Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,513
Mimi pia nitapenda sasa vyombo vya usalama au serikali iweke wazi juu ya undani wa ile video kwa kuwa imeonekana Lwakatare hana hatia lakini wakati huo huo video ipo kwa maana kuna aliyeitengeneza.Sasa mtunzi halisi wa ile movie, director na walioandaa script wakipatikana kwa usahihi ndio sasa tutasema tumekamilisha round moja.
Wanajulikana....Director Mwigulu Nchemba, Executive Producer: Muhidini Issa Michuzi.....Marketing Manager Mwigulu Nchemba, Camera man Joseph Ludovick, Sales Executive: Pasco...unaweza kuanzia hapo...ongeza na wengine hadi timu itimie...
CC. Kdm255 : Maoni yako yamezingatiwa...