N
ni kweli huko njiani kuna mawe na mibuyu mingi imeandikwa mwigulu ni Rais, watu wanaomfahamu mwigulu wakikupa story zake utashangaa ni njia zipi ama vigezo gani Magufuli katumia kumpa Uwaziri, kumbuka Mwigulu ni mmoja wa wapigaji pesa za Escrow zile zilizobebwa kwenye viroba na camera kuzimwa, Mwigulu alipiga 10% kwa kila mfanyabiashara aliyekuwa akiidai hazina aliwalipa chap chap wakati ameshika Ofisi Waziri kamili alikuwa kwenye matibabu india akatumia huo mwanya kulipa madeni sugu na kujipatia Mamilion ambayo aliyatumia kununua Goli la mkono, Mwigulu hata Magufuli alimteua kwa shinikizo la ccm makao makuu yaani JK na Kinana na wenzao kumbuka kuwa pindi kapeni ikiendelea yeye na January makamba walipiga billion 1.7 hadi Magufuli akapagawa, ndipo wajanja wanakimbilia China kuomba misaada bahati yao China wakatoa mapesa mengi sana yanatumika kuchakachua matokeo, kununua magoli ya mkono nk hadi zikabaki wakagawana wajanja wachache kule ccm wakao makuu.