Lwakatare amlipua Mwigulu bungeni

Lwakatare amlipua Mwigulu bungeni

nikikumbuka mateso ya kamanda lwaks napata ujasiri mkubwa sana wa kugombea ubunge 2020 .
 
Nyumbu bhana!
Uchaguzi na mbwembwe zake viliisha tangu oktoba 2015!
Sasa ni kazi tu!
Majungu bakini nayo huko huko Ukawa!
Mwenye majungu n yupi kat ya aliyebambikiza ugaid au aliyebambikizwa? Tumia akil angalau kidgo
 
Lwakatare yukosawa,yule jamaa anasiasa za hovyo,hajapevuka kabisa na anakaroho kaukatili, hanasifa za uongozi katika zama hizi kwakua ni mkurupukaji mkubwa. Kwanza akiwa wizara ya fedha tumepoteza pesa nyingi nayeye hakuweza zuia. sijui kwanini amepewa uwaziri! nakumbuka alimsingizia ata mnyika kuwa alimtishia kwa msg kuwa atamkili.
anapenda sifa na viubabe vya kijinga kama watoto wa shule wanavopiganiaga nyama
 
Huu ujinga wa kuwashukuru Wapiga kura Bungeni nilijua upo CCM tu kumbe hata Upinzani..


Kama anataka kuwashukuru WanaBukoba aende akaandae mkutano wa hadhara.


Wananchi hawakumtuma Bungeni kwenda kuwashukuru... Shukurani pekee ni kuwatumikia wananchi na si maneno na blal blah bungeni.
 
Nyumbu bhana!
Uchaguzi na mbwembwe zake viliisha tangu oktoba 2015!
Sasa ni kazi tu!
Majungu bakini nayo huko huko Ukawa!
dah nimetafta jina linalofanana na akiri zako likakosa ila kama sitokutendea haki bali wewe ni gunzi
 
Ni wakati akichangia mjadala bungeni ,ambapo aliwashukuru wananchi wa Bukoba mjini kwa kumchagua kwa lundo la kura na kumpatia Halmashauri , pamoja na tuhuma kwamba yeye ni gaidi , na kwamba kuna watu walijiapiza kuthibitisha ugaidi wake duniani na hata mbinguni

Ikumbukwe kwamba ndugu Mwigulu nchemba aliwahi kujiapiza kwamba anao ushahidi usio na chembe ya mashaka ambao anaweza kuutoa hata mbinguni kuthibitisha ugaidi wa kamanda lwakatare . lakini cha kushangaza ushahidi huo alishindwa kuuwasilisha kwenye mahakama za duniani .
Hata ushahidi wa ufisadi wa Lowassa Chadema hadi leo hawajautoa hahahhaha
Hii ndio bongo
 
Mh. Mbunge atakuwa amekumbuka yaliyomtokea baada ya kurudi bungeni kwa awamu ingine.
 
Ni wakati akichangia mjadala bungeni ,ambapo aliwashukuru wananchi wa Bukoba mjini kwa kumchagua kwa lundo la kura na kumpatia Halmashauri , pamoja na tuhuma kwamba yeye ni gaidi , na kwamba kuna watu walijiapiza kuthibitisha ugaidi wake duniani na hata mbinguni

Ikumbukwe kwamba ndugu Mwigulu Nchemba aliwahi kujiapiza kwamba anao ushahidi usio na chembe ya mashaka ambao anaweza kuutoa hata mbinguni kuthibitisha ugaidi wa kamanda Lwakatare lakini cha kushangaza ushahidi huo alishindwa kuuwasilisha kwenye mahakama za duniani .
Huyu mzee ni hewa asijifananishe na mwigulu
 
Back
Top Bottom