Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Tumeiona video lwakatare akipanga ugaidi, akipanga kulisha mtu sumu, akipanga kumteka mtu..hasafishiki yule ni gaidi tu

rejea kamusi ya mahakama na sheria ya ugaidi neno ugaidi lina maana gani?na ni mazingira gani yanaweza thibitisha ugaidi.
 
Kwa kiongozi mwanamizi kama lwaka ni aibu na fedheha kukutwa na kosa la kutaka kulisha mtu sumu...ni doa kubwa sana kwa chama chake

Kimbia wewe,huoni wanakutegea wenzio!?utachekesha muda si mrefu maana hata hilo litafutwa ila wanaona aibu kufuta ghafla yote,tehe tehe.
 
ccm si chama. ni maskani ya wabambikiza kesi. lakini tunaiomba ccm iendelee kuturahisishia kazi. mbinu yenu iliyobaki kuwagawa watanzania kidini ili machafuko yatokee na baadae mpewe nafasi ya kuongoza kipindi cha mpito.
 
Hivi kale ka-ushahidi kedekede ka mbinguni from Mwigulu hakakufikishwa mbele ya jaji? Yaani mtu kutoka povu lote bungeni na viapo juu bado jaji anakuona b.w.e.g.e....duh. Mwigulu, kale ka-treni kwa kwenda mbinguni bado hakajaondoka bado, bado una nafasi ya kudandia lifti ukatoe kale ka-ushahidi dhidi ya Lwakatare.
mtu mnafiki km mwigulu mchemba,anayetoa hoja zake kwa kuzingatia tumbo lake usitegemee lolote kutoka kwake mkuu
 
Back
Top Bottom