mbona slaa na mbowe hawajitokezi kujibu hizi tuhuma, jamani ama ndo tuseme wameamua kukubali yaishe.
toka siku ile tarehe 14 machi 2013 slaa alipotoka povu mdomoni kueleza uongo wake dhidi ya vyombo vya dola lakini mwishoni akakiri maelezo ya lwakatare kwenye ile clip naona hawana hoja za kutueleza tena. Maana jamaa aliwaita waandishi wa habari akawaeleza pumba na kutoa nyaraka feki tena waliandaa wenyewe lakini akataka kuwaaminisha watu kuwa zimetoka nje ya cdm