Luninga kwenye chumba cha kulala

Luninga kwenye chumba cha kulala

Ningekuw na uwezo ningeweka luninga hadi maliwato

Ila inakuwa na mchele mwingi sijui kama utaona. Cheki hiyo Channel 5.

2226291544_ce6a1274a3.jpg
 
+VE
. . Inapunguza sababu ya mtu kuishia kulala kwenye kochi/sofa na kuambulia maumivu ya shingo na mgongo.

Kwa salamu sijakuona muda humu nikadhania labda umegundulika ni "mhamiaji haramu" na umerudishwa kwenu.

Hata chumbani inategemea TV imewekwaje kulinganna na kilipo kitanda.

. . Inaweza kuongeza ukaribu kati ya wanandoa.

Hapa ndipo watu wengi wana-base hoja zaidi, lakini tafiti zinadai kuwa TV chumbani inapunguza sex. Inadaiwa wasio na TV chumbani wanafanya sex mara nane kwa mwezi wakati walio na TV mara nne. Inadaiwa kuwa njia rahisi ya kuromantika ni kuhakikisha kuwa bedroom ni sehemu maalum kwa ajili ya kufanya vitu viwili tuu.

Badala ya mmoja kubaki sebuleni akisubiria sijui kipindi gani huku mwenzie akienda kubembeleza usingizi peke yake mnaongozana na kama mko vizuri hicho kipindi kinaweza hata kisiangalike.

I kind believe kuwa kama mmoja anajisikia kulala then ni bora akalale. Anayesubiria kipindi aendelee kusubiria hapo hapo hapo sebuleni. Anayetaka kulala aende chumbani kulala. Kazi mojawapo ya hicho chumba ni kulala.

. . Ukaribu + +
Kama sio wabinafsi mnaweza kujikuta kila mmoja anajenga interest na kile anachopenda mwenzake (mf movie, tamthilia, michezo, habari n.k) kwenye tv kitu ambacho kitaongeza mambo ya ninyi kuzungumzia.

Huu ukaribu hauwezi kujengwa sebuleni? Ukaribu hawezi kujengwa chumbani bila TV?

. . Distraction
Bila kusahau kelele kidogo ili kuficha wakati wanandoa wanajishughulisha. Nadhani jambo la muhimu ni watu kujiangalia tu na kujua walivyo. Wengine inafaa zaidi wawe nazo chumbani, na wengine haifai.

Sasa ikifika kile kipindi cha mgao wa umeme inakuwaje hapo? Hakuna kitakachofanyika mpaka umeme urejee?
 
TV mim ntaeka nione kama tv inapunguza munkari..
Tumalize haraka haraka ili niangalie TV..? Haina mantiki..
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nimekuwa nikishawishika mara kwa mara kuweka luninga chumbani ila mara karibu na zote nasita.
Maana nikiwa na movie nzuri basi huwa natumia hata laptop kitandani kuiwatch kiasi kwamba naweza lala saa kumi napo ni kujilazimisha ili kesho niweze function kazini.

So kwa mtu ambaye aso na kipimo na again kwa uhai wa mahusiano sishauri; chumba kibaki sehemu ya kupumzikia tu na faragha.

Tatizo siku hizi mpaka tunakula huku tukiangalia TV, tunakuwa kwenye laptops tukiwa in the bedrooms, bize kwenye simu tukiwa in the bedroom, nk,. Inawezekana labda ndiyo style ya maisha in the modern homes. We can't beat the technology.

Hata hivyo, linapokuja suala la TV chumbani, unless you are watching erotica, the TV can become a distancer.

Kuliko kushindia kwenye TV chumbani why don't you put on some cool music and strip for him? I am sure he will love it na remote ya TV atatupilia mbali huko.

Hata yule wa Fixed Point anayengalia soka in the bedroom atatupilia remote huko potelea mbali hata kama timu yake ikifungwa (though kwa wengine when it comes to soka tafadhali sana mtupishe whether it is in the bedroom or sebule).
 
Last edited by a moderator:
Wengine sisi tunaishi uswazi kule ambako chumba ni hicho hicho na sebule ni hiyo hiyo huku unaweza kusikia yale yanayoendelea kwenye chumba cha mpangaji mwenzako kwa kutokuwa na silling board

Ndo maana niliweka proviso kabisa kuwa huu uzi hauwahusu watu kama hao.

Bila kusahau kelele za muziki kwenye radio ndogo za kuchaji [hapa nawashukuru wachina kwa kutuletea hizi radio za kuchaji maana tunaishi nyumba zisizokuwa na umeme] ambapo kila mtu anakuwa anasikiliza stesheni yake,sasa hapo utaiwaza tv kweli?

Hapo hata hoja ya Mbu inakuwa haina maana tena.

:focus::focus:
Kwenye suala hili japokuwa ninakubaliana na mtoa mada lakini napenda kusema yafuatayo

Ili maisha yaende inatakiwa tuwe in control kwenye miili yetu,kitendo cha kuacha kuweka TV chumbani kwa kuhofia hili au lile wakati ukiamua hata hiyo TV unaweza usiiwashe hata mwezi mzima naona ni kama kutokujitendea haki sisi kama binadamu. Kuwa na amri kwenye miili yetu itasaidia sana kuwa na heshima kwayo na wengine pia!

Kama mtu anaweka TV chumbani na haitumii kwa muda wa mwezi mzima, then haistahili kuwapo pale.

Unless hulali humo chumbani, it becomes redundant and it should be removed.

Tena inaweza hata kuleta vumbi chumbani maana itakuwa imefungwa tuu huko.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha. . EMT Ndio nime'seto' huku kwetu Sudan baada ya kuchomewa na wazushi wa JF. . .Lolz

Back to topic
Mgao wa umeme hautosababisha mgao wa mambo mengine, ila tu watu wengine wanaenjoy zaidi pale wanapojisikia huru kupiga tukelele twa hapa na pale kuliko kuzibana midomo.

Kuhusu ukaribu, TV inaweza kuongeza ama kupunguza hilo halina ubishi. Inategemea tu na aina ya mtu uliyenaye pamoja na hobby zake/zenu. Ukiwa na mtu anaependelea kusoma its obvious unaweza ukaongeza ukaribu nae ikiwa na wewe unapenda kusoma ama utajitahidi kusoma every now and then. . .vile vile kwa wapenzi wa tamthilia,movie,kusafiri na kuendelea. Kwahiyo zipo njia nyingine za kuimarisha ukaribu, lakini haziwezi kutumika kwa kila mtu.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
TV mim ntaeka nione kama tv inapunguza munkari..
Tumalize haraka haraka ili niangalie TV..? Haina mantiki..

Kama mnaangalia mpira mnapiga fasta fasta half time kabla kipindi cha pili hakijaanza.

Kama ni movie, mnapiga fasta fasta wakati wa matangazo.
 
Hahahaha. . EMT Ndio nime'seto' huku kwetu Sudan baada ya kuchomewa na wazushi wa JF. . .Lolz

Sasa wakati unakuja huku utoe taarifa kabisa ili tujipange. Tokea yale ya Mushi tumekuwa very careful

Back to topic
Mgao wa umeme hautosababisha mgao wa mambo mengine, ila tu watu wengine wanaenjoy zaidi pale wanapojisikia huru kupiga tukelele twa hapa na pale kuliko kuzibana midomo.

Does this applies to all? Hata kama ina-apply kwa wote vipi kama mkiweka mziki uliotulia na unaoendana na mnachofanya?

Kuhusu ukaribu, TV inaweza kuongeza ama kupunguza hilo halina ubishi. Inategemea tu na aina ya mtu uliyenaye pamoja na hobby zake/zenu. Ukiwa na mtu anaependelea kusoma its obvious unaweza ukaongeza ukaribu nae ikiwa na wewe unapenda kusoma ama utajitahidi kusoma every now and then. . .vile vile kwa wapenzi wa tamthilia,movie,kusafiri na kuendelea. Kwahiyo zipo njia nyingine za kuimarisha ukaribu, lakini haziwezi kutumika kwa kila mtu.

Mie napenda sana soka. Wakati wa live soka huwa nataka ku-concentrate kwenye soka tuu, sitaki kuguswa au kuambiwa chochote unless uniulize kama bia imeisha na unataka kuiniongezea nyingine. Hata uki-strip hapo, nitaona kama unaniwekea kiwingu tuu.

Sasa nikikutana na mtu anayependa tamthilia na hiyo tamthilia ipo hewani wakati wa soka, kuna uwezekano mkubwa nikakuacha huko bedroom na TV yako na kuwa kipindi cha pili kwenye kibandaumiza cha mtaa wa pili.

Hapo sidhani kama TV itakuwa inajenga ukaribu, hata kama ipo sebuleni.
 
Kuliko kushindia kwenye TV chumbani why don't you put on some cool music and strip for him? I am sure he will love it na remote ya TV atatupilia mbali huko.

Hata yule wa Fixed Point anayengalia soka in the bedroom atatupilia remote huko potelea mbali hata kama timu yake ikifungwa (though kwa wengine when it comes to soka tafadhali sana mtupishe whether it is in the bedroom or sebule).
Usiniambie team ikishindwa hata strip teasing haiwezi amsha vilivyonuna??????
 
Last edited by a moderator:
Hivi kumbe humu na tv watu huwa mnaangalia!

Maana kuna wale wa chitchat all the time wanamimina post mpaka huwa najiuliza sijui hata amri ya sita huwa wanaisigina saa ngapi?
 
Usiniambie team ikishindwa hata strip teasing haiwezi amsha vilivyonuna??????

Kipindi ambacho ndoa nyingi zinavunjika ni wakati wa Kombe la Dunia. So, mwakani ni kilio tena kwa wanawake. lol.
 
Maisha kama haya yanaleta faraja na furaha inaongezeka misongo ya mawazo ni nadra sana kutokea.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Sasa wakati unakuja huku utoe taarifa kabisa ili tujipange. Tokea yale ya Mushi tumekuwa very careful



Does this applies to all? Hata kama ina-apply kwa wote vipi kama mkiweka mziki uliotulia na unaoendana na mnachofanya?



Mie napenda sana soka. Wakati wa live soka huwa nataka ku-concentrate kwenye soka tuu, sitaki kuguswa au kuambiwa chochote unless uniulize kama bia imeisha na unataka kuiniongezea nyingine. Hata uki-strip hapo, nitaona kama unaniwekea kiwingu tuu.

Sasa nikikutana na mtu anayependa tamthilia na hiyo tamthilia ipo hewani wakati wa soka, kuna uwezekano mkubwa nikakuacha huko bedroom na TV yako na kuwa kipindi cha pili kwenye kibandaumiza cha mtaa wa pili.

Hapo sidhani kama TV itakuwa inajenga ukaribu, hata kama ipo sebuleni.

Hamna haja. . .nimeshaanza kuwekeza kwenye kitu cha beretta M9 na hand grenade.

NO IT DOESN'T.
Na swala la kuweka music wengine watakuambia limekaa kitamthilia/kizungu zaidi na wengine hawana interest na music. Hata huo muda wa kuanza kutafuta sijui cd yenye nyimbo nzuri za kukolezea mambo hawana kahiyo sauti ya tv ndio inayowaokoa kwenye hilo.

Uzuri unajijua. Sasa hiyo ni mojawapo ya hali ambazo zinafanya uwepo wa tv upunguze ukaribu unless ofcourse wote mnadatishwa na mpira.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hivi kumbe humu na tv watu huwa mnaangalia!

Maana kuna wale wa chitchat all the time wanamimina post mpaka huwa najiuliza sijui hata amri ya sita huwa wanaisigina saa ngapi?


Tunaangalia bana. Huoni sredi nyingi zinaanza kwa kusema, nimeona sasa hivi sijui ITV, TBC blah blah.

Kuna wengine mpaka wanadai kuwa hawakumbuki siku ya mwisho walipoangalia TBC, lakini unakuta wanaripoti hapa yaliyosemwa TBC muda mfupi tuu uliopita.

Nilidhani mtu akisema haangalii tena TBC ni pamoja na kutoangalia vipindi vya Bunge, mpira, nk.

Hao wa Chitchat labda huwa wanapost huku wakisiginana.

Maendeleo ya teknologia hayo maana zamani walikuwa wanasoma magazeti huku wakisiginana.
 
Hivi kumbe humu na tv watu huwa mnaangalia!

Maana kuna wale wa chitchat all the time wanamimina post mpaka huwa najiuliza sijui hata amri ya sita huwa wanaisigina saa ngapi?

HAHAHAHAHA Matola
Huwa wana'DO' huku wanapost.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom