Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,435
Mimi mwenyewe nimeduwaa, ukiikodolea macho inabadili mikao.Mkuu hiyo avatar yako imenipotezea mda...lol
Mimi mwenyewe nimeduwaa, ukiikodolea macho inabadili mikao.Mkuu hiyo avatar yako imenipotezea mda...lol
Saanane tena wakati yeye ndie anaongoza timu ya usalama wa Taifa kuiua chadema? Ni mtu hatari sana mimi namfahamu kuanzia alipozaliwa, alikosomea na hujuma anazofanyamkuu unamjua
Hutudanyanyi kitu wewe ni mhusika kwenye sinema hiyo. Halafu mwandishi gani wewe tangu siku nyingi unatumika kwa uharamia tuu. Na ulaniwe na mola wewe na hao wenzako.Jamani, mimi sibahatishi! Hapa nimeamua kupambana maana najua maisha yana mwisho. Hii habari ya kukamatwa kwake ni kweli kabisa. Watanzania tupambane tuhakikishe Tanzania inakuwa salama wa binadamu wote kuishi.
kwenye clip ya video ya lwakatare:
[FONT="]
15:59 ...sauti inasika ikisema unamuweka kwenye dilemma hajui adui ni nani yaani anakuja hapa anakukuta wewe LUDOVICK ndiye unamfatilia...huyu Ludovick ni nani?( some dots needs to be collected and connected here ) yawezekana ni mmoja wa vijana waliokuwa wanajirekodi na hili ni jina lake halisi na wametajana pasi kujua au ni code name?..
17:10 kijana anayepewa maelekezo (Ludovick) anauliza kwa hiyo kama kila kitu kitaenda well inakwenda mpaka lini? lakini katika kujibu clip inayomuonyesha lwakatarea akijibu swali hilo akisema Bahati mbaya umekuja na majibu yasiyojitosheleza ....katika majibu haya kuna mkanganyiko mkubwa maana hakuna uhusiano wa swali lililoulizwa na jibu lililotolewa....tangu dakika ya 15 ya clip hii maelezo ya sauti zinazosikika hayana mpangilio wa manaa... mengi yalilenga kufuatisha ishara na vitendo vya lwakatare alivyokuwa akiongea na ukitizama kwa makini hakuna uhusiano kati ya maneno yenyewe na mdomo wa lwakatare.............
[/FONT]
kwa taarifa yako lunilihitimu nae 2011 DUCE....lakini kwa harakati dhidi ya Dhuluma....wakamkamata kwenye mtihani akarudia tena. Ila ni mpole sana asiyejigamba, katikati ya harakati huwa hacheki hata wengine wote wakicheka....tuliandamana siku moja kwenda bodi ya Mikopo, yeye akawa representative wetu! Ni mjenga hoja sana na chuoni alikua anapenda kukaa "peasant"(vimbweta vya kusomea).... Binafsi naweza kusema ni vita dhidi ya udhalimu ndio unaomfikisha huku Ludovick Chalii yangu!!!!!! Don't wory.
hao wananchi unaowasema ni akina nani? ni pamoja na mimi? mie sipo na wewe wala na chadema chenu. wauaji wakubwa nyie. hamna hata dhambi. ndiyo maana upadre umewashinda. loooo aibuuuuu
Eti Dr.W.Slaa,
bila haya,bila soni anadiriki kuungopea umma wa watanzania ya kwamba ile video clip ni fake?
huyu mzee kweli kaishiwa sana na busara,kweli wewe unastahiki kuwa presidential material wewe??
chutama mzee,na chama hiko ndio vile tena kinakufia mikononi mwako..
fanya tuh urudi karatu ukalime,siasa zimewashinda mmekaa kupanga panga mauaji na kushabikia uvunjifu wa amani,
tulishawapa imani sana ya kwamba nyinyi ni mbadala wa hawa mafisadi,kumbe nyinyi ndio janga kubwa kabisa la kitaifa,,
yaone kwanza,,MOVEMENT FOR CHANGE OR MOVEMENT FOR DEATH AND KILLINGS??
WHAT A SHAME??
Mpaka mbanwe na ccm kwenye issue ya gesi ndio unahitaji huruma yetu watanzania "SHAME ON YOU TWICE'
Sikuandika mimi hayo maneno,
Kuna mtu aliingia kwa kutumia akaunt yangu,
Nilishalizungumza hilo..