Naomba tuvumilane kwa sababu JF ni sawa na kijiji ambamo hata wenye uwezo mdogo wa kufikiri wanaruhusiwa kuishi.
Kwa mtu anayetumia muda wake vizuri kufikiri mambo kabla ya kuongea au kuchangia hoja angefikiria haya;
- Kwa nini jeshi la Polisi lililazimika kuvunja sheria na kumshikiria kwa muda ambao alitakiwa awe amekwishafikishwa mahakamani?
- Kwa nini Lwakatare awe na mawakili wengi vile wakati Ludovick kaachwa na yeye ni CHADEMA?
- Kwa nini mkurugenzi wa upelelezi aliamua kumfutia makosa?
Ukweli utajulikana soon.Hatutakiwi kubishana na wenye ubongo mdogo kama wa kuku.
Kwa hiyo hata CHADEMA pia wameamua kuwa kama CCM. (like CCM, like CHADEMA). Duh, mbona hii ni kali. What's a political arternative kwa mwananchi kama utendaji uko sawa.1.Kinana ana tuhuma za kutorosha nyara, Kinana ana tuhuma za kumtishia maisha mwarabu mwekezaji loliondo
2. Kawambwa ana tuhuma za kuua wizara na elimu pamoja na kufelisha wanafunzi
3. Chenge ana tuhuma za Radar
4. Mawaziri kadhaa wana tuhuma za kuchakachua vyeti vya elimu ikiwa ni pamoja na PHD za kutoka vyuo hewa
5. Madabida ana tuhuma za kusababisha mauaji ya halaiki kwa kuuza dawa feki za ARV/HIV
6. Kikwete ana tuhuma za kuhusika na kesi za EPA
7.Mwema na jeshi la polisi wana tuhuma za kuua raia (Crime agaist humanity and tourture)
8. Jack zoka ana tuhuma za UTESAJI/UTEKAJI na MAUAJI
9
10
11
12
Mkuu The B.Boss, kwa upande wangu, there is no dots connectable!.Where is Pasco?
last time Tundu Lissu alisema hii kesi ni ya masaa matatu kwisha kazi
sasa naona imeanza new spin ya kum isolate Rwakatare na chama
halafu huyo anaeanzisha hii new spin ndo huyo tulieambiwa nae ni mwanaharakati ambae 'ametekwa'..
hajulikani alipo..
kuna dots hapa Pasco anaweza help connects....
albine is right, sio kila kitu kubisha tu
Mbona yeye mwenyewe Lwakatare kakiri ni yeye yule na baadhi ya maneno ni yake. Ile video ilirekodiwa kwa simu. I've difficulty believing he didn't see when the camera phone was being used to record him. Why CHADEMA lawyers are working on his case? they are probably giving him the benefit of the doubt. It's hard to believe such a senior official could do what he did! Besides, if they had suspended him there would've been mixed reactions. You still remember what people said when Mjengwa decided to suspend Ludovick. Why Ludovick is abandoned, it's simple... Lwakatare is already blaming it on Ludo as such you can't expect Ludo to get CHADEMA's legal help unless CHADEMA was behind this plotHv kama kweli Lwakatare angekuwa ni sehemu ya hii movie angekubali kutetewa na akina Lissu????
Kama anataka Lwakatare ajiuzuru basi pia uongozi wote wa juu wa CHADEMA ujiuzuru pending court case kwa sababu Lwakatare alikuwa anafanya kile ambacho kimekuwa sactioned by CHADEMA machinery.
Huwezi ukawa na kiongozi wa juu mwenye fikra za KISHETANI na systematically anafanya mambo ya KISHETANI bila party high office kufahamu otherwise hiyo ofisi itakuwa haina kiongozi makini.
Alichokuwa anakifanya Lwakatare ni methodical organised.
Hivi huyu alitoroshwa, alitoroka au alijitorosha?
Hoja yenye nguvu hii
Kama anataka Lwakatare ajiuzuru basi pia uongozi wote wa juu wa CHADEMA ujiuzuru pending court case kwa sababu Lwakatare alikuwa anafanya kile ambacho kimekuwa sactioned by CHADEMA machinery.
Huwezi ukawa na kiongozi wa juu mwenye fikra za KISHETANI na systematically anafanya mambo ya KISHETANI bila party high office kufahamu otherwise hiyo ofisi itakuwa haina kiongozi makini.
Alichokuwa anakifanya Lwakatare ni methodical organised.
Ni muhimu sana. Binafsi nashangaa kwa nini CHADEMA hawakumsimamisha Lwakatare mara alipopatikana na hii tuhumu kubwa. Ilikuwa ni muhimu CHADEMA kumwengua Lwakatare na kuanzisha uchunguzi wao huru. Bila kufanya hivi inatoa taswira kwamba walikuwa wanajua kilichokuwa kinaendelea na tuhuma hizi inakuwa rahisi kuzihusisha na chama, na iso Lwakatare pekee.
Sasa CHADEMA watatoa wapi moral authority ya kuwataka kujiuzulu viongozi wa serikali na CCM watakaokuwa wanatuhumiwa kwa mambo mbalimbali kama ufisadi?
Point yako hapa ni nini?.ulikiorganise wewe?? mbona hamumshinikizi kawambwa kujiuzulu, upuuzi wake wizara ya elimu umesababisha vifo kadhaa vya vijana waliopata ile alama maarufu mwaka huu kwenye matokeo ya F4. Mbona hamshinikizi kagasheki kujiuzulu kutokana na tembo wetu kuuliwa kila kukicha na majangili yaliyopo ccm. Mbona hamumshinikizi mkulu wa magogoni kujiuzulu kwa kuruhusu jidege la jeshi la qatar kutua nchini na kuiba wanyamapori wetu wakiwemo twiga ambao ni alama ya taifa?? mnataka lwakatare ajiuzulu ili mpate cha kuandika humu, tumewashtukia. Hajiuzulu mtu ng'o hadi kieleweke.
kesi ipo kwenye mkono wa jamhuri na haitofautiani sana na tuhuma zinazotufanya tutake akina chenge wasiwe wabunge, akina lowassa wasiwe kwenye kamati za bunge na akina rage wasiwe wabungeTIMING
Hivi niambie hii case hiko kwenye mikono ya chadema au mikono ya jamhuri?
Hivi cheo cha lwakatare kinazuia vipi uchunguzi hebu tueleze?
Magamba mama yako!!!Wote ninyi magamba tu, sasa kujiuzulu kwake au kutojiuzulu kunawazuia nini polisi kufanya uchunguzi wao huru? kwani polisi wamewaambia kuwa kuna ushirikiano wameukosa kwakuwa lwakatare bado hajajiuzulu? wenye kumshauri ajiuzulu ni uongozi wa chama, sasa kama wao hawajaona lolote la maana la kumshauri ajiuzulu nyie ni kina nani hadi mkionee uchungu CHADEMA?? au mnataka ajiuzulu ili mpate vya kuandika humu jamvini?? NYAMB..FU wakubwa nyie.
Unataka proof gani wakati video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mbinu za medani za kijasusi ina sauti ambayo kama masikio yako mazuri unaweza kusikia.Proof kwa hayo yote mawili imepatikana? Au ndiyo likuwa premeditated iwe hivyo unavyosema.
Where is Pasco?
last time Tundu Lissu alisema hii kesi ni ya masaa matatu kwisha kazi
sasa naona imeanza new spin ya kum isolate Rwakatare na chama
halafu huyo anaeanzisha hii new spin ndo huyo tulieambiwa nae ni mwanaharakati ambae 'ametekwa'..
hajulikani alipo..
kuna dots hapa Pasco anaweza help connects....
Mkuu Bramo, ili jinai itendeke, lazima kwanza itanguliwe na "actus reus" kitendo cha jinai (kuyasema yale maneno) yaliyorekodiwa. Aliyerekodi mkanda ule hana hatia "if" mara baada ya kuurekodi, aliufikisha kunakohusika, nao wakawa wanasubiri utekelezaji tuu!. Ila aliyerekodi, anahusika kama "accesory before the fact" kama ni mashirika!. Kitakachofuatia ni kwa aliyerekodi, kukubali ku confess kila kitu kwa kuahidiwa msamaha!. That being the case, siku ya kutajwa tena, DPP ataifuta tena hivyo kesi, na wote wataachiwa, wakishatoka tuu nje ya chumba cha mahakama, watakamatwa tena, ni Rwakatare tuu ndio atafunguliwa mashitaka ya "kula njama za utekaji nyara" na sio "ugaidi", Ludo hatashitakiwa, bali atawekwa chini ya ulinzi(kwa usalama wake), mpaka kesi itakapoanza kusikilizwa!. Atawekwa chini ya ulinzi kwa sababu ndiye atakuwa shahidi wa kwanza wa Jamhuri, P1!.1. Kimsingi Ile Video ili rekodiwa Purposely Kuchafua CDM
2. Inawezekana pia Lwakatare amehusika hapa kwa Namna Moja ama Nyingine
Important
Tusubiri Tuone, Hii kesi tamu kweli kweli, na sitashangaa kusikia DPP kaamua kuifuta hii kesi
Where is Pasco?
last time Tundu Lissu alisema hii kesi ni ya masaa matatu kwisha kazi
sasa naona imeanza new spin ya kum isolate Rwakatare na chama
halafu huyo anaeanzisha hii new spin ndo huyo tulieambiwa nae ni mwanaharakati ambae 'ametekwa'..
hajulikani alipo..
kuna dots hapa Pasco anaweza help connects....