Sasa tumuamini nani? Pinda anaesema angemfukuza, au luhanjo (jk) aliesema jamaa hana makosa????mmh comedy haziiiishi bongo
Tunaenda Bagamoyo, kuwa na imani tafadhali.dah, mpaka sasa mm siamini Jaman, hii nchi wapi tunakwenda?!
Pengine ulikuwa uongo hazikuchangiwa 1 billion, sawa; lakini wanatakata kutuambia ni watendaji wangaji walioenda bungeni na kutumia shs milioni 500? Milioni mia tano kwa watendaji kuenda kuhudhuria bungeni?
Hizo taasisi zilizochangia, wamezitoa wapi? Mifukoni mwao au pesa za walipa kodi?
Magamba, wacheni usanii, tafadhalini! Tumeshachoshwa!
Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo,ametoa ripoti na kusema Jairo anarudishwa kazini kuanzia kesho.
===========
UPDATES:
Luhanjo anasema tuhuma zilikuwa za uwongo
Anasema taasisi za Wizara hazizidi 7 na si zaidi ya 20 kama ilivyodaiwa
Taasisi nne tu ndizo zilizochangia na zilichanga karibu TZS 500mil na si zaidi ya 1bil kama ilivyodaiwa
Pesa zilichangwa ili kuwawezesha watendaji watakaoenda kwenye bunge la bajeti
REA walichangia 50mil
TANESCO walichangia 40mil
EWURA waliombwa 40mil lkn hawakutoa, walichangia gharama za chakula na malazi kwa watendaji wa Wizara
Idara ya Uhasibu ya Wizara ilitoa 150mil
Idara ya mipango ya Wizara ilitoa 278mil
More updates to follow
<br /><span style="font-family: comic sans ms">Nkikise mshiki!</span>
yaani mahasira ambayo ninayo waswahi9li wanasema one day yes kikinuka tutafutana humu what fk i hate this country