Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

wadau tuwe makini sana na sinema ya kichina inayochezwa na vyombo vya dola.
Kuna mtu anatajwa kwa jina la ludovick katika video clip ya bukoba boy. Na kwa wale tuliofuatilia kwa umakini comments za wanaccm mitandaoni walionyesha kumfahamu huyo ludovick.
Sasa hapa ndipo mahali pa kuwa makini sana na ku connect dots!

Sina kigugumizi kusema kwa uwazi kuwa hii sinema ina lengo moja tu la kumtia hatiani lwakatare na si vinginevyo. Endeleeni kufuatilia hii sinema ya maudodo mimi hawanipati ng'o!

sio hivyo tu, pia rejea kwenye jumbe za ridhiwani na nape, walizoweka kwenye page zao za facebook
 
Atongwele ni boya tu huyo hana mpya yeye kila mara anaandika pumba tu ona anawasifia policcm kwa sababu wafanya ujinga yeye anaona wanafanya kazi,kupekuliwa mtu ameona ni issue utakuta ni mnyalu tu ndio maana mshamba hivyo poor you kikaragosi cha ccm
mkuu hawa vibaraka wa CCM wana laana na mungu anawapa vichwa vigumu kama farao ili azidi kujidhihirisha .....kwani CCM nini na ni nani bhana mpaka wapambane na Mungu!!!!!!!!na washinde
 
Mtoa mada kasepa baada ya kupata dhoruba asiyoitegemea. Hivi huyu Manyerere, out of the blueas anakuja na thread hizi -- I'm 1000% sure script ya hiyo movie part yake ilikuwa ni hii na pengine tungoje Jamhuri on Tuesday!

Kuna kitu pale -- hasa ninavyomfahamu manyerere.
 
Kuna mchezo mchafu sana unachezwa hapa.

Halafu wanaoucheza wana "dive" bila hata kuguswa.

Mtu haitaji hata kuunganisha dots maana wachezaji wameamua kuuonyesha mchezo "live" kabisa.

Lakini kwa vile Watanzania wamezoea hoja nyepesi nyepesi sidhani kama wana "clue" ya kinachoendea zaidi ya kuishia kulalama.
 
mkuu hawa vibaraka wa CCM wana laana na mungu anawapa vichwa vigumu kama farao ili azidi kujidhihirisha .....kwani CCM nini na ni nani bhana mpaka wapambane na Mungu!!!!!!!!na washinde

chadema bwana kila mtu ni Mungu. hivi toka lini binadamu anakuwa Mungu? SLAA ni Mungu, Mbowe ni Mungu na Lwakatare eti naye ni Mungu. Kumbukeni Mungu ni Mmoja tu. hajazaa wala hakuzaliwa na hafanani na kitu chochote
 
JF ni ya mimi, wewe, yule, hawa, wale na kila mmoja. mtu anaweza kujiunga leo lakini akawa mchangiaji mzuri kweli kuliko wewe wa siku nyingi. Mbona Bukoba Boy kaanzisha blog yake na kaweka video moja tu na watu mnashindwa kulala na wengine wananyea debe
Kwa sababu ya amri ya familia kumi ikiwemo ya membe na jakaya 2015 tutahakikisha wanaswekwa ndani nao kunyea debe
 
Hapa tunatakiwa kujua, kama walinzi wa usalama wa raia na mali zao 'polisi' wangekuwa na ufahamu mkubwa wa teknolojia ya mawasiliano hasa ya 'internet' hii habari could have been very somple. kwa watalam wa ICT mnaelew namaanisha nina.

Polisi wetu are too manual/mechanical hii itachukua muda na watu wengine hawatatendewa haki, but, Yes this is Tanzania
 
Mkuu propaganda kwenye maslahi ya nchi hazifai!!

Huna nia ya kusaidia nchi yako kupitia maandiko yako hapa JF zaidi ya chuki tu dhidi ya CDM utafikiri mke mwenza!

Kumbuka hata uwape nini watoto wako mwisho watakutana na Tanzania hii hii chafu!

Mkuu zipi hizo propaganda unazozisema?.

Mkuu, Samahani kama inakukwaza,

Kutofautiana kimtazamo kama Name ID yako ilivyo ndiyo kichocheo cha maendeleo katika taifa endelevu. Kama tulikubaliana kuikataa dhana ya zidumu fikra za mwenyekiti kwa nini kwa sasa to embrace dhana ya kutokuwa na mitazamo tofauti katika jamii kwa sababu kufanya hivyo ni kudumaza fikra.

Katika maisha hata ya kisiasa, changamoto hazipimwi na hazichaguliwi, bali uwezo wa kukabiliana na hizo changamoto mara nyingi hupimwa na mafanikio huonekana.

I don't hate CHADEMA kwa jinsi unavyoamini or any other political party in Tanzania. I have nothing to hate bali kuna baadhi ya mitazamo ninatofautia siyo na CHADEMA tu bali na kila chama cha siasa Tanzania.

Hii ndiyo hali halisi, ninaisaidia nchi yangu sana.
 
Ludovick Hawezi kufanya uchafu kama huu. Ni kijana aliyekwenda shule na kuelimika vyema. Anaamini na kusimamia demokrasia vizuri.
 
Kwa mipango ile ya lwakatare kweli nimeamini Katibu alikuwa na haki ya kusema nchi haitatawalika!
 
Kuna mchezo mchafu sana unachezwa hapa.

Halafu wanaoucheza wana "dive" bila hata kuguswa.

Mtu haitaji hata kuunganisha dots maana wachezaji wameamua kuuonyesha mchezo "live" kabisa.

Lakini kwa vile Watanzania wamezoea hoja nyepesi nyepesi sidhani kama wana "clue" ya kinachoendea.
mkuu napa huamini yaliyotokea! taratibu unang'amua kuwa mna kikundi cha mafia
 
Back
Top Bottom