....nakumbuka neno la Pasco "........bonafide genuine"Mkuu hili litakuwa ni fundisho, njaa mbaya sana, inavua utu wa mtu, ila Pasco ni mzee wa bahasha wacha aumbuke!
.......CCM wanatengeneza single halafu CDM wanatumia kupewa tuzo......only made in tz!!!Naona CCM hapa wanazidi kuipa umaarufu CHADEMA! Mbwembwe zote zile za kuzuia dhamana mara kumwachia na kumkamata, zimeishia wapi? Kwa kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza. CCM tafuteni tawi lingine la kujishikiza ili msitunguliwe 2015.
......copy: Pasco watu wanafurahi km vile CDM imechukua utawala wa nchi!!Leo lumumba team wanakufa na njaaa..................mungu wahurumie hawa maskini wa mawazo
.......wana project nyingi sana wale watu
wapi lukosi... Wapi chama, wapi wingu, wapi sumu, wapi bungeni.................. Leo hakuna cha buku7 hapo... Kwishney mkajinyonge sasa maana mlijiapiza kuwa lawakatare lazima atinge lupango milele
wapi pasco...........njaa zitakuua mkuu
kunamtu anaweza kushindana na ukweli???
Huyu apelekwe mahakamani ili apate tiba malazi ya unafiki yanayomsumbua.
Wakuu, msishangilie wakati bado hatma yake katika hilo shitaka moja hamijui. Kama suala ni kuachiwa kwa dhamana, mbona sheikh ponda mpaka sasa yupo rumande licha ya mashtaka yake kuwa ya dhamana?Ameedit sana hii habari. Habari original iliyoletwa hapa ilikuwa na sentensi moja tu. Nashukuru kwamba mods wameondoa post yangu maana kwa sasa haina maana tena. Lakini kwa wakati huo ilikuwa ni mhimu sana.
Hili ni pigo lingine kwa CCM. Tunamshukuru Mungu kwa kuwa upande wa wapigania haki.
du furaha iliyoje maana ilikuwa hainingii akilin mtanzania huyu mwenzangu anavyokuwa anahangaika selo bila kosa la msingi!!!!!!! Kweli mungu na wema shetani na wabayaMahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.
Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.
Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa CHADEMA waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.
Mwanafamilia mmoja wa Lwakatare huku akibubujikwa machozi akasema mkono wa Mungu umeonekana dhidi ya shetani mtoa roho za watu.
Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.
Nilimuona Atongwele somewhere, lakini naona keshaingia mitini. Hii imekuwa ni aibu kubwa sana kwao. Maana walianza kuutumia ugaidi kama label ya CHADEMA.Mkuu, watoto wa Lumumba wote leo wamekuwa Guest,on RED, aibu sana...(196 members and 819 guests)
Mzee wa BONAFIDE GENUINE. Ha ha ha Genuine my azz
..........tulishasahau, hv alitekwa eeehhh...nchi yetu ya matukio ati!!!!Lwakatare alikamatwa 'ili kuzima' watu kuhoji watekaji wa kibanda. Labda wamefanikiwa kwa hilo. Hivi kuna anaekumbuka kama kibanda iletekwa na watekaji hawajakamatwa? Hata wa kuzugia tu kama 'bwana mulundi' mkenya ...
..........naunga mkono hojaUshauri wangu kwa Chadema wachunguze mazingira ya uamuzi huu kufikiwa na kama hakuna mkono wa mtu uliochangia.hawa jamaa wa lumumba hawaaminiki na wala hawakati tamaa bwana,isijekuwa ni njama ndani ya njama ndani ya njama....
Kinachotufanya tushangilie ni kwamba CCM hawataweza tena kukiita CHADEMA chama cha kigaidi. Maana mahakama imeshatoa hukumu kwamba hakuna ugaidi. Kwahiyo ile single ya ugaidi dhidi ya CHADEMA haina mvuto tena. Itabidi watafute single nyingine, bile kujali kama Lwakatare anapata dhamana au hapati.Wakuu, msishangilie wakati bado hatma yake katika hilo shitaka moja hamijui. Kama suala ni kuachiwa kwa dhamana, mbona sheikh ponda mpaka sasa yupo rumande licha ya mashtaka yake kuwa ya dhamana?
Ya Arusha ndiyo ugaidi;Ya Lwakatare ilikuwa siasa tu!
ndio dhamana iko nje
. thatha Ritz chama hii habari hamjaipata ama? mpaka thatha
alijiabiza asubuhi hii, sijui anajisikiaje na huyo mwizi wa majina Mwigulu Nchemba, Tofauti ya maCCM na CDM, Maccm mnaanza na mashetani na mapepo kwenye harakati zenu, CHADEMA tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu...