tunduruboy
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 423
- 218
this is my best day this week
Hamjashinda bado kesi ipo mahakamani ya utekaji.
Hivi tutaendelea kuwatania watanzania hadi lini?.....yaani serikali imetumia nguvu, na wakati mwingi kupote kwa tuhuma za kutunga ilhali magaidi wa kweli wakijipenyeza huko Arusha...na kuua na kujeruhi watanzania wakiwa hawana hatia yoyote!! lazima KINA TUNDU LISSU WAANGALIE UWEZEKANO WA KUISHITAKI SERIKALI KWA HILI!! Inauma sana kuona jinsi serikali hii ya CCM jinsi inavyoweka rehani rohozetu!!
Pasco Kutumika kubaya sana,
Mkuu Tumaini Makene Ben Saanane Molemo Matola Tuko Mkirua Birigita Mohamedi Mtoi mikael P awenda Mzee Mwanakijiji
Tumpatie adhabu gani Pasco kwa kutumika kwake kwa Mwigulu Nchemba kwa haya maneno yake? kwa wanaJF na kamanda@Tumaini Makene?
CC Pasco
Tatizo lako wewe humjui Lukolo ni nani? Wewe unaamini Lukolo, chilisosi na Chris lukosi ni mtu mmoja. Lakini siyo kweli. Mimi ni mtu mwenye fikra huru. Nipo tayari kuikosoa chadema pale inapokosea na nipo tayari kuisifia inapofanya vizuri. Kwa kufanya hivyo naamini kwamba ninakisaidia chama changu cha CHADEMA kuweza kukua na kuimarika zaidi. Lakini unafiki wa kusifia hata pale ambapo viongozi wanachemka sidhani kama inamsaidia yeyote.
Udini na uchochezi kwa sasa hauna dili wala haulipi mkuu.Tafuta ishu nyengine.Toka lini gaidi akawa winifrid ingekuwa hussein sawa?????
Mwanzo wa ubaya mwisho wake ni aibu....ahsanteni
poleni sana wana bukoba tuendelee kumshukuru Mungu kwa kila jamboNamshukuru Mungu
kwa ajili ya kuweka ukweli huu bayana ila Tuendelee kuomba Mungu ili
wanaofanya dhambi hizi za kutesa watu na hata kuwaua kwa mateso
wajulikane na Mwenyezi Mungu awaadhibu Watanzania wakishuhudia. kuliko
hizo mbinu zao za kishetani za kubambikiza uovu kwa watu waadilifu kama
Kamanda Wilfred mwenye uchungu wa Watanzania wenzake.