Lwakatare amlipua Mwigulu bungeni

Lwakatare amlipua Mwigulu bungeni

Nyumbu bhana!
Uchaguzi na mbwembwe zake viliisha tangu oktoba 2015!
Sasa ni kazi tu!
Majungu bakini nayo huko huko Ukawa!
Nguchirrrooo utaisoma A E I O U......😛 [emoji88] Mwambie savimbi wako aende mahakama mbona kauchuna?
 
Ikumbukwe kwamba ndugu Mwigulu Nchemba aliwahi kujiapiza kwamba anao ushahidi usio na chembe ya mashaka ambao anaweza kuutoa hata mbinguni kuthibitisha ugaidi wa kamanda Lwakatare lakini cha kushangaza ushahidi huo alishindwa kuuwasilisha kwenye mahakama za duniani .
Cha kushangaza zaidi ni kwamba pamoja na kupiga kelele nyingi, kufanya mbwembwe za kila aina, kufanya mikutano ya hadhara mingi tu, bado ule unaoitwa ushahidi wa mitambo maalum ya DVR kuhusu tukio la mlipuko wa bomu katika mkutano wa hadhara wa Chadema Arusha haujawahi kutolewa hadi leo licha ya kwamba Mbowe na kampani yake walijitapa kuwa nao.
 
Nyumbu bhana!
Uchaguzi na mbwembwe zake viliisha tangu oktoba 2015!
Sasa ni kazi tu!
Majungu bakini nayo huko huko Ukawa!
makaka poa huwa na tabia kama hizi zako au na ww umeanza kuwa na zile tabia kama za makonda zilizokatazwa na dini zote.
 
image.png
Kumbe ndio huyuuu
 
kuna majungu kuzidi ya kumsingizia binadamu mwenzio ugaidi ? Mwigulu amuombe radhi lwakatare haraka sana , huu ni ushauri wa bure .
Nadhani kilichomuokoa wakati ule ni sheria ya ushahidi wa kielektroniki ilikuwa haijatungwa fikiria ushahidi huu ungeletwa leo.
 
Ni wakati akichangia mjadala bungeni ,ambapo aliwashukuru wananchi wa Bukoba mjini kwa kumchagua kwa lundo la kura na kumpatia Halmashauri , pamoja na tuhuma kwamba yeye ni gaidi , na kwamba kuna watu walijiapiza kuthibitisha ugaidi wake duniani na hata mbinguni

Ikumbukwe kwamba ndugu Mwigulu Nchemba aliwahi kujiapiza kwamba anao ushahidi usio na chembe ya mashaka ambao anaweza kuutoa hata mbinguni kuthibitisha ugaidi wa kamanda Lwakatare lakini cha kushangaza ushahidi huo alishindwa kuuwasilisha kwenye mahakama za duniani .
Mwigulu alikuwa anautafuta urais kwa njia za kijinga sana, akiamini kutukana upinzani na kuipepea ccm kungemfanya apitishwe na ccm kugombea urais, lakini akakatwa kwa kuwa wote waliona hana upeo wa kuongoza.
 
Kutenda jambo ni tofauti kabisa kupatikana na hatia au ushahidi kuweza kuthibitishwa mahakamani. Unaweza ukawa umetenda jambo lakini kwa udhaifu wa mleta ushahidi ushahidi usipatikane wa kukidhi haja. Pia unaweza ukawa hujatenda jambo lakini mwenye kuleta ushahidhi akawa mwenye nguvu ya kushawishi mahakama na ukatiwa hatiani. Muda mwingine haki haipatikani kwa sheria.
 
Kujitambua ni jambo la muhimu sana, siku unawa uso utaona mbele
 
Back
Top Bottom