M4C-OPD jijini Mwanza katika Picha (Feb 01, 2014)

M4C-OPD jijini Mwanza katika Picha (Feb 01, 2014)

mwanza ni jiji la vilaza..wasukuma siku hizi hawapendi kabisa kufanya kazi..mikutano ya chadema wanaichukulia kama sehemu ya kwenda kupoteza muda siku ipite

Ukiwa Jiccm unakuwa zezeta! Nani alikwambia Mwanza ni wasukuma tu! Anyway pole sio wewe ni division five @ work.
 
Jana katika mkutano wakufunga operation M4C pamoja daima;makamanda wa M4C waliwasha moto mkali asa pale alipo utubia Afisa wa Chadema kanda ya ziwa magharibi kamanda MESHACK MICUS .Kama ambavyo mikuano hii imekuwa ikifunika Raisi wa nyoyo za watu alifunika ile mbaya kwa kuwasihi wananchi kujiandikisha katika daftari la mpiga kura. kwa kutumia wabunge na madiwani wanatakiwa kushiliki kikamilifu . cheki picha
 

Attachments

  • DSCF6291.jpg
    DSCF6291.jpg
    42.2 KB · Views: 206
  • DSCF6293.jpg
    DSCF6293.jpg
    54.9 KB · Views: 170
  • DSCF6294.jpg
    DSCF6294.jpg
    52.1 KB · Views: 141
  • DSCF6296.jpg
    DSCF6296.jpg
    44.2 KB · Views: 146
  • DSCF6308.jpg
    DSCF6308.jpg
    49.9 KB · Views: 138
  • DSCF6312.jpg
    DSCF6312.jpg
    52.3 KB · Views: 127
  • DSCF6314.jpg
    DSCF6314.jpg
    40.5 KB · Views: 1,072
  • DSCF6323.jpg
    DSCF6323.jpg
    60.4 KB · Views: 132
  • DSCF6326.jpg
    DSCF6326.jpg
    63 KB · Views: 1,045
  • DSCF6338.jpg
    DSCF6338.jpg
    23.8 KB · Views: 131
  • DSCF6339.jpg
    DSCF6339.jpg
    37.9 KB · Views: 133
  • DSCF6340.jpg
    DSCF6340.jpg
    39 KB · Views: 4,561
  • DSCF6341.jpg
    DSCF6341.jpg
    42.1 KB · Views: 141
  • DSCF6342.jpg
    DSCF6342.jpg
    42.3 KB · Views: 1,089
Jana katika mkutano wakufunga operation M4C pamoja daima;makamanda wa M4C waliwasha moto mkali asa pale alipo utubia Afisa wa Chadema kanda ya ziwa magharibi kamanda MESHACK MICUS .Kama ambavyo mikuano hii imekuwa ikifunika Raisi wa nyoyo za watu alifunika ile mbaya kwa kuwasihi wananchi kujiandikisha katika daftari la mpiga kura. kwa kutumia wabunge na madiwani wanatakiwa kushiliki kikamilifu . cheki picha

Mimi ni mwanachadema lakini sipendi mtu anaejisifia wakati chama ndicho maarufu!

Jitambue kamanda.
 
Acha kujifariji weweeeeeeeeee!.

Mwanza kuna uwanja wa ndege tena mkubwa.

Mwanza ni jiji si si kijiji kwamba watu ni washamba kiasi hicho.

Hao ni watu wazima si watoto kama wale mnakusanyaga ccm, ili useme wanafuata chopa.

Hapo anayehutubia na kusilikilizwa ni MTU, Kiongozi kipenzi wa CDM na si chopa.

Ukweli hujenga heshima na ubishi usiokuwa na haya ni fedheha.

Poleni.
Hivi kiwanja chadema kile hapo Mwanza ndiyo unaweza kujisifia? Eti uwanja mkubwa mno Dar kwenye hakuna uwanja sembuse Mwanza.
 
Kama ukombozi ungekuja kama mwizi basi kusingekuwa na tofauti, acha uje kila mtu yuko macho
 
MaJukwaa la chadema mara zote hayana mbwembwe kama majeneza yalivyo na bwebwe.
 
mwanza ni jiji la vilaza..wasukuma siku hizi hawapendi kabisa kufanya kazi..mikutano ya chadema wanaichukulia kama sehemu ya kwenda kupoteza muda siku ipite

kilaza we mwenyewe wasukuma wanajielewa.cio usukuman kuna wabunge zaidi ya kumi wa upinzani
 
Hakika Mwanza mnatisha ndo maana JK alirudi Mwanza mara Mbili mwaka 2010
 
mimi ni mfuasi wa mabadiliko sio chama, i appriciate1
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.

Dada utakuja kupata mtindio wa ubongo bure Chadema haishikiki kwa sasa.
 
Zitto anatisha wametumia milioni 900 kwa uwoga wao WACHAGGA.pesa hizo wangeweza kununua pikipiki kila kata.Wanaogopa mpaka kivuli chake.
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.

ila unaweza kutawala nchi kwa kukumbatia matatizo ya nchi aliyoyasema kada wa ccm Mgeja
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.

endelea kujifariji!! Mwanza tumeshaikataa ccm tunasubiri uchaguzi tuiadhibu!!
 
Back
Top Bottom