Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
- Thread starter
- #121
unawatukana watanzania hawana akili wamefuata chopa na sio sera za ukombozi? hata shetani alimwambia Hawa Mungu kawadanganya wakila tunda hawatakufa bali watajua mema na mabaya, endeleni kujifariji kwa kualika vikundi vya zecomedy na bongo fleva kwenye mikutano yenu ili kuwajaza watu wakati katika chadema watu huja wenyewe. msisahau 2015 hakuna kuiba kura tena, JK ayuko madarakani kwa kura kiduchu 5M kati ya watu 40m
.... Mkuu huyo ni wa kuhurumiwa msamehe !!!