M4C-OPD jijini Mwanza katika Picha (Feb 01, 2014)

M4C-OPD jijini Mwanza katika Picha (Feb 01, 2014)

wacha masissiemu yaendelee kulala.hAPA KAZ TU
 
mkuu. Ritz huu ni muda wa kutoka kwenye keyboard na kuingia mitaani.kupima uhai wa chama
 
Last edited by a moderator:
Ningeudhuria mkutano lakini nipo mbali. hapo Furahisha kiwanja cha nyumbani.Viva chadema."Huwezi kuingia ufalme wa mbinguni bila kuzaliwa upya'....mwisho wa kunukuu
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
Na hii je?


4.DIAMOND+AKIWA+AMEBEBWA+NA+WASANII+WAKE.jpg


Au hii?

5.+DIAMOND+AKITUMBUIZA+UWANJANI.jpg


Diamond amwaga sera au amwaga radhi?
 
Mie nipo hapa jirani na banda la kuchomea mdudu nangojea order yangu,kamanda upo location gani hapa shuttetz?
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.

Mkuu, Sidhani kama walikuwa na chopper leo, lakini kama ni kweli "hawa watu wanatabia ya kushangaa chopper muda mrefu sana"
 
Hizo picha zisiwatishe watu mkajipa vichwa, hiyo idadi inaonekana kila mwaka.. Cha muhimu hapo ni kila moja akapige kura, tatizo raia zinajaa sana pande hizi wakati wa kupiga kura sasa unaona wazee tu na wabibi... vijana wote wako busy...
Nina hamu sana ya kuona mtu mwingine akichukua hii nchi atafanyaje, kukaa na chama kimoja sera hazichange tunahitaji competition ili nchi isonge mbele
 
Mimi leo nimekubali wenyewe wanasema speechless! Hivi kumbe DR Slaa nimchumi hivi? Leo kashusha nondo za uchumi wa mtu mdogo ambaye wakoloni weusi wametubatiza jina la wananchi wa kawaida kama vile wao ni Alliens!

Nimejiona tajiri japo sina hata mia mfukoni na natembea kwa muguu kuelekea nyumbani ila roho yangu ni tajiri! Mungu awabariki wapambanaji wote.
 
Kwa mtaji huu mbona Mwanza itaipiku Arusha! Haya ni mapambazuko ya matumaini. Kwaheri CCM.
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
At least unakiri kuwa watu ni wengi sana,ila una wasiwasi kuwa pengine wamefata chopa,ukiwafananisha na wale waliozoea kumfuata komba.BTW hivi komba atatumika tena 2015?
 
Mimi leo nimekubali wenyewe wanasema speechless! Hivi kumbe DR Slaa nimchumi hivi? Leo kashusha nondo za uchumi wa mtu mdogo ambaye wakoloni weusi wametubatiza jina la wananchi wa kawaida kama vile wao ni Alliens!

Nimejiona tajiri japo sina hata mia mfukoni na natembea kwa muguu kuelekea nyumbani ila roho yangu ni tajiri! Mungu awabariki wapambanaji wote.

Kuna watu hapo wametoka kisesa,Magu,Kiseke,Igombe wamekuja kwa nauli zao.....mzee kawajaza mawazo mapya.Huwezi kwenda mkutano wa CDM hukatoka ulivyoingia hata siku moja.Cdm bana we acha tu
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.

kwenye fiesta huwa kuna chopa? ninyi endeleeni na dharau zenu tu Dk kachuka nchi.
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.

Membe nae alisema wapambanaji Libya wasingeweza kuchukua nchi kwa pick-up. Alafu zile pick up zilikuwa zimefanana na za M4C...
 
Kiu yote imekata, muhudumuuuuu lete fant pasheni baridi. CHADEMA mtaua mtu
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.

Mkuu unadhani watanzania bado washamba wa chopa?
Walishazizoea, tena watake radhi.

MWAMKO!
 
Chadema ongezeni nguvu huku kusini, mkoani ruvuma hasa mbinga, maccm yanashinda kizembezembe tu! Hongereni wana mwanza!
 
Back
Top Bottom