adi nitakapoona katika TV akitoka mahakamani na akiwa nje kwa dhamana
yani ccm haweshi vituko kwa kupandikiza kesi za kishenzi,tunangojea kiroja cha arusha sasa!!
no,ameshapelekwa rumande, hawakujiandaa kwa dhamana. Hivi ludovick inakuwaje?
adi nitakapoona katika TV akitoka mahakamani na akiwa nje kwa dhamana
yani ccm haweshi vituko kwa kupandikiza kesi za kishenzi,tunangojea kiroja cha arusha sasa!!
Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.
Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo lina dhamana.
Mwigulu sasa atajinyonga
hujui kusoma lakini kuandika unajua.Mkuu si useme zaidi, au unakimbizwa? Hii habari ni nyeti sana, si ya kuileta kiharaka hivyo. Tuambie amefutiwa halafu kimekuwa nini? Hana kesi ya kujibu? Au imekuwaje sasa? Yupo huru?
Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.
Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo lina dhamana.
Mwigulu sasa atajinyonga
Mkuu si useme zaidi, au unakimbizwa? Hii habari ni nyeti sana, si ya kuileta kiharaka hivyo. Tuambie amefutiwa halafu kimekuwa nini? Hana kesi ya kujibu? Au imekuwaje sasa? Yupo huru?