NJOMBE KING
Senior Member
- Jan 2, 2014
- 197
- 22
nimeipenda hii safi mkuu
ishu ya mabomba ya gesi kuelekea ulaya hakuisema leo?
hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
Wait! wait! the game is still on start. don't panic lady. usiwashwe na mihemko ya 'kikekike' washauri na chama yako watumie chopa. maana unajenga hoja juu ya chopa. ungekua mwanaume usingekua na hoja zenye viashiria vya wivu wa kike. Get matured young lady.View attachment 136484
kumuelewa Dr inabidi uwe umesoma kidogo sa wewe hata elimu huna ndio maana unachuku vichw vya habari unaconclude ujinga uko kwako na CCM hupenda watu wasiojielewa kama wewe.
Pelekeni na nyie chopa ndo tujue kama watu hufuata chopa au la.
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
asante kwa picha kamanda .