Wakili mkuu wa serikali aliyoongoza kesi hii namfahamu vyema kwa uadilifu wake!
Namfahamu vyema ndugu yangu Wakili Prudence Rweyongeza toka anasoma Rubya na baadae UDSM na baadae kupangiwa kituo cha kazi Tabora na baadae kurudishwa Dar;ni wakili mzuri mwenye msimamo na SIELEWI KWA NN ALIKUBALI KUCHUKUA KESI YA UONGO KAMA HII ILIYOMPA AIBU SASA!
Wakili Prudence Rweyongeza jinsi nimjuavyo sidhani kama alikubaliana nao wakuu wake kuongoza kesi hii ya ajabu;kuna kitu tu walimtishia!
Sijapata kuona kesi ya ajabu kama hii