Maagizo ya Rais Samia kwanini hayafanyiwi kazi kwa wakati?

Umejuaje kuwa Masheikh wa Uamsho wamebambikiwa kesi ?

Wengi tunapenda Uamsho watendewe haki. Kama ni dhamana wapewe na kama wana hatia basi wafungwe ifahamike. Na kama hawana hatia waachiwe.

Kitu ambacho hakitakiwi ni kuwaweka watu mahabusu Miaka 10 au zaidi. Huu ni upuuzi kwasababu siku wakikutwa hawana hatia utawalipa fidia ya muda wao?

Wewe unamiliki chombo cha habari?

Mmiliki gani wa chombo cha habari umesikia analalama kwamba chombo chake kimekataliwa.

Ninavyojua Kubenea mpaka sasa ameshakutana waziri husika na labda wapo kwenye process.

Kuhusu Mbowe na Tanzania Daima sijui.

Maria Sarungi wa Kwanza TV mwenyewe kasema haendi na mpaka sasa kashaanzisha channel mpya Mwanzo TV.


Kufungua biashara tafsiri yake siyo kwamba biashara zifanyike kiholela. Kwamba kwasababu biashara zimefunguliwa ndio wavuvi wa Tanzania wakavue samaki kiholela upande wa Kenya?

Una akili wewe kweli?


Report ya CAG kwa upande wa serikali tayari, kwasasa iko stage ya bunge.

Bunge liko kimya then unamlaumu Rais, kweli?

Sote tulikuwa tunalia hapa uhuru wa bunge leo tena tunataka Rais aburuze bunge !!!


Kwamba Rais aingilie mpaka makampuni binafsi ayalazimishe namna ya kupanga bei ya bidhaa zao, siyo?

Binafsi natumia VodaCom na Halotel. Bundle za Voda hazijawahi kuwa cheap. Na hii ni kutokana na kasi na ubora wa internet yao ukilinganisha na mitandao mingine.

Usilazimishe kupata kitu bora kwa bei kitonga. Ukiona Voda hawajabadili au wamebadili kidogo maana yake wateja wake wengi wanamudu kununua hivyo hivyo. Kuna mitandao 4 nchi hii, hamia penye unafuu. Achana na kampuni za watu.

Mimi mwenyewe bundle natumia Halotel, ikitokea watu wote wakayasusa mabando ya Voda automatically wao wenyewe watarekebisha.


Magu alikuwa anadhibiti bunge tunalalamika. Leo tena tunataka Rais adhibiti bunge,!!

Rais atakachofanya ni kutoa ushauri lakini kutaka kulazimisha Rais aingie kwenye midomo na akili za wabunge na kuwalazimisha namna ya kuongea. Huu ni upumbavu.

Sote tunajua akili za wabunge waliomo mle ndani.

Huna akili.
Sina la kuongeza hata nukta!!

Halafu sijui kwanini watu wanadhani, vitu kama kufungua milango ya biashara inamaanisha hatutafuata tena sheria zetu!
 
Umejuaje kuwa Masheikh wa Uamsho wamebambikiwa kesi ?

Wengi tunapenda Uamsho watendewe haki. Kama ni dhamana wapewe na kama wana hatia basi wafungwe ifahamike. Na kama hawana hatia waachiwe.

Kitu ambacho hakitakiwi ni kuwaweka watu mahabusu Miaka 10 au zaidi. Huu ni upuuzi kwasababu siku wakikutwa hawana hatia utawalipa fidia ya muda wao?

Wewe unamiliki chombo cha habari?

Mmiliki gani wa chombo cha habari umesikia analalama kwamba chombo chake kimekataliwa.

Ninavyojua Kubenea mpaka sasa ameshakutana waziri husika na labda wapo kwenye process.

Kuhusu Mbowe na Tanzania Daima sijui.

Maria Sarungi wa Kwanza TV mwenyewe kasema haendi na mpaka sasa kashaanzisha channel mpya Mwanzo TV.


Kufungua biashara tafsiri yake siyo kwamba biashara zifanyike kiholela. Kwamba kwasababu biashara zimefunguliwa ndio wavuvi wa Tanzania wakavue samaki kiholela upande wa Kenya?

Una akili wewe kweli?


Report ya CAG kwa upande wa serikali tayari, kwasasa iko stage ya bunge.

Bunge liko kimya then unamlaumu Rais, kweli?

Sote tulikuwa tunalia hapa uhuru wa bunge leo tena tunataka Rais aburuze bunge !!!


Kwamba Rais aingilie mpaka makampuni binafsi ayalazimishe namna ya kupanga bei ya bidhaa zao, siyo?

Binafsi natumia VodaCom na Halotel. Bundle za Voda hazijawahi kuwa cheap. Na hii ni kutokana na kasi na ubora wa internet yao ukilinganisha na mitandao mingine.

Usilazimishe kupata kitu bora kwa bei kitonga. Ukiona Voda hawajabadili au wamebadili kidogo maana yake wateja wake wengi wanamudu kununua hivyo hivyo. Kuna mitandao 4 nchi hii, hamia penye unafuu. Achana na kampuni za watu.

Mimi mwenyewe bundle natumia Halotel, ikitokea watu wote wakayasusa mabando ya Voda automatically wao wenyewe watarekebisha.


Magu alikuwa anadhibiti bunge tunalalamika. Leo tena tunataka Rais adhibiti bunge,!!

Rais atakachofanya ni kutoa ushauri lakini kutaka kulazimisha Rais aingie kwenye midomo na akili za wabunge na kuwalazimisha namna ya kuongea. Huu ni upumbavu.

Sote tunajua akili za wabunge waliomo mle ndani.

Huna akili.
Ha ha haaaaa
 
......Sikujua kama Shetani ala mlo mmoja, yakhe! ( walikuwa na maneno hatari).
Aisee maneno yao ni mazito mno na watu wanahamasika kweli kweli. Wana mori ya hali ya juu kiasi kwamba wakiambiwa chukua silaha wanachukua kweli aisee.
 
Back
Top Bottom