Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
Pelekeni na nyie chopa ndo tujue kama watu hufuata chopa au la.
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
Na hii je?
![]()
Au hii?
![]()
Diamond amwaga sera au amwaga radhi?
Hivi kufuata chopa ni matusi?unawatukana watanzania hawana akili wamefuata chopa na sio sera za ukombozi? hata shetani alimwambia Hawa Mungu kawadanganya wakila tunda hawatakufa bali watajua mema na mabaya, endeleni kujifariji kwa kualika vikundi vya zecomedy na bongo fleva kwenye mikutano yenu ili kuwajaza watu wakati katika chadema watu huja wenyewe. msisahau 2015 hakuna kuiba kura tena, JK ayuko madarakani kwa kura kiduchu 5M kati ya watu 40m
unaaibisha mkuuHivi kufuata chopa ni matusi?
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
ndg ritz tulia wacha wivu kwani hata ninyi hampendi kuwa na watu wengi kwenye mikutano yenu? nani asiye jua kwa sasa hamna watu? izi ni trela tu mziki ni 2015 mtajua kilicho mtoa kanga manyoya yake,
Wait! wait! the game is still on start. don't panic lady. usiwashwe na mihemko ya 'kikekike' washauri na chama yako watumie chopa. maana unajenga hoja juu ya chopa. ungekua mwanaume usingekua na hoja zenye viashiria vya wivu wa kike. Get matured young lady.Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
Haaaaah haaaah roho inauma sana najua,lakini ndo hvyo ccm hampo tena
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
Mimi leo nimekubali wenyewe wanasema speechless! Hivi kumbe DR Slaa nimchumi hivi? Leo kashusha nondo za uchumi wa mtu mdogo ambaye wakoloni weusi wametubatiza jina la wananchi wa kawaida kama vile wao ni Alliens!
Nimejiona tajiri japo sina hata mia mfukoni na natembea kwa muguu kuelekea nyumbani ila roho yangu ni tajiri! Mungu awabariki wapambanaji wote.
USHAURI WA BURE - ili kuepuka gharama za uchaguzi zisizo za lazima napendekeza cdm wakabidhiwe nchi !
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.