makini kuna kipindu pindu halafu sasa ukiugua wanakutibu ukipona ndani

Kuwa makini
 
Wakuu me nimekaa nikatafakari suala la bwana komba na nyoka wake haijaniingia akilini ety nyoka auawe na mtu afe (hua siamini kama uchawi upo nangojea nirogwe na mm nianze kuamini) huenda huyo nyoka alimng'ata na watu walipoanza kumpiga yule nyoka muda wa sumu kufanya kazi ulikua umefika ila kwann nyoka alimuweka kwenye begi me naweza hisi labda baada ya kung'atwa alitaka ampeleke kwa mganga ili atibiwe maana imani zetu na sisi ni za kipumbavu...................... Nimefikiria hv ili kutolihusishwa lile suala na uchawi ambao me siuamini kabisa

Utajua uchawi upo when you are flogged in the dream, unakula/unalishwa vyakula tofauti, mfano nyama, na kadhalika!
 
Wakuu me nimekaa nikatafakari suala la bwana komba na nyoka wake haijaniingia akilini ety nyoka auawe na mtu afe (hua siamini kama uchawi upo nangojea nirogwe na mm nianze kuamini) huenda huyo nyoka alimng'ata na watu walipoanza kumpiga yule nyoka muda wa sumu kufanya kazi ulikua umefika ila kwann nyoka alimuweka kwenye begi me naweza hisi labda baada ya kung'atwa alitaka ampeleke kwa mganga ili atibiwe maana imani zetu na sisi ni za kipumbavu...................... Nimefikiria hv ili kutolihusishwa lile suala na uchawi ambao me siuamini kabisa
Kila mtu na mawazo yake umewaza vizuri na inawezekana ikawa kweli haya uyasemayo lakini tukiendelea kufuatilia story mpaka mwisho inasemekana eti ila sina uhakika kuwa msibani ndugu hawakuwa na majonzi ya kufiwa na ndugu yao na pia nyoka alizikwa nyumbani utadhani nae ni ndugu wa familia hiyo
 
Hizi tabia za kuwa mnaanzisha maada ambazo hata hazieleweki sijui mnazitoa wapi?

Halafu nahisi wewe huwa unakula maembe hovyo hovyo kuwa makini kuna kipindu pindu halafu sasa ukiugua wanakutibu ukipona ndani

Kuwa makini
Muache aongee mada yoyote aitakayo maana story za Faru John zimepigwa marufuku
 
Wakuu me nimekaa nikatafakari suala la bwana komba na nyoka wake haijaniingia akilini ety nyoka auawe na mtu afe (hua siamini kama uchawi upo nangojea nirogwe na mm nianze kuamini) huenda huyo nyoka alimng'ata na watu walipoanza kumpiga yule nyoka muda wa sumu kufanya kazi ulikua umefika ila kwann nyoka alimuweka kwenye begi me naweza hisi labda baada ya kung'atwa alitaka ampeleke kwa mganga ili atibiwe maana imani zetu na sisi ni za kipumbavu...................... Nimefikiria hv ili kutolihusishwa lile suala na uchawi ambao me siuamini kabisa
Soon utagundua kuna mazito yanaendelea behind ze scene
 
Wakristo hukiri kwa kusema"nasadiki kwa vitu vinavyoonekana na visivyoonekana"so kuna vitu vingi havionekani lakini ni ukweli.
 
Back
Top Bottom