Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Kwa hiyo wangwe? CDM? Aisee
Hii muvi hii kali sana.
hahahaah!
imefika Episode ya ngapi?
Kwa hiyo wangwe? CDM? Aisee
Hii muvi hii kali sana.
Mimi naona hoja za Mwampamba zina mashiko sana, na kwa wale vijana na watu wanaoona Mwampamba anatapata hapa wamelamba galasa. Mtela kabadirika sana kwa sasa anakuja na hoja za maana zinazoamsha fikra na mawazo ya vijana kujitambua. Kuna thread iliwahi kuletwa humu kwamba Mtela Mwampamba na Juliana Shonza ni watu hatari sana kwa ustawi wa Chadema watu watu wakachukulia mzaha.
Fact ipi ya nani kamkana nani ni fact ndio maana nyie na mwenyekiti wenu wa CCM mumekosa maono utasikia mwenyekiti wa CCM ana simama kutukana serikali ya CCM ambayo raisi wake ni Kikwete ,utasikia mabilioni yameibwa na serikali ya kikwete eti wanamuasa aache duh hata walimu wa propaganda hawapowatakanusha nini wakati kilichoelezwa na mwampamba ni facts. Ndiyo maana tunasema kuwa ukitaka kuachana achaneni kwa heri maana mkiachana kwa kashfa ziri zenu zote zitakuwa hadharani.
ccm iwe makini na huyu mtu kwa kutomshirikisha siri za chama la sivyo atakuja kuzimwanga chaumma 2017. Huyu siye mwanaume kamili ila suruali. Nawatahadharisha na mabinti, ukiwa na mchumba kama huyu jamaa, siku mkiaachana basi utakuta picha zako kwenye mtandao au magazeti ya udaku. Hufaai kuaminiwa kabisa. Mambo mengi hayasemwi na wanaume hadharani kama unavyofanya. Usifikiri ccm wanawaona wa maana sana zaidi munapopayukapuka majukwaani na mwezio shonza, katu hawatawaamini kabisa katika uongozi wake.
Naomba uwabainishie Umma wa wanaJF kuwa lipi katika niliyoyaandika hapo juu si sahihi kuhusiana na DEUS na kukanwa kwake na watu hao. Na kwa bahati nzuri hatukuwa tunafanya mazungumzo ya mdomo pekee, ninazo meseji za simu na hata kauli za Mallya kwenye inbox yangu ya facebook yanaeleza haya niliyoyaeleza hapa.
Naomba kabla haujachelewa na kuonekana ni miongoni mwa wenye ukame wa fikra, njoo hata kwa kutunga uongo wako ubainishe ni kipi si sahihi ama ni uongo katika hayo niliyoyaandika.
Mbona SLAA na MBOWE hawajitokezi kujibu hizi tuhuma, jamani ama ndo tuseme wameamua kukubali yaishe.
Mtela Mwampamba. Endelea kurutubisha akili zisizofunguka. Wanaokwambia unapoteza heshima yako wanakudanganya, maneno yako yana nguvu ya risasi. Kila napoitazama cdm, naona inayumba, inazama. Usikate tamaa matusi yao ni yaleyale -umenunuliwa, utaolewa, njaa kali. Maneno yote hayo tumeyazoea, hawana hoja.
kwa maelezo yako unatuthibitishia kuwa aliyosema mwampamba kuhusu mikakati ya chadema na mbinu zao chafu na usaliti wao ni sahihi kabisa. Isipokuwa unawatahadhalisha ccm wawe waangalifu na mwampamba ili wasimweleze kila kitu ili ikitokea amehama ccm wasivuliwe nguo kama wanavyovuliwa sasa cdm
nafikiri CDM mngemjibu kwa hoja sio kujibu kama mpo chooni mmeshateleza hiyo imekula kwenu
Tatizo lililopo wengi wetu tumelewa propaganda za CDM inafika wakati hata jambo la maslahi linapo kuja ambalo lina pingana /linaenda kinyume na CDC tunaliona halina maana namleta jambo hilo tunamuona kilaza.
Binafsi napenda kuona posts zenye mashiko ya 'kukubali' au 'kukanusha' tena kwa hoja, kushambuliana pasipo hoja ni kupoteza muelekeo wa kujadiliana.nafikiri CDM mngemjibu kwa hoja sio kujibu kama mpo chooni mmeshateleza hiyo imekula kwenu
Mbona SLAA na MBOWE hawajitokezi kujibu hizi tuhuma, jamani ama ndo tuseme wameamua kukubali yaishe.