Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Mwigulu move zake zinachuja haraka sijui kwann?
 
mi mara nyingi naamini katika miujiza ya mwenyezi mungu atendalo ni vema tuendelee kumwombea kamanda lwakatare hafutiwe au ashinde kesi iliobaki.
 
Mungu ni mwenye haki na daima husimama upande wa wenye haki na kuwalinda.

Shimo walilotuchimbia, watatumbukia wenyewe.
 
Wakati mwingine ofisi ya DPP huwa inajidhalilisha, hivi kweli utasema yale mashtaka ya Lwakatare ni ya ugaidi?. Kuna wakili mmoja wa serikali aliniambia wakati mwingine wanasimamia kesi kwa kulazimishwa hata kama wakitoa ushauri mzuri serikalini.
 
I predicted this shyt, like Tupacalypse.
 
Sasa Mwigulu huo ushaidi ataenda kutolea wapi Lumumba.??
cc Sumu,
 
Last edited by a moderator:
karibu kagera tutakupokea kwa nderemo na vifijo ama kweli ccm mumekwenda kuzimu MWIGULU UKO WAPI?
 
Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Lwakatare, Mwigulu na CCM Ovyooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wameacha kukamata maghaidi wa kweli akini Ustaadh Ilunga wanamkamata Rwakatare na kumbambikizia kesi.

Kweli nimeamnini muasisi wa udini ni Kikwete...
 
Kwenye uzi huu mbona vijana wa lumumba siwaoni? Au ndo wanapanga mbinu zingine?
Nadhani sasa ni wakati turudi kwenye ujangili maana jamaa kapumua sana hizi siku tatu.
 
Ni bora waelekeze nguvu zao kuwakamata waliolipua Arusha.
 
Naliona anguko Kuu la @Mwingulu Nchemba !
anayeshabikia CCM ni sawa na anayeshabikia Shetani.
cc@ritz
Wingu
Sumu ....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom