TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,104
@ze marcopolo
Leo anaingia kama Guest umeona idadi ilivyo kubwa?
There are currently 1538 users browsing this thread. (264 members and 1274 guests)
@ze marcopolo
Habari ziwafikie; @Chris Lukosi, Wingu A.KA. web, Juliana Shonza Mtela Mwampamba, Taswira, bungeni, Mwigulu Nchemba, Lizaboni, Thatha, zomba bila kumsahau Ritz wakiwa Lumumba Dar na Magamba woote wanaohusika na msiba huu..sirudii...
pole mkuu,naona wamekuharibia siku kabisa.
Sikumaanisha kwamba CCM wanafanya mazuri mengi sana yanayostahili kusifiwa. Lakini pia haimaanishi kwamba hakuna siku waliyowahi kuja na wazo jema. Hata kuanzisha usafiri wa trein tu Dar es salaam lilikuwa ni wazo zuri linalohitaji pongezi, hata huo mpango wa Dart bado unatia moyo. Hata kama ni maadui zetu kisiasa, wakija na wazo lenye tija tuwapongeze. Nia yetu si kuwakosoa tu hata kwa mazuri, bali kuwasaidia wawatumikie vizuri watanzania.FIKIRI KWA USAHIHI MKUU. CCM WAMEFANYA ZURI LIPI?. Tuwasifie!. Ni lipi hilo unaloliona peke yako?. CCM WAMEIHARIBU SANA NCHI HII KWA UFISADI WA KUTUPWA NA MIPANGO ISIYO TEKELEZEKA?. Tuwasifie kwa lipi?. Litaje. CHADEMA kukosoana hakuna tatizo, ni wazo zuri sana.
mbona ameshasema, kuwa ana kesi moja tu sasa ya utekaji, au hilo hujaliona? Muwe mnasoma vitu kwa makini kabla ya kukurupuka na huongozwa na hisia za vyamaMkuu si useme zaidi, au unakimbizwa? Hii habari ni nyeti sana, si ya kuileta kiharaka hivyo. Tuambie amefutiwa halafu kimekuwa nini? Hana kesi ya kujibu? Au imekuwaje sasa? Yupo huru?
Leo kila mwanacdm anaisifia mahakama eti imetenda haki ila kama maamuzi yangekuwa kinyume na matakwa yenu basi yangemwagika matusi ya ajabu humu.
Mkuu atasema nini gamba Pasco alishasema sana hata zaidi ya mwezi... na ile redio ya Wafu, Sugu alisema warudi studio wakatengeneze CD upya!Pasco, tia neno mkuu
Inaonekana wewe ndiyo umeiona hii thread saa hizi baada ya kuongezewa maneno. wenzako walioiona mapema wameniwekea like. Au hujaziona?mbona ameshasema, kuwa ana kesi moja tu sasa ya utekaji, au hilo hujaliona? Muwe mnasoma vitu kwa makini kabla ya kukurupuka na huongozwa na hisia za vyama
Sumu na wenzie akina Riz, makupa nk nendeni Lumumba mkajipange upya, aibu itakuwa juu yenu lakini kwa kuwa humuelewi mtaendelea kuropoka.